Musukuma aisifia DP world ya Dubai sakata la bandari. Adai Taifa linacheleweshwa na wajinga wanaotaka kushirikishwa kila kitu

Musukuma aisifia DP world ya Dubai sakata la bandari. Adai Taifa linacheleweshwa na wajinga wanaotaka kushirikishwa kila kitu

Hivi ni kwamba pamoja na kuwa na uhuru kwa Miaka 60 hatuna uwezo wakusimamia mambo yetu kweli? Au tuna uhuru wa kuuana kwa sumu na kupiga Domo tu?

Pale itumbi chunya Kuna jamaa aliuza shamba lake kwa million 900 lenye miamba ya dhahabu.kwa sasa kiloba kimoja kinatoa gram 500 dawa na 50 million .Tusipende kuuza vya kwetu .lakini sasa hatuna uzalendo
 
Hivi kwa nini Wabunge hawataki kukubali kuwa huko tulikotoka mbunge kujua tu kusoma na kuandika ilikuwa sawa, lakini kwa sasa Elimu ya kuanzia iwe form 6. Yani hiki kitu akina Msukuma et al wanakipinga kweli. Haya sasa skia anavyoongea bila kufikiria.
Ukiangalia mambo yanayofanywa na akina Dr Tulia Ackson na Profesa Paramagamba Kabudi kuna utofauti na wanayofanya akina Kibajaji , Msukuma et al??
 
Yaan mda mwingi ameutumia kudhihaki wasomi, kumu-attack mbunge mwenzake na kujisifia.

"Yaan Mh waziri nimeenda Dubai bandarini sijaona watu naona Yale mavifaaa yanapishana tu..... zaidi nlimuona mdada mdoogo akibonyeza kitufe kontena linatua.." 😁😁😁
 
Yaan mda mwingi ameutumia kudhihaki wasomi, kumu-attack mbunge mwenzake na kujisifia.

"Yaan Mh waziri nimeenda Dubai bandarini sijaona watu naona Yale mavifaaa yanapishana tu..... zaidi nlimuona mdada mdoogo akibonyeza kitufe kontena linatua.." 😁😁😁
Pia ameongeza kuwa baada ya kumuona huyo mdada alichukuwa namba yake. Kweli huyu ni PhD. Hivi Kuna machine inayoweza kujiendesha Duniani bila kuongozwa na mwanadamu. Hata robot anasetiwa na mwanadamu. Labda mimi ndiyo gumbaru sijui au kwa vile sijaenda Dubai.
 
Pia ameongeza kuwa baada ya kumuona huyo mdada alichukuwa namba yake. Kweli huyu ni PhD. Hivi Kuna machine inayoweza kujiendesha Duniani bila kuongozwa na mwanadamu. Hata robot anasetiwa na mwanadamu. Labda mimi ndiyo gumbaru sijui au kwa vile sijaenda Dubai.
Huyu msukuma anatumika/atatumiwa na CCM kimkakati kuwashika akili watu wa ukanda huo ambao mpaka saiv wanaishi na kimvuli cha hayati
 
SAKATA la kuuza Bandari kwa Mwarabu limezidi kuwagawa watanzania hapo Mbunge Joseph Msukuma amewashambulia watanzania wanaopiga kuuzwa kwa bandari kwa mwarabu.


==============

Mimi ni mmmoja wa Wabunge niliyeenda Dubai, kuona uwekezaji uliopo Dubai. Wala sijifichi. Nilienda kwenye ziara ya Kamati ya Mh. Mbarawa. Na mimi kidogo sijui unaweza kununua akili yangu kwa gharama gani maana mimi ni La Saba mwaminifu. NduguMwenyekiti, Tanzania tunachelewa kwenda kwenye maendeleo kwasababu ya Digrii – Risk Assessment, Mchakato; haya mambo yatatuchelewesha! Upembuzi yakinifu, jamani!

Hivi, unajengaje reli ya kisasa, ya matrilioni, kwenda Congo, kwenda Mwanza, halafu una Bandari inayotoa mabehewa 120 kila siku. Tunachelewa sana Mwenyekiti. Tunachelewa kwasababu ya watru wachache, wajinga ambao kila kitu unataka ushirikishwe. Sawa, tunataka tuletewe mkataba, humu kila mtu atachangia dakika 10.

Tumefika wakati sasa na wataalamu wetu wooote ni wajinga. Mpaka CAG anayetugombanisha humu naye ni mjinga, maana yake sisi tuna jicho lakini hatuamini.


Mimi nilienda Dubai na wabunge wenzangu kama 30 hivi, kule bandarini sikuona watu, ni mashine tu zinapishana.
S. T. U. P.I. D
SAKATA la kuuza Bandari kwa Mwarabu limezidi kuwagawa watanzania hapo Mbunge Joseph Msukuma amewashambulia watanzania wanaopiga kuuzwa kwa bandari kwa mwarabu.


==============

Mimi ni mmmoja wa Wabunge niliyeenda Dubai, kuona uwekezaji uliopo Dubai. Wala sijifichi. Nilienda kwenye ziara ya Kamati ya Mh. Mbarawa. Na mimi kidogo sijui unaweza kununua akili yangu kwa gharama gani maana mimi ni La Saba mwaminifu. NduguMwenyekiti, Tanzania tunachelewa kwenda kwenye maendeleo kwasababu ya Digrii – Risk Assessment, Mchakato; haya mambo yatatuchelewesha! Upembuzi yakinifu, jamani!

Hivi, unajengaje reli ya kisasa, ya matrilioni, kwenda Congo, kwenda Mwanza, halafu una Bandari inayotoa mabehewa 120 kila siku. Tunachelewa sana Mwenyekiti. Tunachelewa kwasababu ya watru wachache, wajinga ambao kila kitu unataka ushirikishwe. Sawa, tunataka tuletewe mkataba, humu kila mtu atachangia dakika 10.

Tumefika wakati sasa na wataalamu wetu wooote ni wajinga. Mpaka CAG anayetugombanisha humu naye ni mjinga, maana yake sisi tuna jicho lakini hatuamini.


Mimi nilienda Dubai na wabunge wenzangu kama 30 hivi, kule bandarini sikuona watu, ni mashine tu zinapishana.
 
Msukuma anajificha kwenye kivuli cha darasa la saba kusukuma ujinga wake huku akidhihaki na kutukana wengine. Kuona sio kutambua, nchi inazamishwa na walafi wachache kwa kigezo cha tunacheleweshwa. Haraka ya kuzamisha nchi kwa masilahi ya kundi fulani inatoka wapi. Masuala ya nchi ni lazima yaendeshwe kwa uwazi na sio kiujanjaujanja
 
Huyu alimwingiza Chaka Lowassa kisha akamtosa

Akaja kumuingiza Chaka Magufuli

Mtu aliyekula nyama ya mtu huwa haachi
Tofauti ya kusoma na kutosoma ndipo inapoonekanaga...Hata akipewa huo mkataba atauelewa? Alimshambulia mwenzake leo, kumbe kalishwa matango pori...Siku mbivu na mbichi zikijulikana atakuwa wakwanza kugeuka...
 
Back
Top Bottom