johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwislamu akishakufa kinachofuata ni mazishi kaburi ni Moja tu sheheSasa mkuu, Prof. alikuwa na maeneo mawili ya kuishi unataka azikwe kama kajambanani ? Anaswaliwa kwanza hapo Mikocheni, then safari ya kwenda Kilosa ambako obvious wanafika jioni kama siyo usiku sasa unataka azikwe usiku usiku?
Rip Mkulo