Mustakabali wa Watoto wetu uko shakani

Mustakabali wa Watoto wetu uko shakani

Mkuu

Mshanar

Tumaini lipo usijali

Kabla hawajakita mizizi

Kuna badiliko litatokea!!

Kuna mtumishi amewasha moto na anaombea Hadi nchi yetu na utawala Wake!!

Huyo atashika hatamu muda si mrefu!!
Baada ya Hapo atasimama katiba Mpya ndipo chama kipya kitaanzishwa na kijani kitaenda kuzimu!!!

Ngoja TUONE
Kukichwa kutapambazuka lakini kabla jua halijachomoza kiza huwa totoro..!
 
Nina hofu kuu kila nikitafakari na kuyaangalia mambo yanavyokwenda.. Nawaangalia wanangu kisha roho inaniuma sana! Naona wazi kabisa napaswa, nahitajika kufanya jambo... Jambo kubwa kwa ajili ya kesho njema ya wanangu na wanao pia.. Mimi nawe.. Sio wao na wana wao!

Tunaundiwa tabaka la watawala... Wao na wana wao, wajukuu na vitukuu, vilembwe na vining'ina! Kwamba akitoka mimi ni wewe halafu ni yule na yule walio kati yetu.. Hakuna nje ya tabaka lao atakayeruhusiwa naye kuwa fulani kati yao!

Tunaundiwa tabaka la kimfumo, hesabu zao ziko kamili japo kwa kificho na kuzuga kwingi, wanachongeana njia na vichochoro, wanapeana connection, wanaundiana mitandao, wanachaguana, wanateuana, wanabadilishana na kupeana nafasi.. Kama wewe si mmoja wao hupaswi hata kuwaza utapata lini kwenye nini na nini...!

Tunaundiwa tabaka la elimu.. Elimu ni ufunguo wa maarifa na uwezo wa kufanya maamuzi.. Wamejitenga na mfumo wetu wa elimu unaofubaza bongo za wanetu.. Kamwe hawawezi kukubali wanao wapate maarifa sawa na wana wao,. Elimu ni silaha kubwa kwenye kudai haki ama kutengeneza mfumo! Wa kwao wanasomeshwa shule bora na vyuo bora.. Wanaandaliwa!

Tunaundiwa tabaka la kipato.. Kipato ni silaha pia ya kupambana panapohitaji maamuzi na matumizi ya nguvu.. Kwamba utake usitake lazima hili liwe... Ukikomaa sana kuna mawili wakumalize ama wakulambishe ukae kimya! Hapa kila mmoja kwa nafasi yake anajitahidi kukusanya nyingi awezavyo.. Nyingi nyingi zaidi nyingi kabisa.. Wanatambua nguvu ya shekeli penye udhia[emoji25]

Tunaundiwa tabaka la kijamii, kuna kwao na kuna kwetu, kwao kunatamanisha na kuvutia .. Kwao kuna kila kitu katika mpangilio wake, katika utaratibu wake.. Je kwako hapo kwenu pakoje!? Kamwe hawawezi kukubali kwao pawe kwako na kwenyu pawe kwao.. Hawako tayari kufanya huo ujinga! Huduma za afya, huduma za msingi kuna tofauti kubwa kati yao na yetu

Tunaundiwa tabaka vijakazi wavuja jasho.. Wakamuliwaji, wao ndio wakusanyaji na wapangaji..hawana huruma nawe... Wanachojali ni kukukamua mpaka tone la mwisho! Hawana huruma nawe, hawana mustakabali nawe, wanachojali ni wapate hata kile kidogo ulichobakiwa nacho... Hawa ni chui kwenye ngozi ya kondoo.. Utawekewa kila aina ya kodi na kila aina ya tozo..! Wewe ni punda.. Sema mimi ni punda![emoji24]

Tunaundiwa tabaka la waoga na wenye hofu, wepesi wa kusahau na wepesi wa kusifu na kuabudu... Tunaundiwa utii kwa shuruti.. Hutakiwi kusema LA bali hewala mkuu...! Ukienda kinyume ama ukahoji majina yote mabaya utapewa wewe.. Na ukijitia kushupaza shingo wana mkono wa ken vice kukunyorosha! Mwishowe ni woga , hofu na taharuki kila kona..!

