Musukuma aisifia DP world ya Dubai sakata la bandari. Adai Taifa linacheleweshwa na wajinga wanaotaka kushirikishwa kila kitu

Sisi mpira na bongofleva bongo movie
Singeli

Udaku,uchawa inatosha [emoji1]

Nchi iko vizuri

Ova
 
Mkataba ni Mbovu ,kikawaida ilitakiwa wapewe kulingana na investiment yao ya awali ,kama wanainvest 2T then mkataba uende mpaka deni litakapoisha baada ya hapo wale 20% ya faida kwa miaka 15 then tutaangalia baadae kama watahitajika.
 
Nimemchukia sana huyo binti...Yaani sana, she is not what she tells us, eti mlokole?! Gani anayeweza kuogopa wanadamu kuliko Mungu?
 
This was a willing buyer and a willing seller at arm’s length without duress so can’t tell me the guy’s is having sellers remorse?? He would still be growing maize kg 1000 Tsh so please don’t compare apples and oranges
 
Hawa ndo wanafanya tushindwe kuwakanya akina msukuma.
 
msukuma ni kopa tupu haliachi kutika.hajui anachoongea.yeye kajaliwa kuwa mjasiriamali tu lkn kichwani ni mtupu ndo maana anashambulia wasomi.yeye anajilinganisha na waliosoma wakati hana lolote kichwani bali ni kubwabwaja tu hapo bungeni.hawa ni wabunge wa aina ya kibajaji.ujinga wao ndo unaofanya wajione inferior ndo maana muda wote wanawa atack wasomi.
 
H
Huyu naambiwa kapewa Nyumba huko Dubai na lile gari V8 L/CRUISER 300 kapewa kwaajili ya hii kazi ya uchawa.
 
Msukuma anasema kweli, tunafahamu wapingajili humu wanapinga neno "Waarabu" na siyo maendeleo.

Waoingaji mnajisahau kuwa hata hilo neno "bandari" bila ya Waarabu lisengekuwepo.

Kama hilo halitoshi, tusisahau kuwa hata jiji hili, ambalo toka lilipoanzishwa mpaka sasa halijaacha kukuwa na leo hii ni kitovu cha biashara Afrika nashariki na ya kati linaitwa Dar es Salaam.

Dar es Salaam ni jina la Kiarabu 100% tena si jina tu, kinatoka ndani ya Qur'an.

Jiji hili lina historia kubwa na Waarabu na sasa ni wakati muafaka waliendeleze.

Hatuwezi kuibadili historia ya kweli bali tunaweza kuipotosha.


Mwenye chuki na Waarabu ajinyonge.
 
Rushwaaaaaaa
 
Yaani badala uangalie uzito wa Hoja wewe unajikita kwenye mambo ya Uarabu wako.


Kama unadhani kuuza Bandari ni muhimu sana, kwanini wasingeuza na ile ya Zanzibar?

Wengine hatuna Nchi nyingine ya kukimbilia zaidi ya hii Tanzania bara, ninyi si Mna Zanzibar ndiyo maana mnatufanyia hivi wa Bara 🙌
 
Ndo madhara ya kungangania muungano sasa bandari ya tanganyika inauzwa na mzanzibar
 
Wazaramo waliita Mzizima kwa hiyo.Wareno walipokuja kufanya biashara wakaanza kuzingua Wazaramo kwa uvivu wao na uswahili wakaajiri Waarabu Mercenari ili wawapiganie vita Waarabu wakapigana vita karne mbili waswahili wanajifanya mamwinyi walipomaliza vita na Mreno Waarabu wakaweka sultan wao Qaboos sasa tunaanza hiyama mpya.Italeta afueni kwa watumwa Allah awape subra msilete tafrani kwani mtakiona cha Firauni.
 
Huu mkataba tunaipinga kwa hoja zenye kueleweka lakini hatujaweka wazi nini haswa suluhisho la tija ndogo ya pale bandarini.

Tuendelee kupoteza wateja wanaohamia Msumbiji na Mombasa kwa kuendelea na kufanya kazi kwa mazoea au tubadilike mazima kwa lengo la ukuaji halisi wa uchumi!?.

Wengi wanaweza kukosoa lakini hawaji na hoja za nini kifanyike kutoka hapa tulipo. Bandari yetu imekuwa ni chanzo cha upigaji wa kudumu, badala ya kuisaidia nchi imekuwa mzigo kwa uchumi wetu.

Tuje na fikra mpya sio kuishia kukosoa uwekezaji wakati tatizo lipo pale pale.
 
zi dhani hata kama lasaba alifika achunguzwe
 
Tatizo la Watanzania ni wizi wa mali zao huku wanajiita wasomi kwa hiyo Mwarabu atapiga viboko wezi mpaka wakome kuiba bassi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…