Muuaji aliyeaminiwa na mzazi wa aliyeuawa

Muuaji aliyeaminiwa na mzazi wa aliyeuawa

Narudia tena kasome wikipedia au kokote uone je mtiririko niliouandika ni sawa na huko ulikosoma?
Na je details nitakazoziweka zote ziko huko unakosema.
Wikipedia mimi haijawahi kuwa source yangu ya habari kama hizi.
Nikiandika hizi story jua nimetazama crime investigation na nikaenda soma zaidi kwenye sources zaidi ya mbili mtandaoni siyo kwamba nimefanya tu kazi ya kutafsiri bali nimetafuta nyama zaidi kutoka sources mbalimbali.

Safi sana
 
Haya Ni Matukio Ya Kweli Kabisa Yanapatikana Kwenye Chanel Moja Ya IDX Wanayo Startimes Huwa Naipenda Sana Sibanduki Tukio Moja Lilinihuzunisha Wahindi Walihamia Usa Mtoto Wao Wa Kiume Wakampeleka Shule Jamaa Akakuta Na Wahuni Shule Wakamwambia Wanataka Hela Dogo Akawaambia Zipo Kwao Ila Lazima Wamuue Mama Yake Kupata Pesa Basi Jamaa Wakakubaliana Na Dogo Wamuue Mama Yake Wachukue Pesa Na Mikufu wawe Wanatumia Shuleni Kweli Walifanikiwa Mama Alipigwa Risasi Nyingi Sana Upelelez Ukaanza Ikabainika Dogo Alikod Watu Mwanzo Alikataa Na Kuwafokea Sana Wapelelez Baadae Waliunga Urafik na dogo wakawa Wanamtembelea Wanampa Vyakula Wanamfarij Dogo Akaanza Kufunguka Na Kujutia Alifungwa Miaka 27 Ila Ingekuwa Bongo Angechezea Kipigo Hadi Aseme Hadi Wanafungwa Hamna Hata Mmoja Aliefungwa hata Pingu Wauawaji Walifungwa Kifungo Cha Maisha Wote Wapo Chini Ya Miaka 20
Duh!!! Hataricious
 
Jombaa naanza kukudharau aisee, siku hz umekua kavu kishenzi!
Kwa iyo nilichokosea ni kipi apo kusema iko Wikipedia ama, kwa iyo sina uhuru wa kusema,.. Mbona wew una uhuru wa kuniita mjinga, ila mim kusema Wikipedia tu ni nongwa
 
Asante sana mkuu. kumbe na startimes wana hyo channel, nilikua naangalia kupitia dstv ila toka waipandishe kwenye kifurushi cha juu sijaangalia muda mrefu. patiently waiting for muendelezo
 
Pamoja mwana nilijua utanijibu sivyoo, ila huku intell usiwe unaleta utani hata mm upuuzi wangu nauacha nikiwa huku

Usiwaze kila binadamu anakosea sijakamilika mim,... Ningeweza kudelete sema watu wameisongesha iyo comment ila ni mambo ya kibinadamu, let's move on,...
 
Ebu isome mpaka nitakapo imaliza then ka compare na ulichosoma wikipedia uone kama viko excatly.
Hakuna kipya kinachoandikwa humu vyote tunasoma mahali flani, na mimi situngi hadithi ila naandika natukio halisi yaliyotokea kwakuwa mimi ni mpenzi wa crime and investigation.
Kwanza nayajua kupitia Idx,
Pili naenda mtandaoni baada ya kuangalia Idx ili kupata details zaidi maana hawaonyeshi kila kitu.
Mfano hili nimelitazama muda sana Idx, nimeingia mtandaoni na kusoma Powerpoint iliyotengenezwa na FBI yenye kurasa 146 kuhusu upelelezi wao na time frame za matukio.
Nimesoma sources nyingine ndipo nikaja kuandika ninachoandika.
Ukiona wewe unalijua pita tu kuna wanaopenda kusoma kwa kiswahili kuna pia ambao hawajajua kama kuna tukio kama hili watasoma.
Mkuu achana nae tupe data

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom