Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Massala ya Ticts na Karamagi hizo behind the scene, wengi hatuzijui ila huu mkataba now upo mitandaoni na vipengele vyake ndio vile, so kama kesho mkataba watako udiscuss bungeni ukawa sawa na huu ambao upo mitandaoni tutakuwa tunaipeleka nchi kubaya.

Issues sio DP issue ni contents/vipengele vilivyopo kwenye mkataba tulio uona Mtandaoni. Tusubiri kesho bungeni huku tukiwa na nakala zetu tulizopata mitandaoni then tutalinganisha, kama ni tofauti na utakuwa na maslahi makubwa kwetu itakuwa faida ila ikiwa vice versa tumtafute mwengine.
Mtandaoni umeona mkataba au vipengele viwili vya mkataba baina ya serikali!?
 
Kuna watu humu walikuwa wanauliza wakati fulani (
Je Kitenge hela za kuwa anakwenda nje mara Kwa mara na kurudi anazipataga wapi?

Je mmeshapata majibu au bado?
Imejulikana. Inasemwa kwamba yeye alipewa dola 50,000 ila hakupewa V8 kama alivyofanyiwa Musukuma.
 
Huyu mwehu tu si wa kumsikiliza hata kidogo.
Amelipwa na Waarabu kwa ajili ya kutetea mkataba huu wa ovyo.
 
Huyo darasa la saba anatumiwa na ccm kama “ court jester” kufurahisha wakubwa wa ccm!
Amehongwa na ndio maana anaweweseka; anadaiwa na kila benki hapa nchini ikiwemo Akiba Commercial Bank, angekuwa na hela si angelipa madeni badala ya kwenda kupark mahakamani!!
Huyu mjinga awadanganye wajinga wenzie kwani sisi tunajua wenye fedha hata siku moja hawajisifu!
Hawa wasemaji hovyo kama Musukuma ndiyo huwa wanatafutwa kwenye mambo ya hovyo kama haya kwa sababu hawana hata soni.

Ona hata sasa, waliopewa rushwa ni wabunge 10, lakini ambaye hana aibu na anatetea kwa nguvu pekee yake ni huyu mbunge wa darasa la 7.
 
Tumeua Mashirika na Viwanda vingapi? tuliachiwa reli na kamili na vichwa na majengo yake tukashindwa hata hii SGR tumekimbilia kwa kuwaiga Kenya nayo kuiendesha tutashindwa, mwendokasi tumeshampa Emirates.

Acha ndoto.
 
Huyu bwege kishahongwa na waarabu.kama ana hela bungeni kafuata nini huyo paka.si angekaa kwao ale hizo hela zake.mpuuzi mkubwa huyo.
Mkuu mbona Mo Dewji alikua bungeni? Na yule tajiri wa mabasi wa Morogoro yupo Bungeni?
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma


Kumbe Rais anatimiza ndoto zake sio dira ya Taifa. Well noted
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma


Hela huwa hazitoshi. Elon Musk pamoja na mapesa yake yote bado anatafuta pesa, ndio atakuwa Msukuma.
 
Jibuni hoja zake kiuchumi kasema badala ya kukusanya 7bn wanapanda 18bn ajira kutoka 1200 kuenda 75000, hojini hivyo kuliko kipiga kelele
Maneno ya wanasiasa hayo kwani CCM wametuongopea mangapj wewe nae kilaza kama huyo mpuuzi kima wewe
 
Back
Top Bottom