Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mpake mhusika ataje hilo tatizoHivi kwani hawajui tatizo linalomsumbua wamsaidie...
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpake mhusika ataje hilo tatizoHivi kwani hawajui tatizo linalomsumbua wamsaidie...
Ova
inawezekana analiwa hivyo anayemtafuna anadhibiti kilakituWapiga Kura washamkubali basi aachwe ...demokrasia ni kuchagua mtu kulingana na akili zenu au upumbavu wenu awawakilishe
Umalaya nao ni tatizo?Hivi kwani hawajui tatizo linalomsumbua wamsaidie...
Ova
Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge [emoji23]Tatizo kubwa sana la CCM ni kuwapa vyeo watoto wa viongozi kama bakhshish , ili kuendeleza na kulinda hujuma walizofanya Wazazi wao za kuitafuna Nchi .
Huyu Diwani wa Kawe anayeitwa Mutta ambaye ni mtoto wa Mfadhili wa CCM Marehemu Getrude Lwakatare , hana kipawa cha uongozi , amelazimishwa tu kuwa Diwani na kupachikwa kwenye Uchungaji wakati ni Muhuni na Msela , mpenda Pombe za kupitiliza na Mla Bata na Mpenda Makahaba asiyejificha ( Walaaniwe wote waliomsimika kuwa Mchungaji wa kanisa ).
Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge , hivi ni kiongozi gani wa aina hii anayeachwa tu madarakani ?
Yusuph Manji alivuliwa udiwani wa Mbagala Kuu kwa sababu za kipuuzi tu , Kwanini huyu Mlevi anayedhalilisha familia yake anaachwa tu , Nani anamlinda na kwa maslahi yapi ? kwanini asiachwe na mapombe yake ya hela za urithi na michepuko ?
SIku hizi makanisani ndiko wanajificha wahuni waliokubuhuMutta ambaye ni mtoto wa Mfadhili wa CCM Marehemu Getrude Lwakatare , hana kipawa cha uongozi , amelazimishwa tu kuwa Diwani na kupachikwa kwenye Uchungaji wakati ni Muhuni na Msela , mpenda Pombe za kupitiliza na Mla Bata na Mpenda Makahaba asiyejificha ( Walaaniwe wote waliomsimika kuwa Mchungaji wa kanisa ).
Umepima?ANATAFUTA ukimwi kwa nguvu na hautamchelewesha
Mheshimiwa mvuta unga!Siku niliyogundua huyo jamaa Kichwan ni chenga alileta masifa hadi kwenye msiba wa mama yake.
Eti "mimi naitwa mheshimiwa Rutta, ni mtoto wa mheshimiwa marehem Getrude Lwakatare, mheshimiwa mama yangu tutamkumbuka sana, naweza kusema kifo Cha mheshimiwa mama yangu kimekuja ghafla, kabla ya kifo nilimuuliza Muheshimiwa mama nini kinakusumbua sana? Muheshimiwa mama akaniambia Muheshimiwa Mwanangu Niko sawa Wala usijali, lakin bahati mbaya ndo hivyo Mungu kamchukua Muheshimiwa mama yangu"
Mie nakukatalia hapa Ni ego ilimu attack none is vulnerable to this human emotions.Kichwan ni chenga
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]Siku niliyogundua huyo jamaa Kichwan ni chenga alileta masifa hadi kwenye msiba wa mama yake.
Eti "mimi naitwa mheshimiwa Rutta, ni mtoto wa mheshimiwa marehem Getrude Lwakatare, mheshimiwa mama yangu tutamkumbuka sana, naweza kusema kifo Cha mheshimiwa mama yangu kimekuja ghafla, kabla ya kifo nilimuuliza Muheshimiwa mama nini kinakusumbua sana? Muheshimiwa mama akaniambia Muheshimiwa Mwanangu Niko sawa Wala usijali, lakin bahati mbaya ndo hivyo Mungu kamchukua Muheshimiwa mama yangu"
sasa kipindi kile Manji alijifanya mjuaji alitukana mamba kabla hajavuka mto mamba alivyokuja kwenye mto sasa akalipa kisasi shwain zake huwezi ambiwa kitu alaf ukasema huongei na mbwa unaongea na mwenye mbwaTatizo kubwa sana la CCM ni kuwapa vyeo watoto wa viongozi kama bakhshish , ili kuendeleza na kulinda hujuma walizofanya Wazazi wao za kuitafuna Nchi .
Huyu Diwani wa Kawe anayeitwa Mutta ambaye ni mtoto wa Mfadhili wa CCM Marehemu Getrude Lwakatare , hana kipawa cha uongozi , amelazimishwa tu kuwa Diwani na kupachikwa kwenye Uchungaji wakati ni Muhuni na Msela , mpenda Pombe za kupitiliza na Mla Bata na Mpenda Makahaba asiyejificha ( Walaaniwe wote waliomsimika kuwa Mchungaji wa kanisa ).
Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge , hivi ni kiongozi gani wa aina hii anayeachwa tu madarakani ?
Yusuph Manji alivuliwa udiwani wa Mbagala Kuu kwa sababu za kipuuzi tu , Kwanini huyu Mlevi anayedhalilisha familia yake anaachwa tu , Nani anamlinda na kwa maslahi yapi ? kwanini asiachwe na mapombe yake ya hela za urithi na michepuko ?
Mwanaccm mwezako yule tafuteni apatikane na abananishwe ilivyoUmalaya nao ni tatizo?
Hapa umeleta za chini ya kapeti ni wachache sana wanazijua hizi za ndaniiiiiiiiii.Huyo jamaa sio Mzinzi kama wengi wanavyodhan hasa kama kipind kile amekutwa Tabata.. huyo jamaa ni Teja tena addicted wa Unga ila sio mtu wa madem
manji mlitumia kigezo gani ?Sheria inasemani kuhusu viongozi wanaochaguliwa na wananchi? Wanavuliwaje uongozi?