Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Karibu sanaEti tatu kipini wa buza kwa lulenge. Nimecheka sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sanaEti tatu kipini wa buza kwa lulenge. Nimecheka sana aisee
Hivi huwa unasoma unachokiandika au unaandika tu bora liende na kupost, mwandiko mbovu sana.Mie nakukatalia hapa Ni ego ilimu attack none is vulnerable to this human emotions.
Kuna asiyependa kuonekana Ni mjanja ama anajua anapesa sana akapendwa anamiliki magari majumba ametwmbea dunia nzima kila kiwanja Cha Bata akaenda akasoma chuo first prestige yaani Kuna asiyependa kuonekana Kama anakubalika aama anapendwa kutamaniwa na wengine yaani naweza nikaendelea nikajaza server. Hata kwa mikusanyiko kila mtu anapenda ajulikane ama atajwe. Sasa wewe ngoja msiba utokee kwenu awepo mbunge usimtaje ili asalimiane na wananchi wake ndio utajua kama hujui.
Yaani kila mtu anapenda awe prouded na society family dunia ama Taifa lake Basi tu tukishindwa tunatafuta unjustifiable reasons kuponda icho kitu ndio bongo ziko ivyo. Nb emotions is biological you can't separate them from human being.
Kila mtu anapenda amiliki Lamborghini private jet private cruise ship yaani Basi.
Nadhani umenielewa .
Ndio tunapata ubaya wa demu aliyetukataa ama anapenda pesa Ila ukiwa nazo unampatia mie nakuambia Kama huna utatafuta namna ya kufanya justification ya reason zetu Mara anajiuza Mara zisitaki mbichi hizi.
I talk what's behind of our subconscious mind Mana almost ya 95% ya decisions are influenced by it and our emotions. This logic reasoning or rational brain Ina sehemu ndogo mno katika maisha yetu yaani ndogo mno na wanyama hawana hii kitu are just surviving fine na ndio Mana when lion kills don't roar Ila sie tutapiga kelele kuwa tupo Dubai Mara uk Mara nimejenga ,Nimekula k Kali na Safi,yaani binadamu Kuna namna fulani tupo ambapo sio friendly Sana kwa maisha yetu Ila sometime yes ,ama nimesoma Mara najuana na February Ni mtt wa mama wa binamu wa anko wa mjomba wangu hii yote kutaka ku boost our ego
Siku niliyogundua huyo jamaa Kichwan ni chenga alileta masifa hadi kwenye msiba wa mama yake.
Eti "mimi naitwa mheshimiwa Rutta, ni mtoto wa mheshimiwa marehem Getrude Lwakatare, mheshimiwa mama yangu tutamkumbuka sana, naweza kusema kifo Cha mheshimiwa mama yangu kimekuja ghafla, kabla ya kifo nilimuuliza Muheshimiwa mama nini kinakusumbua sana? Muheshimiwa mama akaniambia Muheshimiwa Mwanangu Niko sawa Wala usijali, lakin bahati mbaya ndo hivyo Mungu kamchukua Muheshimiwa mama yangu"
Wapiga Kura washamkubali basi aachwe ...demokrasia ni kuchagua mtu kulingana na akili zenu au upumbavu wenu awawakilishe
Wanavuliwa uongozi kupitia chama tu, ni rahisi kihivyo tu.Sheria inasemani kuhusu viongozi wanaochaguliwa na wananchi? Wanavuliwaje uongozi?
Ingekuwa story inahusu mbususu nadhani your mind ingepata pleasure so usingeongea Ilo. This is nature of human being.Hivi huwa unasoma unachokiandika au unaandika tu bora liende na kupost, mwandiko mbovu sana.
Huyu Ni rahisi kummeza akamficha hata huko mapajani akapotea ama asionekane
Jamaa kakusaidia kiukweli unaandika vitu havina ushirikiano na vingereza vyakiboya. Pangilia hoja budaa usiwe kama mla mrungiIngekuwa story inahusu mbususu nadhani your mind ingepata pleasure so usingeongea Ilo. This is nature of human being.
Anzisha darasa la mwandiko. Ama ulinipeleka shule Kuja kunikagua mwandiko.
Sema bana mind is highly built to scan negative in the environment na ndio kazi yake. Inapenda ku feel happy and pleasure all the time. Yaani mie hapa nipo field najionea how our mother gave this kind of brain.
Jisomee hiyo hapo chini sema sio ya kuhusiana na mbususu.
In fact, one single criticism can often outweigh hundreds of positive ones.
That’s why, an author with fifty 5-star reviews, is likely to feel terrible
when they receive a single 1-star review. While the author understands the
1-star review isn’t a threat to her survival, her authorial brain doesn’t. It
likely interprets the negative review as a threat to her ego which triggers
an emotional reaction.
