Mutta Rwakatare avuliwe Udiwani

Mutta Rwakatare avuliwe Udiwani

Jamani emotions intelligence Ni ya muhimu kwa jamii yetu


Things that schools don't teach: . Emotional behaviour . Financial management . Relationship building . Developing the passion . Handling failures . Forgiveness . Generosity . Altruism . Persistence . Mental health.


Hizi ndio maisha yetu ingawa school hawazitilii maanani tunajifunza umri umeshaenda
Umeongea jambo la maana sana mkuu.. Mental health ni everything kuliko billions of money,watu wana underate mnoo Afya ya akili..wanaifanya kuwa optional.
Nenda pale mirembe hospital,ujionee wanao pokelewa pale,ni watu matajiri wana pesa zao,
 
Umeongea jambo la maana sana mkuu.. Mental health ni everything kuliko billions of money,watu wana underate mnoo Afya ya akili..wanaifanya kuwa optional.
Nenda pale mirembe hospital,ujionee wanao pokelewa pale,ni watu matajiri wana pesa zao,
Pesa ndio kila ili tupate mbususu kirahisi ama unasemaje.😃😃😃
Naweza nikasema sababu mojawapo kubwa waafrika inatufanya tuwe masikini Ni nguvu nyingi za kiume, inapelekea kichwa Cha chini kinatawala Cha juu.
Afrika hatuna shida we've a lot natural resources so tuna uhakika kula kulala kuvaa kufakiu bila cost kubwa. Binadamu anapojua Hana option B nakuambia anafanya kazi kufa na kupona ili aishi.

Sasa unakuta mtu anafanya kazi/biashara Ila bado ana B option.

Nimetoka nje ya mada Kama kufanya jokes kuwa sie Africans tumependelewa nguvu nyingi za kiume na pia maumbile marefu kuliko race yoyote yaani mpaka nguruwe ngozi wanatuoneaga wivu.
 
Muta popote ulipo endelea kula bata wala safari hii usirudi tena asikutishe mtu hela yako mwenyewe nani wa kukupangia matumizi? Achana nao,kula bata,piga miti hadi dakika ya mwisho
 
Ingekuwa story inahusu mbususu nadhani your mind ingepata pleasure so usingeongea Ilo. This is nature of human being.
Anzisha darasa la mwandiko. Ama ulinipeleka shule Kuja kunikagua mwandiko.

Sema bana mind is highly built to scan negative in the environment na ndio kazi yake. Inapenda ku feel happy and pleasure all the time. Yaani mie hapa nipo field najionea how our mother gave this kind of brain.


Jisomee hiyo hapo chini sema sio ya kuhusiana na mbususu.


In fact, one single criticism can often outweigh hundreds of positive ones.
That’s why, an author with fifty 5-star reviews, is likely to feel terrible
when they receive a single 1-star review. While the author understands the
1-star review isn’t a threat to her survival, her authorial brain doesn’t. It
likely interprets the negative review as a threat to her ego which triggers
an emotional reaction.
The fear of rejection can also lead you to over-dramatize events. If your
boss criticized you at work, your brain may see the event as a threat and
you now think, “What if I’m fired? What if I can’t find a job quickly
enough and my wife leaves me? What about my kids? What if I can’t see
them again?” While you are fortunate to have such an effective survival
mechanism, it is also your responsibility to separate real threats from
imaginary ones. If you don’t, you’ll experience unnecessary pain and
worry that will negatively impact the quality of your life..


Inabidi niipende criticism Mana inajenga pia mind yangu niifanyie mazoezi Ni reverse mechanism yake .

Am trying to conquer and to win myself. There's always a little of me speaking inside of me.
Nisamehe kama mwandiko mbaya Ila najua hakuna haja ya kukurembea ili uvutiwe nao.

Yangu inabidi uumize ubongo kidogo so you can ignore me Kuna option ya hiyo button I think so
Unnecessary blah blahs plus the hypocritical 'ignore-button' shit.
Inferiority complex?
 
Tatizo kubwa sana la CCM ni kuwapa vyeo watoto wa viongozi kama bakhshish , ili kuendeleza na kulinda hujuma walizofanya Wazazi wao za kuitafuna Nchi .

Huyu Diwani wa Kawe anayeitwa Mutta ambaye ni mtoto wa Mfadhili wa CCM Marehemu Getrude Lwakatare , hana kipawa cha uongozi , amelazimishwa tu kuwa Diwani na kupachikwa kwenye Uchungaji wakati ni Muhuni na Msela , mpenda Pombe za kupitiliza na Mla Bata na Mpenda Makahaba asiyejificha ( Walaaniwe wote waliomsimika kuwa Mchungaji wa kanisa ).

Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge , hivi ni kiongozi gani wa aina hii anayeachwa tu madarakani ?

Yusuph Manji alivuliwa udiwani wa Mbagala Kuu kwa sababu za kipuuzi tu , Kwanini huyu Mlevi anayedhalilisha familia yake anaachwa tu , Nani anamlinda na kwa maslahi yapi ? kwanini asiachwe na mapombe yake ya hela za urithi na michepuko ?
CCM wanalindana
 
Siku niliyogundua huyo jamaa Kichwan ni chenga alileta masifa hadi kwenye msiba wa mama yake.

Eti "mimi naitwa mheshimiwa Rutta, ni mtoto wa mheshimiwa marehem Getrude Lwakatare, mheshimiwa mama yangu tutamkumbuka sana, naweza kusema kifo Cha mheshimiwa mama yangu kimekuja ghafla, kabla ya kifo nilimuuliza Muheshimiwa mama nini kinakusumbua sana? Muheshimiwa mama akaniambia Muheshimiwa Mwanangu Niko sawa Wala usijali, lakin bahati mbaya ndo hivyo Mungu kamchukua Muheshimiwa mama yangu"
Ni chizi fulani
 
Unnecessary blah blahs plus the hypocritical 'ignore-button' shit.
Inferiority complex?
Explain hapa nipate somo la mental or how mind react to both pleasure and emotions pain.I love to play mind game so am looking mental strategy to win my mind so that it can play the game intelligently without being distracted/distorted/interfered/disturbed by an external interference.

If you allow your enemy into your mental space the battle has been lost.
The greatest victory in this planet is someone to conquer his own mind than conquering the battle of 100k soldiers. The internal will be forever but external is temporary.
Iam looking to conquer myself not even my neighbor.
Am only the enemy of myself.
 
Siandiki ili ku comply ama ku fiti nature ya brain.
Mie siongei na wewe but naicheki brain yako. Mpaka inapata pains inajaribu kucheki namna ya kutuliza maumivu yake.
Tena ulivyoniandikia hivi ndio napenda Mana hapa Kuna shetani mmoja ndani ya ubongo wetu anaitwa ego so huwa inatumaliza Ile Hali ya kutaka kukubalika.
Inabidi unishambulie Mara kwa Mara mpaka ipate Kinga.

Kama soja anavyokuwa trained katika mazingira ya stress ama rubani so wanamuandaa kufanya rational decision during stressful situations.

Our human enemies are greed,fear ,ego,hope, overconfidence, etc sema hizo ndizo Zina drive binadamu hakuna kingine na ziko biological.
Ooooh ok acha! bangi imekukataa
 
Ooooh ok acha! bangi imekukataa
Umeniambia neno laini mno bana. Hata halijanitingisha kabisa. Nishamove huko kwenye panga fimbo rungu manati bunduki saivi nahitaji mabomu niyazoee.
I do what I fear so that the death if fear is certain.
Sijui Kama unanipata mfano Kama unaogopa kupoteza pesa jifunze kuzipoteza mno baadaye utakuwa sugu hutoogopa kuzipoteza baadaye utaona kawaida tu. Hata kuchapiwa the same. You can train your mind to endure the thing that you're fearing of
 
Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda
😆😆😂🤣 lakini huoni kama anahitaji Privacy kwenye maisha yake binafsi?
 
Huyo jamaa sio Mzinzi kama wengi wanavyodhan hasa kama kipind kile amekutwa Tabata.. huyo jamaa ni Teja tena addicted wa Unga ila sio mtu wa madem

Na huo ni ugonjwa kama magonjwa mengine!
Yaani kuachana na uteja lazima Mwenye Enzi Mungu mwenyewe aje kukusaidia walahi!
Hivi unaitwa ugonjwa wa familia nzima na marafiki wanao kujali tu!
Akitoka aliko kwenda ni kheri kumpeleka marekani kwenye rihab zao maana marekani ni babalao kwa mateja!
Maskini Gedtrude Lwakatare!
Alivyo kuwa muhangaikaji! Duh [emoji22]
 
Labda tujiulize mpaka sasa ameshachangia nini katika maendeleo ya Kawe. Kama ana mchango tumuache akae tu na sinema zake.
 
manji alifutwa udiwani kwa kosa la kutohuzuria vikao bila ruhusa wala taarifa ya uzuru .
Huyu jamaa yeye pia haudhurii lakini hafukuzwi
Halafu Manji ilijulikana kwamba yuko Mahabusu , lakini huyu aliyeko kwa Ashura na Tatu Kipini buza kwa mpalange hafutwi ubunge !
 
Back
Top Bottom