Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Jibuni hoja zake kiuchumi kasema badala ya kukusanya 7bn wanapanda 18bn ajira kutoka 1200 kuenda 75000, hojini hivyo kuliko kipiga kelele
Wacha ujinga wewe mwehu. Kwamba leo ndio umeanza kusikia wanasiasa wakiongea na kutaja taja hizo namba?

Kwanza nimeliona lijinga limesema "TICTS ipo bandarini miaka 30 sasa" hapo hapo limejisahau sentensi inayofuata linasema "ndani ya hiyo miaka 20 wamenunua machine 7 tu."

Sasa mwehu kama huyo anaweza kumwambia nini mtu anaejitambua?
 
Nasikia alitoa namba ya simu saivi anatumiwa tuu vya kutumiwa huko watsup anatia hurumaa
 
Ndoto zake za ku-liberalize badari na kuongeza kipata cha bandari kutoka 7bn kwa mwaka kuenda 18bn, wewe umeelewa je hapo?
Mnukuu ukweli. Umesahau billion 60?

. "billion saba miaka yote, alipokuja Magufuli akaxipandisha mpaka billion 28, mama anategemea kufikisha billion 60.

Hayo hujsyasikia?
 
Wacha ujinga wewe mwehu. Kwamba leo ndio umeanza kusikia wanasiasa wakiongea na kutaja taja hizo namba?

Kwanza nimeliona lijinga limesema "TICTS ipo bandarini miaka 30 sasa" hapo hapo limejisahau sentensi inayofuata linasema "ndani ya hiyo miaka 20 wamenunua machine 7 tu."

Sasa mwehu kama huyo anaweza kumwambia nini mtu anaejitambua?
Mkuu mwaga data usitukane hoja za kiuchumi ni muhimu ili tujifunze kiliko kutuhumu watu.
 
Jamii inayoabudu wenye hela bila kujali wamezipataje ni jamii isiyo na mwelekeo. Huyu kila siku kukandia wenye elimu zaidi yake kisa tu ana vihela; utafikiri wote walioishia la saba ni matajiri kama yeye!

Elimu ina sehemu yake hasa ikitumiwa vizuri vinginevyo ndo hivi: Jamii isiyojua inakwenda wapi na kwa muda gani huku mashujaa wake wakiwa ndo kama huyu mwenye Ph.D ya kununua....
 
Kwa hiyo unataka tukuamini wewe bibi ushungi na Muslim wenzio wa Dubai?
Tunakujua akili zako huwa hazina akili pale jambo likihusisha Muslims wenzio!.
Mkuu unahamia tena kwenye udini unaharibu uzi, leta hoja sio matusi tena.
 
Nimeishia pale aliposema "ukiondoa wapiga kelele"
Mbona wanao tumwa kupiga kelele ni wale walio kimbia shule? Jana tulimuona Kibajaji akitoa povu bila kuwa na ka maana hata moja. Ana tuletea issue za TICKS ambao walipewa eneo dogo sana la huduma pale bandarini leo huyo zero mwingine nae kaja na issue ya TICKS na kutuita wapumbavu waoiga kelele kisa yeye alienda Dubai. Hajasema alikaa huko miaka mingapi kuangalia utendaji wa hawa master dealer.
Hajasema mkataba wanao ingia Tanzania kama una fanana na huo wa Dubai, kabaki kujisifia ana magari.
Hata hilo la kuhongwa nalo pia si lina jina lake??? Ccm ni kansa...
Kwanini hawasemi wizara ya uchukuzi siyo ya muungano? Kama wao ni wabunge makini? Wizara ya uchukuzi ina takiwa iwe chini ya Mtanganyika na sio hawa walio tawaliwa na waarabu na wana ndugu zao huko.. hii bandari ni mali ya Tanganyika.
 
Ndoto zake za ku-liberalize badari na kuongeza kipata cha bandari kutoka 7bn kwa mwaka kuenda 18bn, wewe umeelewa je hapo?
Rais hatakiwi kuwa na ndoto zake hata siku moja. Hii nchi sio familia yake. Rais anatakiwa kuongoza nchi kulingana na dira ya taifa sio kwa ndoto zake.
 
Back
Top Bottom