Tunaundiwa taifa la vijana wa hovyo hovyo, wajinga wajinga wapuuzi puuzi. Wasio na maono, wasio na tafakuri, wasio na hekima, wasio na elimu, wasio na maarifa wala mustakabali,. Wanachojua ni uchawa, umbea majungu na mambo mepesi mavazi na starehe huku wakiota ndoto za Alinacha na kusimuliana hekaya za Abunuwasi.. Hakuna ubunifu bali kuiga na kunakili

Wanakushughulisheni na haya yote ili msahau yote yenye tija na yenye kubeba mustakabali wa kesho ya wanao... Vimeondoka vingi tulivyobarikiwa na Mola wetu ... Walisaidia na kusaidiana kubeba vyote vinavyobebeka, vyote vimepigwa mnada kwa vipande vya fedha kidogo na ahadi ya madaraka.. Wametengewa mafungu yao..wanakula mpaka wanavimbiwa...

Sasa ni muda wa kuanza kuchukua na visivyohamishika! Na wakivitaka watavichukua tuu.. Utake usitake...! Nachelea kuwaona wanangu na vizalia vyao wakiwa watumwa kwenye ardhi yao wenyewe! Inaumiza sana! Kwakuwa wameshajijengea miisho yao itakayokoma vizazi na vizazi.. Kazi ipo kwenye vizalia vyako na vyangu.

Kama umenielewa zinduka sasa.. Tukaukomboe wakati kwa manufaa ya wana na wana wa wana wetu...VIZALIA HURU..!!!
Kaka ni ukwel mtupu....nimejaa maswali juu ya mustakabali wa mwanangu nimejikuta kifungua kinywa hakishuki.
 
Ni kweli ulichozungumza, je tunatatuaje.
Ni mjadala wetu sote bila kutanguliza mahaba ya itikadi zetu mbele.. Bali kwa muktadha wa mustakabali wa taifa hili na vizalia vyake[emoji1545]
 
Mkuu

Mshanar

Tumaini lipo usijali

Kabla hawajakita mizizi

Kuna badiliko litatokea!!

Kuna mtumishi amewasha moto na anaombea Hadi nchi yetu na utawala Wake!!

Huyo atashika hatamu muda si mrefu!!
Baada ya Hapo atasimama katiba Mpya ndipo chama kipya kitaanzishwa na kijani kitaenda kuzimu!!!

Ngoja TUONE
Naam. Nuru itatuangazia na mfumo utabadilika kabla ya kua mfumo kivuli.
 
Nina hofu kuu kila nikitafakari na kuyaangalia mambo yanavyokwenda.. Nawaangalia wanangu kisha roho inaniuma sana! Naona wazi kabisa napaswa, nahitajika kufanya jambo... Jambo kubwa kwa ajili ya kesho njema ya wanangu na wanao pia.. Mimi nawe.. Sio wao na wana wao!

Tunaundiwa tabaka la watawala... Wao na wana wao, wajukuu na vitukuu, vilembwe na vining'ina! Kwamba akitoka mimi ni wewe halafu ni yule na yule walio kati yetu.. Hakuna nje ya tabaka lao atakayeruhusiwa naye kuwa fulani kati yao!

Tunaundiwa tabaka la kimfumo, hesabu zao ziko kamili japo kwa kificho na kuzuga kwingi, wanachongeana njia na vichochoro, wanapeana connection, wanaundiana mitandao, wanachaguana, wanateuana, wanabadilishana na kupeana nafasi.. Kama wewe si mmoja wao hupaswi hata kuwaza utapata lini kwenye nini na nini...!

Tunaundiwa tabaka la elimu.. Elimu ni ufunguo wa maarifa na uwezo wa kufanya maamuzi.. Wamejitenga na mfumo wetu wa elimu unaofubaza bongo za wanetu.. Kamwe hawawezi kukubali wanao wapate maarifa sawa na wana wao,. Elimu ni silaha kubwa kwenye kudai haki ama kutengeneza mfumo! Wa kwao wanasomeshwa shule bora na vyuo bora.. Wanaandaliwa!

