joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kwani nchi hii mara ngapi imeingizwa chaka na mikataba fake? Maana kama mabwiga basi ndio watakuwa hao walio andaa Dowans,Escrow, Richmond nk na ndio inawezekana wakawa ndio hawa hawa kwenye bandari.Kipengere Cha juu kinazungumzia jinsi ya kuvunja mkataba,mambwiga wenye uelewa finyu wanalalama mkataba wa milele Mara miaka mia,wajinga wengi Sana nchi hii
Kweli wajinga wengi sana nchi hii na ndio maana hao mbwiga wakaingiza chaka nchi hii kwenye Escrow, Dowans na Richmond.
Ila kumbuka hata saa mbovu kuna mda inapatia majira, pili kwenye malumbano ya hoja jifunze kuheshimu watu sometimes unaweza hata kujifunza kutokea kwa huyo unaye muona mjinga.
Train your brain kuhimili hoja ngumu hata kama kwenye swala hilo kuna maslahi yako na si kuanza kuprovoke watu.