Musukuma aisifia DP world ya Dubai sakata la bandari. Adai Taifa linacheleweshwa na wajinga wanaotaka kushirikishwa kila kitu

Tembea uone, ukishindwa ingia youtube uone robotics za amazon
 
RUDISHA GARI YA WAARABU WA DUBAI BANDARI YETU IPONE.
Itoshe kusema Wabunge woooote wa Kamati ya Miundombinu huu upigaji uwaaandame maisha yenu yote na Vizazi vyenu. Laaana ya Watanzania iwe juu yenu mfe kifo cha Uchungu mbwaaa nyie. Kama mnataka kuuza Bandari kauzeni zilizoko Mchambawima
 

Attachments

  • IMG-20230608-WA0011.jpg
    55.4 KB · Views: 3
Kwan ile gari unahakika alinunua kwa pesa yake? Au alihongwa kma mwanamke wa bar mjinga sana huyo msukuma
 
Kwahiyo unamchukulia msukuma kama ndiye think tank ya taifa? Who is she btw?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…