Muuaji aliyeaminiwa na mzazi wa aliyeuawa

Muuaji aliyeaminiwa na mzazi wa aliyeuawa

Naitazama mkuu sema tatizo yani almost kila wanachoonyesha IDX ni marudio ni meshatazama ni mara chache sana wakaonyesha kitu ambacho sijatazama mkuu
ID x ya sasa mi marudio.
kama unavyosema.

Ukitaka utamu zaidi nenda online afu cheki hizo investigation.
Halafu Alaska Haunting episode yake imefika mwisho or?...muendelezo wa Saturday Haunted baada ya ile Spiritual.
Jana walikuwa wanaonesha episode (Ripped from the headline) ile ya yule mtoto model JenBenet Ramsey aliwahi iletaga Mtambuzi mwaka 2012
Kitendawili kimeteguliwa baada ya miaka 20 tangu kuuawa ( aliuawa mwaka 96 akiwa na miaka 6)
Muuaji amepatikana.....ni Kaka yake mtoto wa baba yake kwa mama mwingine.
CC: Mtambuzi na Asnam
 
Itaendelea vp,.. Wakati IPO Wikipedia,
Hata kama ipo wikipedia ila kitendo cha yeye kuitafuta na kui-translate kwenda kiswahili na kwa namna ambayo inaeleweka ni jambo jema.

Kama ingekuwa umeiona wewe ulitakiwa kuwa mtu wa kwanza kuilwta huku.

Kila mtu anajua kuwa mleta uzi kaitoa sehemu kwa sababu si story ya kutunga bali ni tukio halisi vile vile yeye si mhusika katika hilo tukio lililompata Mr. Toby na mwanae.

Mi naona ni jambo jema kuwa kalileta hapa JF.

Na hamna haja ya kum-critisize mtu bila sababu ya msingi. Ili mtu afahamu story flani lazima awe amehusika, kahadithiwa au ameisoma sehemu. Haya yote wanaJF tunafahamu.

So big up mleta uzi . Tunahitaji nyingi zaidi na zaidi kama hizi.
 
ID x ya sasa mi marudio.
kama unavyosema.

Ukitaka utamu zaidi nenda online afu cheki hizo investigation.
Halafu Alaska Haunting episode yake imefika mwisho or?...muendelezo wa Saturday Haunted baada ya ile Spiritual.
Jana walikuwa wanaonesha episode (Ripped from the headline) ile ya yule mtoto model JenBenet Ramsey aliwahi iletaga Mtambuzi mwaka 2012
Kitendawili kimeteguliwa baada ya miaka 20 tangu kuuawa ( aliuawa mwaka 96 akiwa na miaka 6)
Muuaji amepatikana.....ni Kaka yake mtoto wa baba yake kwa mama mwingine.
CC: Mtambuzi na Asnam
Yah ile ya jonbenet nimeiona jana japo waliwahi ionyesha miezi kadhaa nyuma kama ambavyo wanarudia O.J. Simpsons.
Sehemu nyingine wanakoonyesha crime and investigation ni National Geographic lakini mpaka uziotee sijajua hata ratiba yao inakuaje
 
Utatuvuruga vipi wakati unakuja kuhadithia mile ulichokisoma huko!?

Sasa ukiona Writer anasema ataweka Episode inayofata next day uwe unaelewa Mkuu.
nimelewa me nimeenda kuangalia documentary inayohusu hili tukio nimeona mwili ya mtoto akuonekana mpaka leo ,, na mfungwa toby anakomaa yeye ajamuua ila anatumikia kifungo
 
Yah ile ya jonbenet nimeiona jana japo waliwahi ionyesha miezi kadhaa nyuma kama ambavyo wanarudia O.J. Simpsons.
Sehemu nyingine wanakoonyesha crime and investigation ni National Geographic lakini mpaka uziotee sijajua hata ratiba yao inakuaje
National Geographic huwa wanachukua vipande toka hukuhuku.
Ila mara nyingi National wanaonesha matukio ya ulimwenguni sana esp. masuala ya Aliens, shuhuda mbalimbali....na huwa zinakuwa siku ya Ijumaa.

ID x hizi za saaa zilishaqahi oneshwa nyuma, sema kipindi kile zilikiwa hazijawekwa katika sections za aina ya matukio mfano, Murde chose me, or Detective night or Disappear or Evil in law etc..vya sasa vimepangwa kimtiririko ndio maana wanarudia.
 