The fear of rejection can also lead you to over-dramatize events. If your
boss criticized you at work, your brain may see the event as a threat and
you now think, “What if I’m fired? What if I can’t find a job quickly
enough and my wife leaves me? What about my kids? What if I can’t see
them again?” While you are fortunate to have such an effective survival
mechanism, it is also your responsibility to separate real threats from
imaginary ones. If you don’t, you’ll experience unnecessary pain and
worry that will negatively impact the quality of your life..
Inabidi niipende criticism Mana inajenga pia mind yangu niifanyie mazoezi Ni reverse mechanism yake .
Am trying to conquer and to win myself. There's always a little of me speaking inside of me.
Nisamehe kama mwandiko mbaya Ila najua hakuna haja ya kukurembea ili uvutiwe nao.
Yangu inabidi uumize ubongo kidogo so you can ignore me Kuna option ya hiyo button I think so
Watu kama hawa huwa hawafi Kwa ukimwi na tena huwa wanaishi miaka mingi.....ANATAFUTA ukimwi kwa nguvu na hautamchelewesha
Mheshimiwa mama yangu, mheshimiwa mwanangu 😂😂Siku niliyogundua huyo jamaa Kichwan ni chenga alileta masifa hadi kwenye msiba wa mama yake.
Eti "mimi naitwa mheshimiwa Rutta, ni mtoto wa mheshimiwa marehem Getrude Lwakatare, mheshimiwa mama yangu tutamkumbuka sana, naweza kusema kifo Cha mheshimiwa mama yangu kimekuja ghafla, kabla ya kifo nilimuuliza Muheshimiwa mama nini kinakusumbua sana? Muheshimiwa mama akaniambia Muheshimiwa Mwanangu Niko sawa Wala usijali, lakin bahati mbaya ndo hivyo Mungu kamchukua Muheshimiwa mama yangu"
Ccm hamnaga aibuMaisha binafsi
Sifa za kihaya ni chakula cha moyo wakuuSiku niliyogundua huyo jamaa Kichwan ni chenga alileta masifa hadi kwenye msiba wa mama yake.
Eti "mimi naitwa mheshimiwa Rutta, ni mtoto wa mheshimiwa marehem Getrude Lwakatare, mheshimiwa mama yangu tutamkumbuka sana, naweza kusema kifo Cha mheshimiwa mama yangu kimekuja ghafla, kabla ya kifo nilimuuliza Muheshimiwa mama nini kinakusumbua sana? Muheshimiwa mama akaniambia Muheshimiwa Mwanangu Niko sawa Wala usijali, lakin bahati mbaya ndo hivyo Mungu kamchukua Muheshimiwa mama yangu"
Siandiki ili ku comply ama ku fiti nature ya brain.Jamaa kakusaidia kiukweli unaandika vitu havina ushirikiano na vingereza vyakiboya. Pangilia hoja budaa usiwe kama mla mrungi
Siku ile amepatikana aliongea kifupi,lakini nilipomtazama nilihisi kama sio mzima kisaokolojia,inachokisema inaweza ikawa kweliSamia hafanyi Mambo binafsi au lipumba wanafanya na viongozi ,huyu ofisini haonekani ,nyumbani haonekani akitoa fedha bank ndo line zinasoma baada yahapo anazima
Hivi kwani hawajui tatizo linalomsumbua wamsaidie...
Ova
Kachaguliwa zaidi ya mara mojaAlichaguliwa?
Mtu mzima mwenye akili zake timamu, hawezi kupotea!. Ni ameamua kupumzika tuu mahali, Jumapili, tutakuwa nae kwenye Ibada.Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena,
Why this negativity?, is there any problem akiwa kwa Tatu huko Buza kwa Lulenge?. Hayo ni maisha binafsi ya mtu na hayana uhusiano na uongozi wake kisiasa na kiimani!.Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge , hivi ni kiongozi gani wa aina hii anayeachwa tu madarakani ?
Tusichanganye maisha binafsi ya mtu na uongozi wake, sisi wana Kawe, tunamjua diwani wetu, tumemchagua akiwa hivyo hivyo, tumemkubali hivyo hivyo alivyo na tunampenda kwasabahu haja haribu kazi.Yusuph Manji alivuliwa udiwani wa Mbagala Kuu kwa sababu za kipuuzi tu , Kwanini huyu Mlevi anayedhalilisha familia yake anaachwa tu , Nani anamlinda na kwa maslahi yapi ? kwanini asiachwe na mapombe yake ya hela za urithi na michepuko ?
Interesting 🤔🤔Wapiga Kura washamkubali basi aachwe ...demokrasia ni kuchagua mtu kulingana na akili zenu au upumbavu wenu awawakilishe