Tunaundiwa tabaka la kipato.. Kipato ni silaha pia ya kupambana panapohitaji maamuzi na matumizi ya nguvu.. Kwamba utake usitake lazima hili liwe... Ukikomaa sana kuna mawili wakumalize ama wakulambishe ukae kimya! Hapa kila mmoja kwa nafasi yake anajitahidi kukusanya nyingi awezavyo.. Nyingi nyingi zaidi nyingi kabisa.. Wanatambua nguvu ya shekeli penye udhia[emoji25]

Tunaundiwa tabaka la kijamii, kuna kwao na kuna kwetu, kwao kunatamanisha na kuvutia .. Kwao kuna kila kitu katika mpangilio wake, katika utaratibu wake.. Je kwako hapo kwenu pakoje!? Kamwe hawawezi kukubali kwao pawe kwako na kwenyu pawe kwao.. Hawako tayari kufanya huo ujinga! Huduma za afya, huduma za msingi kuna tofauti kubwa kati yao na yetu

Tunaundiwa tabaka vijakazi wavuja jasho.. Wakamuliwaji, wao ndio wakusanyaji na wapangaji..hawana huruma nawe... Wanachojali ni kukukamua mpaka tone la mwisho! Hawana huruma nawe, hawana mustakabali nawe, wanachojali ni wapate hata kile kidogo ulichobakiwa nacho... Hawa ni chui kwenye ngozi ya kondoo.. Utawekewa kila aina ya kodi na kila aina ya tozo..! Wewe ni punda.. Sema mimi ni punda![emoji24]

Tunaundiwa tabaka la waoga na wenye hofu, wepesi wa kusahau na wepesi wa kusifu na kuabudu... Tunaundiwa utii kwa shuruti.. Hutakiwi kusema LA bali hewala mkuu...! Ukienda kinyume ama ukahoji majina yote mabaya utapewa wewe.. Na ukijitia kushupaza shingo wana mkono wa ken vice kukunyorosha! Mwishowe ni woga , hofu na taharuki kila kona..!

Tunaundiwa taifa la vijana wa hovyo hovyo, wajinga wajinga wapuuzi puuzi. Wasio na maono, wasio na tafakuri, wasio na hekima, wasio na elimu, wasio na maarifa wala mustakabali,. Wanachojua ni uchawa, umbea majungu na mambo mepesi mavazi na starehe huku wakiota ndoto za Alinacha na kusimuliana hekaya za Abunuwasi.. Hakuna ubunifu bali kuiga na kunakili

Wanakushughulisheni na haya yote ili msahau yote yenye tija na yenye kubeba mustakabali wa kesho ya wanao... Vimeondoka vingi tulivyobarikiwa na Mola wetu ... Walisaidia na kusaidiana kubeba vyote vinavyobebeka, vyote vimepigwa mnada kwa vipande vya fedha kidogo na ahadi ya madaraka.. Wametengewa mafungu yao..wanakula mpaka wanavimbiwa...

Sasa ni muda wa kuanza kuchukua na visivyohamishika! Na wakivitaka watavichukua tuu.. Utake usitake...! Nachelea kuwaona wanangu na vizalia vyao wakiwa watumwa kwenye ardhi yao wenyewe! Inaumiza sana! Kwakuwa wameshajijengea miisho yao itakayokoma vizazi na vizazi.. Kazi ipo kwenye vizalia vyako na vyangu.

Kama umenielewa zinduka sasa.. Tukaukomboe wakati kwa manufaa ya wana na wana wa wana wetu...VIZALIA HURU..!!!
Nasoma Huu Uzi mpaka nalia Bro Mshana , ningetamani JF watu wafungue nyuzi nyingi kama hizi ili tutathmini Kwa kina maisha ya mwananchi WA kawaida hii nchi , shukrani Sana kaka.
Hii nchi ni watu wachache Sana wenye hicho la kipekee , Mimi hii Hali nimeiobserve Kwa Kuda mrefu Sana , linatengenezwa Tabaka la vijakazi na watumwa nchi hii amini usiamini ,too bad akili za wengi bado zimedumaa , too blind and dumb to realize the precarious situation that we are in .
 
Nina hofu kuu kila nikitafakari na kuyaangalia mambo yanavyokwenda.. Nawaangalia wanangu kisha roho inaniuma sana! Naona wazi kabisa napaswa, nahitajika kufanya jambo... Jambo kubwa kwa ajili ya kesho njema ya wanangu na wanao pia.. Mimi nawe.. Sio wao na wana wao!

Tunaundiwa tabaka la watawala... Wao na wana wao, wajukuu na vitukuu, vilembwe na vining'ina! Kwamba akitoka mimi ni wewe halafu ni yule na yule walio kati yetu.. Hakuna nje ya tabaka lao atakayeruhusiwa naye kuwa fulani kati yao!

Tunaundiwa tabaka la kimfumo, hesabu zao ziko kamili japo kwa kificho na kuzuga kwingi, wanachongeana njia na vichochoro, wanapeana connection, wanaundiana mitandao, wanachaguana, wanateuana, wanabadilishana na kupeana nafasi.. Kama wewe si mmoja wao hupaswi hata kuwaza utapata lini kwenye nini na nini...!

