mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Sisi mpira na bongofleva bongo movieHivi ni kwamba pamoja na kuwa na uhuru kwa Miaka 60 hatuna uwezo wakusimamia mambo yetu kweli? Au tuna uhuru wa kuuana kwa sumu na kupiga Domo tu?
Pale itumbi chunya Kuna jamaa aliuza shamba lake kwa million 900 lenye miamba ya dhahabu.kwa sasa kiloba kimoja kinatoa gram 500 dawa na 50 million .Tusipende kuuza vya kwetu .lakini sasa hatuna uzalendo
Singeli
Udaku,uchawa inatosha [emoji1]
Nchi iko vizuri
Ova