Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma


Sijaongwa = sijahongwa????
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma


Yaani kwenye hii nchi, vilaza ndiyo wana ujasiri kwenye kila kitu kuliko wale werevu! Inasikitisha sana.
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma

Watu kama hawa inatakiwa akirudi nyumbani kwake anakuta mji wake umepigwa moto na maslahi yake popote yalipo yanakuwa targeted!
Uone kama atakuja kurudia upuuzi wake, Watanzania sisi wapole sana!
 
Kuna kigogo awamu ya nne alihongwa binti na muarabu mashuhuri iringa hata sasa anamke iringa.... haya maneno kuwa msukuma alipewa namba ya simu siwezi kuona kama ni uzushi kabisa
Unamaanisha familia ya Ashash ilimpa mke Jeikei, siyo!!
 
Jibuni hoja zake kiuchumi kasema badala ya kukusanya 7bn wanapanda 18bn ajira kutoka 1200 kuenda 75000, hojini hivyo kuliko kipiga kelele
Hayo matarajio yanatakiwa kufanyika kwa uchambuzi yakinifu ya watt waliokwenda shule sio wanasiasa. Ya Ticts, KADCO, ATC SAA, Alliance Air, Loliondo kwa kweli katiba mpya yahitajika tutakuja uzwa wakati hatu fahamu
 
msukuma sasa ndo ataamini helaa bila kuwa na elimu japo kidogoo unakuwa lofaa badooo maana utapewaa kioo uambiwee ni almasiii... anakatwaa
 
Hawa sukuma gang, wanalengo la kumpotosha Rais, iliaone anaungwa mkono, mwisho haohao watakuja kumponda ameuza nchi, Samia Hawa sukuma gang lengo ni kuonyesha dunia magufuli alikuwa mzalendo na Sasa nchi ipo chini ya mafisadi. Kuwa nao Makini
 
Kwa hiyo kelele zote hizi watu Wala hawana uhakika na huo mkataba/hawajauona?!
Kila kitu kinaanza na tetesi huwezi kuwazuia watu kudiscuss walicho kiona.Dunia nzima wanadiscuss Nyaraka za Edward Snowden, wakati serikali ya US haija prove.

So kazi inabaki kwao serikali kuprove kwamba kile kilicho onekana na walicho kisaini vitu viwili tofauti.
 
Cha kwanza Msukuma atuambie kwanini wambunge walipelekwa Dubai na India na sio kwenye inchi za Africa ambanzo Hiyo kampuni inaendesha bandari.

Cha pili kwa nini mkataba ulipigwa sign kabla bunge na wanainchi hawajaipitia mkataba wenyewe na kukubaliana nao.

Tatu msukuma atuambie yeye kama yeye aliusoma mkataba kila kipengele na kuelewa na kuridhika kwamba unafaa.

Nne mkataba ni wa mda gani na tunaweza kuuvunja vipi kama muwekezaji hajakamilisha malengo yetu.

Story za kuja kutueleza matatizo ya bandari haziwezi kuruhusu inchi kutoa bandari kwa mikataba mibovu. Tunajua kuna sehemu nyingi tuna matatizo ya uendeshaji na tunaitaji wawekezaji lakini lazima tupate wawekezaji watakao boresha na kunufaisha inchi sio kwa sababu tuna matatizo ya uendeshaji ndio kiwe kigezo cha kuwapa wawekezaji kwa manufaa ya watu wachache hiyo ni BIG NO.


Sent from my SM-G991U using JamiiForums mobile app
 
Kila kitu kinaanza na tetesi huwezi kuwazuia watu kudiscuss walicho kiona.Dunia nzima wanadiscuss Nyaraka za Edward Snowden, wakati serikali ya US haija prove.

So kazi inabaki kwao serikali kuprove kwamba kile kilicho onekana na walicho kisaini vitu viwili tofauti.
Mfano wa Snowden ni off the mark..utajadili vipi kitu hujakiona!?
 
Back
Top Bottom