Wazalendo watanzania kumbukeni kuwa ziko njia tatu za kudai haki ,haki hailetwi kwenye chombo ni lazima watu tujitokeze kudai kwa njia yoyote kufa kwa ajili ya wengine.
njia za kudai haki nikukaa kwenye meza ya mazungumzo na kuridhiana pande zinazo hasimiana .
Ikishindikana njia hiyo basi kundi linalodai haki halina budi kuanzisha mgogoro ikiwa ni pamoja na kugoma ,kuandamana kwa amani na njia ya tatu kama njia zote hizo zitashindikana basi kundi linalodhani kuwa linaonewa halitekeleziwi matakwa yake laweza kuamua kuanzisha vita hii ni hatua muhimu na ya mwisho .
sasa basi naitahadharisha serikali isiwaone watanganyika kama wajinga ,mazezeta ,hawajua haki zao na njia za kudai haki ,tunajua namna ya kutafuta na kudai haki zetu .jambo la katiba sio lele mama kikwete akichezea amani hii kwa kutaka kutengeneza katiba ya kumlinda na mafisadi wake .akumbuke kuwa katika haistoria ya dunia wapo viongozi walikuwa wababe lakini walishindwa kwa nguvu ya umma wamekufa hawapo wanyayansika na familia zao ,gaddafi leo tunaona kinachoendelea nchi kwake sa kikwete wengine tumejizira tuko tayari kujitoa mhanga subiri sio tishio najua hata nikifa na kufa mara moja na wala sio mara mbili nyote mtanifuata mtakufa tu ,kikwete endelea na mambo yako sio yako
njia za kudai haki nikukaa kwenye meza ya mazungumzo na kuridhiana pande zinazo hasimiana .
Ikishindikana njia hiyo basi kundi linalodai haki halina budi kuanzisha mgogoro ikiwa ni pamoja na kugoma ,kuandamana kwa amani na njia ya tatu kama njia zote hizo zitashindikana basi kundi linalodhani kuwa linaonewa halitekeleziwi matakwa yake laweza kuamua kuanzisha vita hii ni hatua muhimu na ya mwisho .
sasa basi naitahadharisha serikali isiwaone watanganyika kama wajinga ,mazezeta ,hawajua haki zao na njia za kudai haki ,tunajua namna ya kutafuta na kudai haki zetu .jambo la katiba sio lele mama kikwete akichezea amani hii kwa kutaka kutengeneza katiba ya kumlinda na mafisadi wake .akumbuke kuwa katika haistoria ya dunia wapo viongozi walikuwa wababe lakini walishindwa kwa nguvu ya umma wamekufa hawapo wanyayansika na familia zao ,gaddafi leo tunaona kinachoendelea nchi kwake sa kikwete wengine tumejizira tuko tayari kujitoa mhanga subiri sio tishio najua hata nikifa na kufa mara moja na wala sio mara mbili nyote mtanifuata mtakufa tu ,kikwete endelea na mambo yako sio yako