inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Dowans na escrow ilikua na shida gani!?Kwani Richmond, Dowans na Richmond kwako ni mifano ya mikataba mizuri?
Unaongea kama una kiwiliwili peke yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dowans na escrow ilikua na shida gani!?Kwani Richmond, Dowans na Richmond kwako ni mifano ya mikataba mizuri?
Unaongea kama una kiwiliwili peke yake.
Kuna baadhi humu wamesema wazi kuwa wanapinga Mwarabu kupewa Bandari wamesema Mzungu akija apewe hata bure wamesema hawajali mkataba wala nini.Duuh, kuna Mahali Walokole wamezungumzia udini na kupinga chochote kwa minajili ya kidini?
Kwako haikuwa na shida? Hiv umezaliwa mwaka gani? Hii mizigo ya madeni anayo ilipa sasa Tanesco imetokana na nini?Dowans na escrow ilikua na shida gani!?
Uendeshaji wa nchi hizi masikini na kongwe,lakini zinajiita changa. Hasa zenye tabia ya kila mwenye nafasi fulani kutamani kuwa fisadi,hazihitaji kufuatwa sana hizo sheria. Vinginevyo ndio maana unakuta upembuzi yakinifu haifikii mwisho. Hizi nchi zibahitaji kiongozi kama Magufuli. Kama kuna hela wewe mkarandarasi ingia kazini kesho. Hivyo ndio mambo yanaenda vizuri. Lakini ukiingiza uitishe tenda what what. Hapo unakaribisha chenga chenga na rushwa sana. Na bahati mbaya huwa hapatikanagi mwenye sifa za kweli,zaidi ya yule alietoa rushwa kote kote na hana sifa. Unakuta muda mwingine hana hata mtaji. Anabakia kubebwa bebwa tuJe huyo mwekezaji amepatikanaje?
Tenda ilitangazwa?
Tanesco inalipa madeni kwa sababu gani!?Kwako haikuwa na shida? Hiv umezaliwa mwaka gani? Hii mizigo ya madeni anayo ilipa sasa Tanesco imetokana na nini?
Hivi ww unaangaliaga bunge una utamaduni wa kusoma hata magazeti? Tuanzie hapo,maana inawezekana na bishana na oya oya,ambaye yupo kama sigara kali.Tanesco inalipa madeni kwa sababu gani!?
Nasoma na kuandika gazetini tangu 1998,nakuuliza ikiwa unajua au unaunga bogi tu Kama mlivo watz wengiHivi ww unaangaliaga bunge una utamaduni wa kusoma hata magazeti? Tuanzie hapo,maana inawezekana na bishana na oya oya,ambaye yupo kama sigara kali.
Nasoma na kuandika gazetini tangu 1998,nakuuliza ikiwa unajua au unaunga bogi tu Kama mlivo watz wengi
'hujielewi'..kuandika tu shida,uelewa upo kweli!?![]()
Dowans yaidai Tanesco jumla ya Sh122 bilioni
KIASI cha fidia ambacho Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) liliamriwa na Mahakama Kuu Dar es Salaam, kuilipa Kampuni ya Kufua Umeme wa Dharura, Dowans, limezidi kupaa, na sasa Dowans inaidai...www.mwananchi.co.tz
Huji helewi may be una maslahi yako binafsi.
I hope umeelewa, kama mnalamba asali tuambiane tupeane michongo na si kujitoa ufahamu kwa vitu vinavyo zungumzwa kwa zaidi ya miaka 13+,so kama kuna connection za uchawa una waambia wana nao waishi kama ww.'hujielewi'..kuandika tu shida,uelewa upo kweli!?
Bandari itawekezwa,Kama unadhani tunatetea kisa uchawa poleI hope umeelewa, kama mnalamba asali tuambiane tupeane michongo na si kujitoa ufahamu kwa vitu vinavyo zungumzwa kwa zaidi ya miaka 13+,so kama kuna connection za uchawa una waambia wana nao waishi kama ww.
Tupeane mashavu sio mnakula peke yenu.Bandari itawekezwa,Kama unadhani tunatetea kisa uchawa pole