Tunaundiwa tabaka la elimu.. Elimu ni ufunguo wa maarifa na uwezo wa kufanya maamuzi.. Wamejitenga na mfumo wetu wa elimu unaofubaza bongo za wanetu.. Kamwe hawawezi kukubali wanao wapate maarifa sawa na wana wao,. Elimu ni silaha kubwa kwenye kudai haki ama kutengeneza mfumo! Wa kwao wanasomeshwa shule bora na vyuo bora.. Wanaandaliwa!

Tunaundiwa tabaka la kipato.. Kipato ni silaha pia ya kupambana panapohitaji maamuzi na matumizi ya nguvu.. Kwamba utake usitake lazima hili liwe... Ukikomaa sana kuna mawili wakumalize ama wakulambishe ukae kimya! Hapa kila mmoja kwa nafasi yake anajitahidi kukusanya nyingi awezavyo.. Nyingi nyingi zaidi nyingi kabisa.. Wanatambua nguvu ya shekeli penye udhia[emoji25]

Tunaundiwa tabaka la kijamii, kuna kwao na kuna kwetu, kwao kunatamanisha na kuvutia .. Kwao kuna kila kitu katika mpangilio wake, katika utaratibu wake.. Je kwako hapo kwenu pakoje!? Kamwe hawawezi kukubali kwao pawe kwako na kwenyu pawe kwao.. Hawako tayari kufanya huo ujinga! Huduma za afya, huduma za msingi kuna tofauti kubwa kati yao na yetu

Tunaundiwa tabaka vijakazi wavuja jasho.. Wakamuliwaji, wao ndio wakusanyaji na wapangaji..hawana huruma nawe... Wanachojali ni kukukamua mpaka tone la mwisho! Hawana huruma nawe, hawana mustakabali nawe, wanachojali ni wapate hata kile kidogo ulichobakiwa nacho... Hawa ni chui kwenye ngozi ya kondoo.. Utawekewa kila aina ya kodi na kila aina ya tozo..! Wewe ni punda.. Sema mimi ni punda![emoji24]

Tunaundiwa tabaka la waoga na wenye hofu, wepesi wa kusahau na wepesi wa kusifu na kuabudu... Tunaundiwa utii kwa shuruti.. Hutakiwi kusema LA bali hewala mkuu...! Ukienda kinyume ama ukahoji majina yote mabaya utapewa wewe.. Na ukijitia kushupaza shingo wana mkono wa ken vice kukunyorosha! Mwishowe ni woga , hofu na taharuki kila kona..!

Tunaundiwa taifa la vijana wa hovyo hovyo, wajinga wajinga wapuuzi puuzi. Wasio na maono, wasio na tafakuri, wasio na hekima, wasio na elimu, wasio na maarifa wala mustakabali,. Wanachojua ni uchawa, umbea majungu na mambo mepesi mavazi na starehe huku wakiota ndoto za Alinacha na kusimuliana hekaya za Abunuwasi.. Hakuna ubunifu bali kuiga na kunakili

Wanakushughulisheni na haya yote ili msahau yote yenye tija na yenye kubeba mustakabali wa kesho ya wanao... Vimeondoka vingi tulivyobarikiwa na Mola wetu ... Walisaidia na kusaidiana kubeba vyote vinavyobebeka, vyote vimepigwa mnada kwa vipande vya fedha kidogo na ahadi ya madaraka.. Wametengewa mafungu yao..wanakula mpaka wanavimbiwa...

Sasa ni muda wa kuanza kuchukua na visivyohamishika! Na wakivitaka watavichukua tuu.. Utake usitake...! Nachelea kuwaona wanangu na vizalia vyao wakiwa watumwa kwenye ardhi yao wenyewe! Inaumiza sana! Kwakuwa wameshajijengea miisho yao itakayokoma vizazi na vizazi.. Kazi ipo kwenye vizalia vyako na vyangu.

Kama umenielewa zinduka sasa.. Tukaukomboe wakati kwa manufaa ya wana na wana wa wana wetu...VIZALIA HURU..!!!
Unajua Bro Mshana Kwa wenzetu kuna index moja muhimu Sana wanaiangalia na in most cases ndio huwa inaamsha hata social rebellion against Governments .Hii ni upward social mobility index (yaani kipimo cha kujua urahisi wa mtu kutoka kwenye Umasikini na kuishi maisha Bora ,) , sasa nikiangalia hii index ikitumika hapa kwetu unaona kabisa regime iliyopo jinsi ilivyofubaza ndoto na prospects za common men (mnyonge ) ni hatari mno sema basi Tu .

