Muuaji aliyeaminiwa na mzazi wa aliyeuawa


Safi sana
 
Duh!!! Hataricious
 
Jombaa naanza kukudharau aisee, siku hz umekua kavu kishenzi!
Kwa iyo nilichokosea ni kipi apo kusema iko Wikipedia ama, kwa iyo sina uhuru wa kusema,.. Mbona wew una uhuru wa kuniita mjinga, ila mim kusema Wikipedia tu ni nongwa
 
Asante sana mkuu. kumbe na startimes wana hyo channel, nilikua naangalia kupitia dstv ila toka waipandishe kwenye kifurushi cha juu sijaangalia muda mrefu. patiently waiting for muendelezo
 
Pamoja mwana nilijua utanijibu sivyoo, ila huku intell usiwe unaleta utani hata mm upuuzi wangu nauacha nikiwa huku

Usiwaze kila binadamu anakosea sijakamilika mim,... Ningeweza kudelete sema watu wameisongesha iyo comment ila ni mambo ya kibinadamu, let's move on,...
 
Mkuu achana nae tupe data

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…