elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
- Thread starter
-
- #21
Shukrani sana mkuu kwa kuwa muelewa nawela vipande kwakuwa mimi naandika na kupost moja kwa moja nikichoka kuandika naishia nilipofikia siyo kwamba nakuwa nimeshaandika kila kitu.Mkuu achana na hao wenye mawazo ya Kimasikini, hawawezi kufanya hata robo ya unachofanya, binafsi na appreciate kazi yako, pia usitishwe na hao wanaotaka uweke hapa full story mwanzo mwisho utadhani wanakulipa, mbona walikua wanatizama Prison break series kwa week Mara moja kipande cha dakika 45, na walikua wanavumilia week nzima kusubiri kuona next episode!!
Ukipata nafasi tuwekee Episode ya 2.
Goodluck.
Go to hell...!
kama kuna kitu kinaniiboa jf ni maswala ya kusema itaendelea mfyuuu weka link tukasome wenyewe huko wahiii.. na uniite ole wako usiniite
Narudia tena kasome wikipedia au kokote uone je mtiririko niliouandika ni sawa na huko ulikosoma?Watakutukana we endelea bwahahahahaha
Soon mkuu before jionBonge la story mkuu usichelewe basi kuiendeleza........
Busara ilitosha kukutuma kukaa kimya. Kila mtu huku anajua hiz story zinatoka vyanzo mbali mbali so Sio kila mtu anao nafas ya kwenda huko kwenye vyanzo so kama mtu ameileta humu kuna haja gan kumuambia kuwa ipo wkpedia? Mbona ipo maeneo mengi tu tumekaa kimya kusoma story. Jitahd uonyeshe umekuwa mtu Mzima banaKwa iyo nilichokosea ni kipi apo kusema iko Wikipedia ama, kwa iyo sina uhuru wa kusema,.. Mbona wew una uhuru wa kuniita mjinga, ila mim kusema Wikipedia tu ni nongwa
hawezi nitukana jamaa mstarabu na akinitukana hata simjibu namwachia MunguWatakutukana we endelea bwahahahahaha
Ukifanya hivyo itakua poa sana......Big up mkuuSoon mkuu before jion
hawezi nitukana jamaa mstarabu na akinitukana hata simjibu namwachia Mungu
Busara ilitosha kukutuma kukaa kimya. Kila mtu huku anajua hiz story zinatoka vyanzo mbali mbali so Sio kila mtu anao nafas ya kwenda huko kwenye vyanzo so kama mtu ameileta humu kuna haja gan kumuambia kuwa ipo wkpedia? Mbona ipo maeneo mengi tu tumekaa kimya kusoma story. Jitahd uonyeshe umekuwa mtu Mzima bana
Unaipata wapi hiyo?Nyingime Mama Kashirikiana Na Mkwewe Kumuua Mmewe Kisa Huyo Mmewe Hataki Mwanae Wa Kike Aolewe Mapema Aache Shule Halafu Muoaji Kwao Wanapesa Mama Mkwe Anataka Zile Pesa Familia Yao Ni Masikini Jamaa Alifungwa Baada Ya Kubainika Polis Wa Mbele Wapo Makini Sana,,
Wewe ni mwanamke hatuwezi kukutukana kwakua unakitu cha kutupatia.hawezi nitukana jamaa mstarabu na akinitukana hata simjibu namwachia Mungu
asante mkuuWewe ni mwanamke hatuwezi kukutukana kwakua unakitu cha kutupatia.
Unaipata wapi hiyo?
Naitazama mkuu sema tatizo yani almost kila wanachoonyesha IDX ni marudio ni meshatazama ni mara chache sana wakaonyesha kitu ambacho sijatazama mkuuMkuu Ukipata Muda Fuatilia Na Hii
Nowhere To Hide.
Mimi mwenyewe ni Mwandishi Mkuu, naelewa....just keep it up....tutafika tu polepole.Shukrani sana mkuu kwa kuwa muelewa nawela vipande kwakuwa mimi naandika na kupost moja kwa moja nikichoka kuandika naishia nilipofikia siyo kwamba nakuwa nimeshaandika kila kitu.