Mutta Rwakatare avuliwe Udiwani

Mutta Rwakatare avuliwe Udiwani

Tatizo kubwa sana la CCM ni kuwapa vyeo watoto wa viongozi kama bakhshish , ili kuendeleza na kulinda hujuma walizofanya Wazazi wao za kuitafuna Nchi .

Huyu Diwani wa Kawe anayeitwa Mutta ambaye ni mtoto wa Mfadhili wa CCM Marehemu Getrude Lwakatare , hana kipawa cha uongozi , amelazimishwa tu kuwa Diwani na kupachikwa kwenye Uchungaji wakati ni Muhuni na Msela , mpenda Pombe za kupitiliza na Mla Bata na Mpenda Makahaba asiyejificha ( Walaaniwe wote waliomsimika kuwa Mchungaji wa kanisa ).

Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge , hivi ni kiongozi gani wa aina hii anayeachwa tu madarakani ?

Yusuph Manji alivuliwa udiwani wa Mbagala Kuu kwa sababu za kipuuzi tu , Kwanini huyu Mlevi anayedhalilisha familia yake anaachwa tu , Nani anamlinda na kwa maslahi yapi ? kwanini asiachwe na mapombe yake ya hela za urithi na michepuko ?
Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge [emoji23]
 
Mutta ambaye ni mtoto wa Mfadhili wa CCM Marehemu Getrude Lwakatare , hana kipawa cha uongozi , amelazimishwa tu kuwa Diwani na kupachikwa kwenye Uchungaji wakati ni Muhuni na Msela , mpenda Pombe za kupitiliza na Mla Bata na Mpenda Makahaba asiyejificha ( Walaaniwe wote waliomsimika kuwa Mchungaji wa kanisa ).
SIku hizi makanisani ndiko wanajificha wahuni waliokubuhu
 
Siku niliyogundua huyo jamaa Kichwan ni chenga alileta masifa hadi kwenye msiba wa mama yake.

Eti "mimi naitwa mheshimiwa Rutta, ni mtoto wa mheshimiwa marehem Getrude Lwakatare, mheshimiwa mama yangu tutamkumbuka sana, naweza kusema kifo Cha mheshimiwa mama yangu kimekuja ghafla, kabla ya kifo nilimuuliza Muheshimiwa mama nini kinakusumbua sana? Muheshimiwa mama akaniambia Muheshimiwa Mwanangu Niko sawa Wala usijali, lakin bahati mbaya ndo hivyo Mungu kamchukua Muheshimiwa mama yangu"
Mheshimiwa mvuta unga!
 
Kichwan ni chenga
Mie nakukatalia hapa Ni ego ilimu attack none is vulnerable to this human emotions.
Kuna asiyependa kuonekana Ni mjanja ama anajua anapesa sana akapendwa anamiliki magari majumba ametwmbea dunia nzima kila kiwanja Cha Bata akaenda akasoma chuo first prestige yaani Kuna asiyependa kuonekana Kama anakubalika aama anapendwa kutamaniwa na wengine yaani naweza nikaendelea nikajaza server. Hata kwa mikusanyiko kila mtu anapenda ajulikane ama atajwe. Sasa wewe ngoja msiba utokee kwenu awepo mbunge usimtaje ili asalimiane na wananchi wake ndio utajua kama hujui.

Yaani kila mtu anapenda awe prouded na society family dunia ama Taifa lake Basi tu tukishindwa tunatafuta unjustifiable reasons kuponda icho kitu ndio bongo ziko ivyo. Nb emotions is biological you can't separate them from human being.

Kila mtu anapenda amiliki Lamborghini private jet private cruise ship yaani Basi.
Nadhani umenielewa .

Ndio tunapata ubaya wa demu aliyetukataa ama anapenda pesa Ila ukiwa nazo unampatia mie nakuambia Kama huna utatafuta namna ya kufanya justification ya reason zetu Mara anajiuza Mara zisitaki mbichi hizi.


