Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tatizo kubwa sana la CCM ni kuwapa vyeo watoto wa viongozi kama bakhshish , ili kuendeleza na kulinda hujuma walizofanya Wazazi wao za kuitafuna Nchi .
Huyu Diwani wa Kawe anayeitwa Mutta ambaye ni mtoto wa Mfadhili wa CCM Marehemu Getrude Lwakatare , hana kipawa cha uongozi , amelazimishwa tu kuwa Diwani na kupachikwa kwenye Uchungaji wakati ni Muhuni na Msela , mpenda Pombe za kupitiliza na Mla Bata na Mpenda Makahaba asiyejificha ( Walaaniwe wote waliomsimika kuwa Mchungaji wa kanisa).
Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge , hivi ni kiongozi gani wa aina hii anayeachwa tu madarakani?
Yusuph Manji alivuliwa udiwani wa Mbagala Kuu kwa sababu za kipuuzi tu, Kwanini huyu Mlevi anayedhalilisha familia yake anaachwa tu , Nani anamlinda na kwa maslahi yapi ? kwanini asiachwe na mapombe yake ya hela za urithi na michepuko?
Huyu Diwani wa Kawe anayeitwa Mutta ambaye ni mtoto wa Mfadhili wa CCM Marehemu Getrude Lwakatare , hana kipawa cha uongozi , amelazimishwa tu kuwa Diwani na kupachikwa kwenye Uchungaji wakati ni Muhuni na Msela , mpenda Pombe za kupitiliza na Mla Bata na Mpenda Makahaba asiyejificha ( Walaaniwe wote waliomsimika kuwa Mchungaji wa kanisa).
Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge , hivi ni kiongozi gani wa aina hii anayeachwa tu madarakani?
Yusuph Manji alivuliwa udiwani wa Mbagala Kuu kwa sababu za kipuuzi tu, Kwanini huyu Mlevi anayedhalilisha familia yake anaachwa tu , Nani anamlinda na kwa maslahi yapi ? kwanini asiachwe na mapombe yake ya hela za urithi na michepuko?