Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Huyu yawezekana ni depression.Angesubiri Mei Mosi ipite huenda mama atatangaza neema.
Kuna watu wana lundo la madeni lakini wananenepa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu yawezekana ni depression.Angesubiri Mei Mosi ipite huenda mama atatangaza neema.
Yaan ndo nachosema asee[emoji848]Angesubiri Mei Mosi ipite huenda mama atatangaza neema.
Umeshahama hapo home? Bro wako anakuja kesho[emoji58]Kumbe madeni yanauwa, Ngoja nijitafakari
Piritoni sio Aspirini.Ala kumbe ni muhimu kujichoma sindano kwanza eeee kupunguza uchungu wa kifo - kuna wengine wanasema ukitaka kufa vizuri badi kunywa aspilini kama 30 hivi - ukilala mazima.
Si angesubiri ifike May mosi,labda mwenyekiti mpya atatangaza neema kwa watumishi wa uma?Muuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, David Mtaita (30) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kamba ikiwa ni baada ya kujichoma sindano ya kutuliza maumivu.
Akizungumza leo Alhamisi Aprili 29, 2021 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa katika uchunguzi wa awali wamebaini muuguzi huyo alijinyonga juzi saa 12 jioni kutokana na msongo wa mawazo uliosababishwa na madeni.
Amesema kabla ya kujinyonga alijichoma sindano ya kutuliza maumivu kwa kuwa ilikutwa pembeni ya mwili wake.
“Alifanya kitendo hicho katika nyumba aliyokuwa anaishi eneo la Singisi wilayani Arumeru,” amesema na kubainisha kuwa uchunguzi bado unaendelea.
Chanzo: Mwananchi
Siku hizi kwenye mikopo si kuna bima ya kifu au binadamu sio watuAngesubiri Mei Mosi ipite huenda mama atatangaza neema.
Actually No. It's not feminine it's masculine.Is David femenine?
Ukiwa na Akili ya kutegemea pesa ya SerikaliDaaah jamaa vipi huyu stone si kaishasepa asee[emoji848]
Angevumilia kidogo tu kwa maza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dawa ya deni ni kulipaaa ila daahhhh hahaaahaMadeni ni issue kweli kweli... kuna jamaa muda wote simu yake iko off, anawasha anapiga then anazima hapo hapo kisa madeni. [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Sometimes vitu vinaumana ndugu.... kila kona inazingua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dawa ya deni ni kulipaaa ila daahhhh hahaaaha
Dah...No...ametoroka...,[emoji2960][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo ni amekufa!
Mimi deni limenifunza kua..Sometimes vitu vinaumana ndugu.... kila kona inazingua