Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajua mimi sina tatizo kubwa sana na katiba iliyopo kama JK angekuwa rais mwenye uwezo mkubwa wa kuongoza.. Katiba iliyopo inampa mamlaka makubwa sana ya kushughulikia matatizo sugu ya nchi yetu kama vile Ukiritimba, urasimu na kwa ujumla wake Ufisadi..Watanzania tuwe makini sana maana vitu vingine sio kuingia kichwa kichwa. naupita itarudi
twafwa jamaa ndo wameshika mpini.... Kunyongw ndo imesashindikana na watoto wao wanaenjoy free political ride...... Tutaloloma wenzetu wanabuunyaaa
mkuu nadhani hujaelewa hoja zetu... Sii swala la woga ila ni swala la kutambua mbinu chafu za CCM na uwezekano wa kupata katiba mpya kwa sabau wewe na wengineo mnaweka imani ktk kitu kisichowezekana au kutokuwepo akilini mwa Utawala uliopo madarakani.. CCM hawawezi kukupa Katiba mpya iwanyonge - haiwezekani...Kwenye hivi vita vya haki hatutaki waoga kama ninyi. Sisi tumedhamiria na kwakua tuna dhamira njema tunashindi kabla ya vita kuisha. Hakuna kurudi nyuma wala kukata tamaa tuko mbele kwa mbele kulikomboa taifa letu dhidi ya mabeberu weusi. Wawe wameshika mpini ama makali it doesn't matter what matters is our decision to say enough is enough and come what may! Hata makali nayo yanasehemu ya kukata na sehemu nyingine hushindwa!
utaratibu wa kuunda katiba ni rahisi sana,
1. serikali iitishe mkutano mkuu wa kitaifa wa makundi yote ya kijamii
2. makundi ya kijamii yaunde tume ya kukusanya maoni
3. tume iandae hadiju za rejea halafu mkutano mkuu wa kitaifa uzipitishe au la.
4.Tume ya katiba ikusanye maoni nchi nzima kulingana na hadiju za rejea.
5. tume ikimaliza kukusanya maoni iyapitie na kuandaa majumuisho.
6. mapendekezo hayo yapelekwe kwenye bunge maalum la katiba kwa ajili
ya kuidhinishwa tu kwani hawana uhalali wa kupindisha maoni ya wananchi
kwani wao ni watumishi tu.
7. baada ya kutoka bungeni yatarudishwa kwa wananchi kwa ajili ya kupigiwa
kura ya maoni (referendum) na wananchi wote na kama yakipita basi katiba
inakuwa halali kwa maana imetokana na wananchi wenyewe.
kinyume na hapa serikali itakuwa inajitakia matatizo yasiyo na msingi kwani wananchi wamechoka kuburuzwa kwani tusingependa kilichotokea nchi zingine kitokee hapa.
Ndg yangu Anko Sam Huyu jamaa President anajua fika nguvu ya huo mswada mpya wa katiba. Anajua hao ndugu zake mafisadi wataumbuka!! Katiba mpya itakuwa na kila kitu; Human wrights bills,ant corruption bills, an independent elector commission, free and independent judicially commission, independent law enforcing firms, transparency and integrity commission. So vitu vyote hivyo vikiwekwa kazini na katiba, mafisadi wote kazi kwisha.JK na CCM yake wanafanya mzaha kwenye jambo la msingi kiasi hiki? Wamekosa aibu mpaka wanaleta usanii kwenye mkataba wa wananchi na serikali yao.
Tunaomba Chama chenye uchungu na nchi hii, Mtuonyeshe Tahrir Square ya kila Mkoa tuanze mapambano. Nguvu ya Umma iwavamie kama Tsunami ya Japan.
ULAGHAI WA KIKWETE KUHUSU KUUNDWA KWA KATIBA YENYE WANANCHI KWENYE STERINGI SASA TUNASEMA BASI: TUNATAKA SERIKALI YA MPITO KUSHUGHULIKIA KATIBA NCHINI NA KUKAMILISHA KILA KITU 2014
CHADEMA,Asasi za Kiraia nchini, Vyuo Vikuu na Nchi Wahisani tunaomba mtuelewe kwamba sasa uzalendo umetushinda na huu utani wote na kiburi ya Mhe Kikwete - tunataka serikali mpya ya mpito sasa hivi kushughulikia katiba!!!
Wananchi; kila mmoja mahala ulipo wakati umefika wa kuachana na mchezo katika mambo ya msingi ambayo tumejaribu kutafuta kiungwana ndio hivo imeshindikana. Hakuna haja kuendelea kubisha mlango usiofunguliwa bali hapa ni kutafuta njia njingine kabisa kwa uwezo wa Nguvu ya Umma.
