Mutta Rwakatare avuliwe Udiwani

Hivi huwa unasoma unachokiandika au unaandika tu bora liende na kupost, mwandiko mbovu sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi huwa unasoma unachokiandika au unaandika tu bora liende na kupost, mwandiko mbovu sana.
Ingekuwa story inahusu mbususu nadhani your mind ingepata pleasure so usingeongea Ilo. This is nature of human being.
Anzisha darasa la mwandiko. Ama ulinipeleka shule Kuja kunikagua mwandiko.

Sema bana mind is highly built to scan negative in the environment na ndio kazi yake. Inapenda ku feel happy and pleasure all the time. Yaani mie hapa nipo field najionea how our mother gave this kind of brain.


Jisomee hiyo hapo chini sema sio ya kuhusiana na mbususu.


In fact, one single criticism can often outweigh hundreds of positive ones.
That’s why, an author with fifty 5-star reviews, is likely to feel terrible
when they receive a single 1-star review. While the author understands the
1-star review isn’t a threat to her survival, her authorial brain doesn’t. It
likely interprets the negative review as a threat to her ego which triggers
an emotional reaction.
The fear of rejection can also lead you to over-dramatize events. If your
boss criticized you at work, your brain may see the event as a threat and
you now think, β€œWhat if I’m fired? What if I can’t find a job quickly
enough and my wife leaves me? What about my kids? What if I can’t see
them again?” While you are fortunate to have such an effective survival
mechanism, it is also your responsibility to separate real threats from
imaginary ones. If you don’t, you’ll experience unnecessary pain and
worry that will negatively impact the quality of your life..


Inabidi niipende criticism Mana inajenga pia mind yangu niifanyie mazoezi Ni reverse mechanism yake .

Am trying to conquer and to win myself. There's always a little of me speaking inside of me.
Nisamehe kama mwandiko mbaya Ila najua hakuna haja ya kukurembea ili uvutiwe nao.

Yangu inabidi uumize ubongo kidogo so you can ignore me Kuna option ya hiyo button I think so
 
Jamaa kakusaidia kiukweli unaandika vitu havina ushirikiano na vingereza vyakiboya. Pangilia hoja budaa usiwe kama mla mrungi
 
Mheshimiwa mama yangu, mheshimiwa mwanangu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sifa za kihaya ni chakula cha moyo wakuu
 
Jamaa kakusaidia kiukweli unaandika vitu havina ushirikiano na vingereza vyakiboya. Pangilia hoja budaa usiwe kama mla mrungi
Siandiki ili ku comply ama ku fiti nature ya brain.
Mie siongei na wewe but naicheki brain yako. Mpaka inapata pains inajaribu kucheki namna ya kutuliza maumivu yake.
Tena ulivyoniandikia hivi ndio napenda Mana hapa Kuna shetani mmoja ndani ya ubongo wetu anaitwa ego so huwa inatumaliza Ile Hali ya kutaka kukubalika.
Inabidi unishambulie Mara kwa Mara mpaka ipate Kinga.

Kama soja anavyokuwa trained katika mazingira ya stress ama rubani so wanamuandaa kufanya rational decision during stressful situations.

Our human enemies are greed,fear ,ego,hope, overconfidence, etc sema hizo ndizo Zina drive binadamu hakuna kingine na ziko biological.
 
Samia hafanyi Mambo binafsi au lipumba wanafanya na viongozi ,huyu ofisini haonekani ,nyumbani haonekani akitoa fedha bank ndo line zinasoma baada yahapo anazima
Siku ile amepatikana aliongea kifupi,lakini nilipomtazama nilihisi kama sio mzima kisaokolojia,inachokisema inaweza ikawa kweli
 
Baada ya kupotelea kwa Ashura Mzaramo, kule Tabata na kukombolewa na jamii, imearifiwa leo kwamba Kapotea tena,
Mtu mzima mwenye akili zake timamu, hawezi kupotea!. Ni ameamua kupumzika tuu mahali, Jumapili, tutakuwa nae kwenye Ibada.

Taarifa zinaonyesha kwamba Juhudi za kumtafuta hazjiazaa matunda, safari hii usishangae ukiambiwa Kakutwa kwa TATU KIPINI wa Buza kwa Lulenge , hivi ni kiongozi gani wa aina hii anayeachwa tu madarakani ?
Why this negativity?, is there any problem akiwa kwa Tatu huko Buza kwa Lulenge?. Hayo ni maisha binafsi ya mtu na hayana uhusiano na uongozi wake kisiasa na kiimani!.

Yusuph Manji alivuliwa udiwani wa Mbagala Kuu kwa sababu za kipuuzi tu , Kwanini huyu Mlevi anayedhalilisha familia yake anaachwa tu , Nani anamlinda na kwa maslahi yapi ? kwanini asiachwe na mapombe yake ya hela za urithi na michepuko ?
Tusichanganye maisha binafsi ya mtu na uongozi wake, sisi wana Kawe, tunamjua diwani wetu, tumemchagua akiwa hivyo hivyo, tumemkubali hivyo hivyo alivyo na tunampenda kwasabahu haja haribu kazi.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…