Serikali ya wajinga, project reference ana taja Somalia na Rwanda eti huko DP world pia wako, Rwanda kuna bandari?, Somaliland ni bandari ndogo ambayo ina hudumu watu wachache wala huwezi kujifunza chochote, largest port in Somalia ni Mogadishu port ambayo iko south part of Somalia, populated area and head quarter of Somalia.
Ameenda Dubai kuona picha za bandari, anaweza tueleza before na baada ya DP world kuchukua bandari ya DUBAI revenue ilikuwa ni kiasi gani?,operation efficient iliongezeka kwa asililia ngapi utoka asilimia ngapi?, containers handling kiasi gani before na kiasi gani after? , waliwekeza kiasi gani before and after? maamuzi ufanyika based on reality data ambazo zitaonyesha pesa , flow of money, sio kwenda DUBAI kupiga picha, pia huwezi kuamua kitu kama hii kwa kutumia sentence tutapata, uta ,tuta, tuta nunua mchine 50, tuta tuta, tuta, hizi ni story ,hiyo ni gues work, tuwape mwaka wa majaribio au miezi sita tuone hizo figure before we proceed, kwani tuna wahi nini?