Ndio maana ukifuatilia Kwa ukaribu inorder to prosper in corrupt and brutal regimes kama hizi someone must be a criminal / possession of criminality traits is a must thing.
Utakuta matajiri wengi hata hapa bongo ni wakwepa Kodi , wahujumu uchumi , mafisadi , wala rushwa , watoa rushwa , nepotism aka undugu , majambazi , matapeli , drug dealers nk
 
umeongea mengi ila hujatoa hitimisho, ila nachomahukuru mungu hata wengevuna mali kiasi gani au madaraka kiasi gani bado tunavuta wote hewa hii na pia tutazikwa wote ardhi hii hii, kwa hiyo hamna namna acha wale TU hatuna cha kuwafanya
 
what can we do bro. ?.ni kweli hi ni tatizo ,wengine wanahitaj angalau kujua tunatokaje ,Asante
 
"... mtanikumbuka kwa mazuri..." alisikika akisema pale Singida
Serikali ya CCM ni Ile Ile ,ni ndumilakuwili , definition ya stupidity ni kurudia method Ile Ile ukitegemea different results , ndio Sisi sasa kuendelea kuwapa madaraka watu wale wale na mfumo ule ule unaojulikana kuwa ndio source ya failure katika mambo mengi nchi hii halafu tunajaa tunaota mabadiliko aisee sijui tumelogwa na Nani ?
 
Unajua Bro Mshana Kwa wenzetu kuna index moja muhimu Sana wanaiangalia na in most cases ndio huwa inaamsha hata social rebellion against Governments .Hii ni upward social mobility index (yaani kipimo cha kujua urahisi wa mtu kutoka kwenye Umasikini na kuishi maisha Bora ,) , sasa nikiangalia hii index ikitumika hapa kwetu unaona kabisa regime iliyopo jinsi ilivyofubaza ndoto na prospects za common men (mnyonge ) ni hatari mno sema basi Tu .

Ndio maana ukifuatilia Kwa ukaribu inorder to prosper in corrupt and brutal regimes kama hizi someone must be a criminal / possession of criminality traits is a must thing.
Utakuta matajiri wengi hata hapa bongo ni wakwepa Kodi , wahujumu uchumi , mafisadi , wala rushwa , watoa rushwa , nepotism aka undugu , majambazi , matapeli , drug dealers nk
sasa nikiangalia hii index ikitumika hapa kwetu unaona kabisa regime iliyopo jinsi ilivyofubaza ndoto na prospects za common men (mnyonge ) ni hatari mno sema basi Tu .[emoji2827][emoji2827]
 
what can we do bro. ?.ni kweli hi ni tatizo ,wengine wanahitaj angalau kujua tunatokaje ,Asante
Kama umenielewa zinduka sasa.. Tukaukomboe wakati kwa manufaa ya wana na wana wa wana wetu...VIZALIA HURU..!!!
 
umeongea mengi ila hujatoa hitimisho, ila nachomahukuru mungu hata wengevuna mali kiasi gani au madaraka kiasi gani bado tunavuta wote hewa hii na pia tutazikwa wote ardhi hii hii, kwa hiyo hamna namna acha wale TU hatuna cha kuwafanya
Tumefundishwa kuwa werevu kama nyoka na wapole kama hua..![emoji1541][emoji1541][emoji1541]


Kama umenielewa zinduka sasa.. Tukaukomboe wakati kwa manufaa ya wana na wana wa wana wetu...VIZALIA HURU..!!!
 
umeongea mengi ila hujatoa hitimisho, ila nachomahukuru mungu hata wengevuna mali kiasi gani au madaraka kiasi gani bado tunavuta wote hewa hii na pia tutazikwa wote ardhi hii hii, kwa hiyo hamna namna acha wale TU hatuna cha kuwafanya
Duuuh, sitaki kuamini.
Ni kweli wote tutakufa na kuzikwa, Ila je kabla hatujafa tunaishije?
Wenzetu wanaifaidi Dunia na wanaandaa mpaka vitukuu vifaidi Dunia!
Wewe unaishije kwa Sasa na mwanao unamwandaliaje maisha yake yasiwe gombania goli?
Hata Mithali 13:12 inasema "Mtu mwema huwaachia Wana wa wanawe urithi".
 
Back
Top Bottom