TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

Pumzika Mkulo. Lakini ni funzo kwa viongozi wetu walio hai kwamba safari yetu wote ya mwisho ni kifo. Hata uwaibie namna Gani Watanzania, mwishowe utakufa tu. Hakuna haja ya kuiba .zaidi Jenga nchi yako .
 
Thank you for your service
 
إِنَّا ِلِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ, ʾinnā li-llāhi wa-ʾinnā ʾilayhi rājiʿūna
 
Mungu akupe pumziko la milele na mwanga wa milele umwangazie.
 
Kabisa inawahusu ,Rudewa njia panda kuitafuta Kimamba ile njia nilipita around 2010 ilikuwa haina lami ,nadhani kwa sasa washaweka.....Pongezi kwa tajiri Al-sayeed japo njia ilikuwa mbovu alipeleka basi zake.
Kuna baharia mmoja mwanangu sana alipelekaga basi zake zilikuwa zinaitwa baloteli mbona zilikuja juta
Inabidi waweke pia lami mpaka kwenda kimamba na ukitokea melela mikumi unaingia hadi kilosa nayo waweke lami....
Kilosa sahv syo kama ya zamani

Ova
 
Dih huu mwakaa wanaendaa aise sijui nani nxty
So kwamba wanaenda Bali watu wanazeeka, waliohudumu serikali ya mkwere almost wote sasa hivi wanakimbilia 70+,80 sasa huo umri unachangamoto nyingi za kiafya has a kwa haya maisha ya mjini, kwa vijijin hakuna shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…