I talk what's behind of our subconscious mind Mana almost ya 95% ya decisions are influenced by it and our emotions. This logic reasoning or rational brain Ina sehemu ndogo mno katika maisha yetu yaani ndogo mno na wanyama hawana hii kitu are just surviving fine na ndio Mana when lion kills don't roar Ila sie tutapiga kelele kuwa tupo Dubai Mara uk Mara nimejenga ,Nimekula k Kali na Safi,yaani binadamu Kuna namna fulani tupo ambapo sio friendly Sana kwa maisha yetu Ila sometime yes ,ama nimesoma Mara najuana na February Ni mtt wa mama wa binamu wa anko wa mjomba wangu hii yote kutaka ku boost our ego
 
Siku niliyogundua huyo jamaa Kichwan ni chenga alileta masifa hadi kwenye msiba wa mama yake.

Eti "mimi naitwa mheshimiwa Rutta, ni mtoto wa mheshimiwa marehem Getrude Lwakatare, mheshimiwa mama yangu tutamkumbuka sana, naweza kusema kifo Cha mheshimiwa mama yangu kimekuja ghafla, kabla ya kifo nilimuuliza Muheshimiwa mama nini kinakusumbua sana? Muheshimiwa mama akaniambia Muheshimiwa Mwanangu Niko sawa Wala usijali, lakin bahati mbaya ndo hivyo Mungu kamchukua Muheshimiwa mama yangu"
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo kubwa sana la CCM ni kuwapa vyeo watoto wa viongozi kama bakhshish , ili kuendeleza na kulinda hujuma walizofanya Wazazi wao za kuitafuna Nchi .

Huyu Diwani wa Kawe anayeitwa Mutta ambaye ni mtoto wa Mfadhili wa CCM Marehemu Getrude Lwakatare , hana kipawa cha uongozi , amelazimishwa tu kuwa Diwani na kupachikwa kwenye Uchungaji wakati ni Muhuni na Msela , mpenda Pombe za kupitiliza na Mla Bata na Mpenda Makahaba asiyejificha ( Walaaniwe wote waliomsimika kuwa Mchungaji wa kanisa ).

Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena, Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge , hivi ni kiongozi gani wa aina hii anayeachwa tu madarakani ?

Yusuph Manji alivuliwa udiwani wa Mbagala Kuu kwa sababu za kipuuzi tu , Kwanini huyu Mlevi anayedhalilisha familia yake anaachwa tu , Nani anamlinda na kwa maslahi yapi ? kwanini asiachwe na mapombe yake ya hela za urithi na michepuko ?
sasa kipindi kile Manji alijifanya mjuaji alitukana mamba kabla hajavuka mto mamba alivyokuja kwenye mto sasa akalipa kisasi shwain zake huwezi ambiwa kitu alaf ukasema huongei na mbwa unaongea na mwenye mbwa
 
Mtu mzima anapotea?? Dada kampikie mumeo chakula cha usiku.
 
Mtoa mada utatakiwa uthibitishe madai yako juu ya Mheshimiwa Rwakatare. Tofauti na hilo jiandae kukabiliana na kesi ya kashifa na kuharibu brand za watu kwenye mitandao ya kijamii. Hadi hapo sisi hatukujua kuwa huyu Bwana ni teja na mlevi kupindukia. Kama unahitaji kumharibia ili uchukue nafasi yake sio kwa staili hiyo kuwa waungwana.
 
Huyo jamaa sio Mzinzi kama wengi wanavyodhan hasa kama kipind kile amekutwa Tabata.. huyo jamaa ni Teja tena addicted wa Unga ila sio mtu wa madem
Hapa umeleta za chini ya kapeti ni wachache sana wanazijua hizi za ndaniiiiiiiiii.

Ndio maana hata kipindi kile Alilazimika kusema yupo kwa ashura ila ukweli ni mzee wa sembe anabwia sio mchezo.
Muda utamuumbua tu
 
Sheria inasemani kuhusu viongozi wanaochaguliwa na wananchi? Wanavuliwaje uongozi?
 
Back
Top Bottom