Aaronrweumbiza
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 577
- 711
Msukuma anasema ajira zitaongeza kutoka 28,000 mpaka 120,000, halafu anasema huko Dubai mwanamke mmoja tu ndiye anapakuwa mizigo yeye peke yake Bandari nzima. Sasa ajira zitaongeza vipi ? Kama mtu mmoja ndio ufanya kazi zote ?, Awa si bure wamesha lamba asali.