Jama wa darasa la saba kawanyamazisha hamna mwenye hoja ya kumchallenge kumbe ni ipagaji ndo wanaumiaSio taka ni tako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jama wa darasa la saba kawanyamazisha hamna mwenye hoja ya kumchallenge kumbe ni ipagaji ndo wanaumiaSio taka ni tako
Nadhani mnaona wenyewe picha inajieleza
View attachment 2651132
Anaitwa sheikh Abdul wa geita kwa sasa
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma
Aisee nchi hii ina watu wa ajabu!Jama wa darasa la saba kawanyamazisha hamna mwenye hoja ya kumchallenge kumbe ni ipagaji ndo wanaumia
Msukuma anastahili pongezi kwa ufafanuzi mzuri na amepigilia baraghashia barabara kabisa.Huyu jama kaeleza vizuri sana na subiria mwenye kum-challenge kihoja sio matusi, sikilizeni hiyo clip plz.....ndo mleta majibu sio kupiga propaganda.
Amesema bandari itakodishwa kwa Waarabu kwa miaka mingapi?Huyu jama kaeleza vizuri sana na subiria mwenye kum-challenge kihoja sio matusi, sikilizeni hiyo clip plz.....ndo mleta majibu sio kupiga propaganda.
Hivyo vipengere vileteni tuvioneMwambieni shida sio uwekezaji, shida ni vipengele vya mkataba wa huo uwekezaji.
Kwanza ni chizi hafaiHuyu mhutu siyo wa kumwamini sana.
Kapewa chake hana akiliKuna kigogo awamu ya nne alihongwa binti na muarabu mashuhuri iringa hata sasa anamke iringa.... haya maneno kuwa msukuma alipewa namba ya simu siwezi kuona kama ni uzushi kabisa
Hamna mkataba hapo mpaka sasa hivi mda haujatajwa ila kasema miaka 100 ni uzushi tu.Amesema bandari itakodishwa kwa Waarabu kwa miaka mingapi?
Chotera! Acha upimbi humu hatujadili personality wala imani za kidini pimbi weweNadhani mnaona wenyewe picha inajieleza
View attachment 2651132
Anaitwa sheikh Abdul wa geita kwa sasa
Mimi nimeishia aliposema "TUMWACHE RAIS ATIMIZE NDOTO ZAKE".Nimeishia pale aliposema "ukiondoa wapiga kelele"
Ndoto zake za ku-liberalize badari na kuongeza kipata cha bandari kutoka 7bn kwa mwaka kuenda 18bn, wewe umeelewa je hapo?Mimi nimeishia aliposema "TUMWACHE RAIS ATIMIZE NDOTO ZAKE".
Hapo imetosha kumtunuku huyu mwehu cheti cha Mirembe.
We mkataba umeuona?!..hebu tuwekee na sisi tuuoneIssue sio mkataba wala mwekezaji, issue vipengele vya kwenye mkataba.