Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haendani naoFafanua tena kwanini msigwa amekula duara
Definitely slaves. Gap inatanuka kwa speed. Kibaya zaidi wakazi wengi wa Vijijini (ambao ndio wengi nchini) bado Wana akili ya kutegemea mtu/serikali iwaletee kitu/vitu vya kuwapa maendeleo.[emoji25][emoji29][emoji17] Our future nation? Or slaves?View attachment 2271740
Mkumbushe Mwanao Tumefanyiwa Mazuri Na Watu Wanaoitwa Wabaya, Na Tumefanyiwa Mabaya Na Watu Tunaowaita wazuri.... Mwambie Aishi Na Kila Mtu Kwa Akili..!!
Shida kubwa hapa ni elimu na serikali haiko tayari kutoa elimu hasa kwenye suala zima la haki za binadamuDefinitely slaves. Gap inatanuka kwa speed. Kibaya zaidi wakazi wengi wa Vijijini (ambao ndio wengi nchini) bado Wana akili ya kutegemea mtu/serikali iwaletee kitu/vitu vya kuwapa maendeleo.
Wana Ile akili ya "serikali itufanyie".
Maisha kaka,yaan acha tu 😥Thamani yake kabla ya kodi ni Tsh MILION MIA TANO
Mimi huwa naenda Vijijini huko kwa wakulima, ni sehemu ya kazi yangu. Huwa natamani kuwapiga makonzi watu wazima.Shida kubwa hapa ni elimu na serikali haiko tayari kutoa elimu hasa kwenye suala zima la haki za binadamu
Tayari akili na maono yao vimedumazwa kwenye utegemezi na misaadaMimi huwa naenda Vijijini huko kwa wakulima, ni sehemu ya kazi yangu. Huwa natamani kuwapiga makonzi watu wazima.
Watu wamejichokea na maisha duni. Mimi kama change agent huwa najaribu kuwafanya wajione wapo responsible kwa ajili ya maendeleo Yao na wajukuu wao, lakini utasikia "serikali itusaidie, mfadhiri atusaidie".
Wazungu hawajui umaskini ni nini wanauonea africa tu kwenye tv, ndio maana wanatutengenezea migari ya bei mbayaThamani yake kabla ya kodi ni Tsh MILION MIA TANO
Hapana wameshajua udhaifu wetu ninini! Ufahari..Wazungu hawajui umaskini ni nini wanauonea africa tu kwenye tv, ndio maana wanatutengenezea migari ya bei mbaya
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app