Ukisoma Section 20.1,2 &3 ya huu Mswada kwa kweli utaona uhalisia wa huu Mswada asilimia mia Moja.Kwa hakika uundwaji wa hii Tume hauna tofauti yoyote na Tume zilizokwisha pita.
Ni imani yangu kuwa Chadema na Wanaharakati wengine watapasa sauti kwa sasa ili huu mswada usiende Bungeni Kupigwa Muhuri.Hawa watu hawana AIBU (CCM) kwa uwingi wao Bungeni wataupitisha kwa masilahi yao.Lakini na pata tumaini kuwa iko siku Nguvu ya Umma itafanya Kazi kama si ndani ya Mchato huu!
Mswada huu haufaia kwa Karibu 65%.Maeneo yafuatayo kwa Maoni yangu yana mapungu na yanahitaji marakebisho.
Kichwa cha Mswada na vifungu vifuatavyo. 5, 6;1, 7;1, 8;1, 9;2, 10,13,14;1,16;1,2&3, 20;1,2&3 ,21;1,2,&3,22;2,23;3&,24,26,27,28;2&3 and 31;1&2.