Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Bungeni...Huku Kibajaji....Huku Msukuma, msomi wa PhD ya darasa la saba.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hata kama CCM ni wadhulumaji kwenye uchaguzi, kweli unadhulumu mbunge wa upinzani aliyechaguliwa na wananchi, halafu unampa Musukuma, Kibajaji na Japipo!! Ccm kwa kweli ndio wauaji wa Taifa.