Muuaji aliyeaminiwa na mzazi wa aliyeuawa

Shukrani sana mkuu kwa kuwa muelewa nawela vipande kwakuwa mimi naandika na kupost moja kwa moja nikichoka kuandika naishia nilipofikia siyo kwamba nakuwa nimeshaandika kila kitu.
 
Watakutukana we endelea bwahahahahaha
Narudia tena kasome wikipedia au kokote uone je mtiririko niliouandika ni sawa na huko ulikosoma?
Na je details nitakazoziweka zote ziko huko unakosema.
Wikipedia mimi haijawahi kuwa source yangu ya habari kama hizi.
Nikiandika hizi story jua nimetazama crime investigation na nikaenda soma zaidi kwenye sources zaidi ya mbili mtandaoni siyo kwamba nimefanya tu kazi ya kutafsiri bali nimetafuta nyama zaidi kutoka sources mbalimbali.
 
Kwa iyo nilichokosea ni kipi apo kusema iko Wikipedia ama, kwa iyo sina uhuru wa kusema,.. Mbona wew una uhuru wa kuniita mjinga, ila mim kusema Wikipedia tu ni nongwa
Busara ilitosha kukutuma kukaa kimya. Kila mtu huku anajua hiz story zinatoka vyanzo mbali mbali so Sio kila mtu anao nafas ya kwenda huko kwenye vyanzo so kama mtu ameileta humu kuna haja gan kumuambia kuwa ipo wkpedia? Mbona ipo maeneo mengi tu tumekaa kimya kusoma story. Jitahd uonyeshe umekuwa mtu Mzima bana
 

Na wew nin kilikushinda kuniambia kistaraabu sio utukane, unajua huna haki ya kunizuia nacho taka kusema kama sivunji sheria,.. Wew kama nani?
 
Unaipata wapi hiyo?
 
Unaipata wapi hiyo?

Haya Ni Matukio Ya Kweli Kabisa Yanapatikana Kwenye Chanel Moja Ya IDX Wanayo Startimes Huwa Naipenda Sana Sibanduki Tukio Moja Lilinihuzunisha Wahindi Walihamia Usa Mtoto Wao Wa Kiume Wakampeleka Shule Jamaa Akakuta Na Wahuni Shule Wakamwambia Wanataka Hela Dogo Akawaambia Zipo Kwao Ila Lazima Wamuue Mama Yake Kupata Pesa Basi Jamaa Wakakubaliana Na Dogo Wamuue Mama Yake Wachukue Pesa Na Mikufu wawe Wanatumia Shuleni Kweli Walifanikiwa Mama Alipigwa Risasi Nyingi Sana Upelelez Ukaanza Ikabainika Dogo Alikod Watu Mwanzo Alikataa Na Kuwafokea Sana Wapelelez Baadae Waliunga Urafik na dogo wakawa Wanamtembelea Wanampa Vyakula Wanamfarij Dogo Akaanza Kufunguka Na Kujutia Alifungwa Miaka 27 Ila Ingekuwa Bongo Angechezea Kipigo Hadi Aseme Hadi Wanafungwa Hamna Hata Mmoja Aliefungwa hata Pingu Wauawaji Walifungwa Kifungo Cha Maisha Wote Wapo Chini Ya Miaka 20
 
Shukrani sana mkuu kwa kuwa muelewa nawela vipande kwakuwa mimi naandika na kupost moja kwa moja nikichoka kuandika naishia nilipofikia siyo kwamba nakuwa nimeshaandika kila kitu.
Mimi mwenyewe ni Mwandishi Mkuu, naelewa....just keep it up....tutafika tu polepole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…