Asante sana mkuu. kumbe na startimes wana hyo channel, nilikua naangalia kupitia dstv ila toka waipandishe kwenye kifurushi cha juu sijaangalia muda mrefu. patiently waiting for muendelezo
Hata AzamTV wanayo mkuu.
 
ID x ya sasa mi marudio.
kama unavyosema.

Ukitaka utamu zaidi nenda online afu cheki hizo investigation.
Halafu Alaska Haunting episode yake imefika mwisho or?...muendelezo wa Saturday Haunted baada ya ile Spiritual.
Jana walikuwa wanaonesha episode (Ripped from the headline) ile ya yule mtoto model JenBenet Ramsey aliwahi iletaga Mtambuzi mwaka 2012
Kitendawili kimeteguliwa baada ya miaka 20 tangu kuuawa ( aliuawa mwaka 96 akiwa na miaka 6)
Muuaji amepatikana.....ni Kaka yake mtoto wa baba yake kwa mama mwingine.
CC: Mtambuzi na Asnam
Nimefatilia hiki kisa kwa muda mrefu hatimae nimefarijika kwa kujulikana kwa muuaji.

I hope one day, FBI watatutajia ni jinsi gani walivyomtengeneza D.B Cooper.
 
Ebu isome mpaka nitakapo imaliza then ka compare na ulichosoma wikipedia uone kama viko excatly.
Hakuna kipya kinachoandikwa humu vyote tunasoma mahali flani, na mimi situngi hadithi ila naandika natukio halisi yaliyotokea kwakuwa mimi ni mpenzi wa crime and investigation.
Kwanza nayajua kupitia Idx,
Pili naenda mtandaoni baada ya kuangalia Idx ili kupata details zaidi maana hawaonyeshi kila kitu.
Mfano hili nimelitazama muda sana Idx, nimeingia mtandaoni na kusoma Powerpoint iliyotengenezwa na FBI yenye kurasa 146 kuhusu upelelezi wao na time frame za matukio.
Nimesoma sources nyingine ndipo nikaja kuandika ninachoandika.
Ukiona wewe unalijua pita tu kuna wanaopenda kusoma kwa kiswahili kuna pia ambao hawajajua kama kuna tukio kama hili watasoma.
watu wengine bana...uyo anaongea upupu ukimwambia ty alishaleta chamaana kipi jf hana...we were with you mkuu...keep it up

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefatilia hiki kisa kwa muda mrefu hatimae nimefarijika kwa kujulikana kwa muuaji.

I hope one day, FBI watatutajia ni jinsi gani walivyomtengeneza D.B Cooper.

Yaani baada ya 20 yrs ndio muuaji anapatikana.
Ila teknolojia ya DNA ndio imechukua 95% ya chunguzi zote majuu ikifuatiwa na ushahidi wa kimazingira.

Halafu episode za Acrime to remember huwa unazitazama?
Ziko katika mtiririko wa scene za Ripped from the headline, ni nzuri sana sana.
 
ID x ya sasa mi marudio.
kama unavyosema.

Ukitaka utamu zaidi nenda online afu cheki hizo investigation.
Halafu Alaska Haunting episode yake imefika mwisho or?...muendelezo wa Saturday Haunted baada ya ile Spiritual.
Jana walikuwa wanaonesha episode (Ripped from the headline) ile ya yule mtoto model JenBenet Ramsey aliwahi iletaga Mtambuzi mwaka 2012
Kitendawili kimeteguliwa baada ya miaka 20 tangu kuuawa ( aliuawa mwaka 96 akiwa na miaka 6)
Muuaji amepatikana.....ni Kaka yake mtoto wa baba yake kwa mama mwingine.
CC: Mtambuzi na Asnam

Nikitaka kuangalia online naenda site gani? na pia naweza kudownload mpya maana nying hua naona hazipo kwenye free sites za kudownload.
 
Nikitaka kuangalia online naenda site gani? na pia naweza kudownload mpya maana nying hua naona hazipo kwenye free sites za kudownload.
Online mimi huwa naenda hapa katika website yao hii
Screenshot_2017-08-17-16-17-45-1.png



Na nikitaka kuangalia crime za Uk tu naenda hapa
Screenshot_2017-08-17-16-13-16-1.png

Ipo App ya ku-download ngoja niingie nikuoneshe
 

Attachments

  • Screenshot_2017-08-17-16-13-38-1.png
    Screenshot_2017-08-17-16-13-38-1.png
    6.8 KB · Views: 99
Back
Top Bottom