Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Kwanini kwanza serikkali haikuweza kuangalia kuwa kwa kumpa mwarabu bandari kutaleta sintofahamu,kutokana na muundo wa serikali yenyewe,hata kama mkataba ungekuwa sahihi,kuna mambo unapaswa kuangalia kabla,harafu lazima mjue mnaongoza watu wenye akili,itisheni mjadala tutwangane maswali
 
Mkuu mwaga data usitukane hoja za kiuchumi ni muhimu ili tujifunze kiliko kutuhumu watu.
Wewe pale machine wanunue nane wangeziweka wapi,upande wa baharini eneo walilopewa ni la kukaa ssg 7 tu, mbona huongelei upande wa rtg,we unaposikia bandari imefanya vizuri unazani ni tpa? Juzi hapa tumeipita kenya unazani kwa machine za tpa? Usiongee usichokijua
 
Kwenye swala hili mods tafadhalini sana. Mtuache tuongee sio vinginevyo
Tumevurugwa
Serikali isitishe hili zoezi la uuzwaji wa Bandari
Tusitafutane ubaya
Tanganyika ni sasa
Umesoma mkataba
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma


.....karogwa tena.

Kama ana hela kwa nini asizitumie kuunda kampuni kama Double Penentration?
 
Jibuni hoja zake kiuchumi kasema badala ya kukusanya 7bn wanapanda 18bn ajira kutoka 1200 kuenda 75000, hojini hivyo kuliko kipiga kelele
Ebu jitambue kidogo tu!.kwa kurejea mikataba mibovu tuliyowahi kuingizwa mkenge kama nchi.
Ahadi huwa ni zipi na hususan kwenye madini?
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma

Kwani mtu akiwa na hela hahongwi? Huyu asitubabaishe na story zake. Kama hajahongwa mbona hakanushi tuhuma?, ameshikilia tu mimi nina apartments, sijui nina nini. Mbona hajatuambia kwa nini hakuwepo kujadili bajeti ya nishati?
 
Ati umelipa ushuru wa milioni Mia moja na kidogo ili walimu wasikose mshahara! Kwani nchi hii waajiriwa wa serikali ni walimu tu? Na kwani awatolee mfano na utetezi wake uliokosa mtiririko wa hoja?
Na kusema kuwa bunge ni serikali alimaanisha au? Ccm mnaiangamiza nchi kwa kuruhusu wananchi kuwakilishwa na wenye uelewa duni!
Kwa sababu ndiyo waalimu ndiyo wanachukua takribani 50% ya watumishi wote wa serikali.
 
Huyu jamaa ana hela chafu sana.
Unayajua makarasha? Unaijua migodi?
Huenda unatoka sehemu ambazo kwao hela wanazipata kwa style ingine tena chache.

Msukuma alikuwa sio mbunge wala mwenyekiti wa ccm Geita alikuwa antembea na msafara wa gari Rais akasome muulize marehemu Donald Max
"muulize marehemu Donald Max" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma


Hajajibu hoja vizuri,

Mosi, Kasema mkataba siyo WA miaka mia moja, Je mkataba ni WA miaka MINGAPI?

Pili,Kwanini hawakwenda kujifunza na kule ilikowekeza ambalo Kuna mgogoro?
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma


UFAFANUZI SAFI KABISA NI WAKATI SASA WAANDISHI WA HABARI WAKAPELEKWA HUKO NA KURUSHWA LIVES, ILI WATANZANIA WAJIONEE WENYEWE, PIA VIFUNGU VYOTE VYENYE UKAKASI VIONDOLEWA KATIKA MKATABA UTAKAOANDIKWA.
 
Musukuma hana utajiri anaojitapa kuwa nao,anamiliki mabasi chakavu anayonunua kutoka kwa Zakaria Express.
Muuza miwa mchawi huyu!
Kishanogewa rushwa!

Watu wanapiga kelele kuhusu vipengele vilivyopo kwenye huo mkataba.

Musukuma anapiga porojo bila kuainisha hivyo vipengele!

Na yeye atutajie ni kifungu gani kimetamka kwamba DP World wataleta mitambo hamsini ya kushushia kontena!

Huyu ni mla rushwa hatari kwa usalama wa taifa.
Ukoo wako unamiliki mabasi ya hivyo mangapi kwani?.
 
Duuh, kuna Mahali Walokole wamezungumzia udini na kupinga chochote kwa minajili ya kidini?

Hebu tuwe kama wasomi, tupinge jambo kwa hoja ya msingi

Kinachopingwa sio ubinafsishaji, ila terms zilizopo katika mkataba, unawezaje kubinafsisha bandari kwa mgeni ambaye hukuwahi kufanya nae kazi tena kwa miaka 100?
Albert Einstein: Akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msukuma kawapiga mbali sana kiakili wazee wa ndani ya box!.
 
Wacha ujinga wewe mwehu. Kwamba leo ndio umeanza kusikia wanasiasa wakiongea na kutaja taja hizo namba?

Kwanza nimeliona lijinga limesema "TICTS ipo bandarini miaka 30 sasa" hapo hapo limejisahau sentensi inayofuata linasema "ndani ya hiyo miaka 20 wamenunua machine 7 tu."

Sasa mwehu kama huyo anaweza kumwambia nini mtu anaejitambua?
Albert Einstein:"AKILI NI KILE ANACHOBAKI NACHO MTU BAADA YA KUONDOA YALE ALIYOFUNDISHWA DARASANI"
Sasa wewe ondoa yale uliyofundishwa darasani,yaani hiyo diploma, degree na PHD,ndiyo ujilinganishe na Musukuma.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani nchi hii mara ngapi imeingizwa chaka na mikataba fake? Maana kama mabwiga basi ndio watakuwa hao walio andaa Dowans,Escrow, Richmond nk na ndio inawezekana wakawa ndio hawa hawa kwenye bandari.

Kweli wajinga wengi sana nchi hii na ndio maana hao mbwiga wakaingiza chaka nchi hii kwenye Escrow, Dowans na Richmond.

Ila kumbuka hata saa mbovu kuna mda inapatia majira, pili kwenye malumbano ya hoja jifunze kuheshimu watu sometimes unaweza hata kujifunza kutokea kwa huyo unaye muona mjinga.

Train your brain kuhimili hoja ngumu hata kama kwenye swala hilo kuna maslahi yako na si kuanza kuprovoke watu.
Sasa Kuna hoja ngumu hapa!?..unaelewa chochote kuhusu escrow, dowans na Richmond!?..unaijua kweli mikataba mibovu ya nchi hii wewe au unaenda na vibe za media!?..fuatililia bunge ujue kuhusu uwekezaji unaotakiwa kufanya bandari,siyo kubeba maneno ya malaya mange kimambi
 
Sasa Kuna hoja ngumu hapa!?..unaelewa chochote kuhusu escrow, dowans na Richmond!?..unaijua kweli mikataba mibovu ya nchi hii wewe au unaenda na vibe za media!?..fuatililia bunge ujue kuhusu uwekezaji unaotakiwa kufanya bandari,siyo kubeba maneno ya malaya mange kimambi
Kwani Richmond, Dowans na Richmond kwako ni mifano ya mikataba mizuri?

Unaongea kama una kiwiliwili peke yake.
 
Back
Top Bottom