Cha msingi sasa sisi wenyewe tena vijana, kwa njia zetu zile, TUNAIPA SERIKALI YA Mhe Kikwete hadi April 08, 2011 iwe imewashirikisha wadau wote na mawazo yetu, katika hatua zote za ushiriki, usimamizi na uendeshaji wa mambo ya katiba kwa kuzingatia matakwa ya wananchi na wala si kutulazimiza na matakwa ya watawala ambao ndio haswa tunaowalalamikia kwa unyanyasaji.
Vijana tuliowengi nchini tusimame kutetea haki zetu kwani haki hapewi mtu hata siku moja. Endpo serikali haitotii hayo maoni yetu basi Vijana kote nchini pamoja na taasisi marafiki wa UTAWALA WA KIDEMOKRASIA NA USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI MOJA KWA MOJA tujiweke tayari kwa maandamano ya amani kote nchini mpaka matakwa haya yatimizwe au serikali inaposhindwa basi ikatupishe njia haraka!!
Tunasema katika huu mzaha wa serikali kuhusu tume HURU YA BUNGE kugeuzwa kuwa TUME TEGEMEZI YA RAIS ikibarikiwa na Bunge; Vijana tumefika Tamati tena hadi hapa!!!
Kumbe Kupatikana kwa Katiba Mpya chini ya Uongozi wa CCM haiwezikani bila serikali kututwisha MADALALI kwenye mambo ya kuundwa kwa Katiba Mpya nchini.
CHADEMA tusikilizeni, tunahitaji kwana SERIKALI YA MPITO kumbe yenye jukumu moja tu kushughulikia Katiba kwa MUJIBU WA MATAKWA WA WANANCHI katika hatua zote za usimamizi na maamuzi.
BAVICHA na matawi yetu yote ya CHADEMA nchini tueleweni kwamba wananchi sasa tunasema baaasi na Serikali ya CCM iondoke madarakani sasa hivi. Sote tunao uwezo wa kubadilisha haya mambo yote kabla hatujaingizwa porini zaidi.
Mwenye kupata ujumbe huu na akawajulishe vijana wengine 10 juu ya ulaghai uliotangazwa na serikali majuzi kutupora haki ya kusimamia kuundwa kwa katiba mpya bila kuingiliwa na dola.
Lengo lao likiwa ni kuleta katiba waitakayo MAFISADI nchini, kuchelewesha muda tuingie uchaguzi 2015 bila katiba mpya, na vile vile kukiundia CHADEMA mikesi ya kuchonga kisiasa ili baadhi ya wale tunaowapenda wasigombee.
SASA TUNASEMA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI BARA NA VISIWANI YOTE YAWEZEKANA BILA CCM, TUPISHENI NJIA!!!
Well,if you believe at least the parliament to be legal,i.e it represents the mass proportionally,then submit your motion to the floor and lobby for the votes/support,if not try 2015 may be you will have the majority in the parliament.Just because you get crowds in your demos doesn't constitute that your party has the majority support.
Mkuu Tom this friend of ours Mr Kobelo may be is staying in his own world, if he cant see what is hapenning around us then is blind. If that is the concept of his masters SISIEM then we are in real trouble. Then tujiandae kwa mapambano kudai KATIBA YETU YA TANZANIA. Niliisha sema kuwa kama SISIEMU na serikali yao wataziba msikio wasiwasikilize Watanzania wanataka nini; watasababisha moto uwake hapa nchini na huo utakuwa ni mwisho wa utawala wa Mheshimiwa Kikwete. Kama anadai aliwekwa na watu kidemokrasia kutawala sio udekiteta basi watu watatumia njia za maandamano kudai haki zao na kumuondoa Raisi madarakani. Mbona mambo yako wazi, si watu wanaona wenzao wanafanyaje??????? Tanzania sio kisiwa wala hatuishi mwezini, tena mambo yanakwenda spidi kubwa, awe nani SISIEMU, CDM au yeyote hawezi kuzuia watu kudai haki zao, kwani Libya wanaongozwa na chama gani???????? Kuna mwisho wa kuvumilia kuongozwa na mafisadi, wezi, wanaozika watu wazima wazima kwenye migodi eti wasiulizwe, nchi imekuwa ya nani???????? Uongozi huu sio ule wa Nyerere ni wa mafisadi, watu watachoka tena karibuni wakisukumwa na ubabe wa serikali kuweka katiba feki, watadai nchi yao watazinduka!!!!!!!!CDM or other groups can choose to submit their different motions in the parliament but if they are sure to loose, I don't see the point why not try the use of legal street demos. If successful, it implies big crowds in demos can constitute that the party has majority support. We have same examples from other parts of the world.
In order the whole country to be in piece and harmony of which CCM stands for, CCM as a ruling party that owns the government has to stop games of the jungle on 'CONSTITUTIONAL ISSUE'' instead it has to consider broadview opinions from the whole society otherwise CDM and the people can choose to play jungle-games too.