Depression is real.
No one feigns depression.
Let us try to be kinder to each other, be good, do good.
R.I.P Mister.
Kweli aisee,maisha yamekuwa vita na binadamu wamekuwa wa kuogopwa kuliko hata wanyama wakali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Depression is real.
No one feigns depression.
Let us try to be kinder to each other, be good, do good.
R.I.P Mister.
Depression ya kuporomoka kiuchumi au?Depression is real.
No one feigns depression.
Let us try to be kinder to each other, be good, do good.
R.I.P Mister.
Ndio. Finances, mapenzi, mental illness...Depression ya kuporomoka kiuchumi au?
Ah aha haMadeni ni issue kweli kweli... kuna jamaa muda wote simu yake iko off, anawasha anapiga then anazima hapo hapo kisa madeni. [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Good riddanceMuuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, David Mtaita (30) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kamba ikiwa ni baada ya kujichoma sindano ya kutuliza maumivu...
Tatizo na anayekudai nae kazongwa na shida, hivi unaelewa kweli[emoji848]Hakuna kitu kinaniuma kumuoma mtu anahangaika na maisha halafu wanaomdai nao hawataki kusubiri.
Kinachohuzunisha ukute hayo madeni kayapata baada ya kukopa kuisaidia familia yake au mke halafu baadae wote wamemkimbia na kumuona mjinga...
Angesubiri asikie ahueni ya mei mosi,huenda aneweza hats kupata mkopo mahali.Angesubiri kidogo angalau ajue hata mwenye kiti wa CCM ni nani?
In age ya 30's kweli mapenz yanakuwa bado ni issue,mi nadhan most of people inakuwa ni finances labda ila hzo other factors nadhan % zake ni chache sana though na admit zipo.Ndio. Finances, mapenzi, mental illness...
Sio TanzaniaAngesubiri Mei Mosi ipite huenda mama atatangaza neema.
We will never know for real will we?In age ya 30's kweli mapenz yanakuwa bado ni issue,mi nadhan most of people inakuwa ni finances labda ila hzo other factors nadhan % zake ni chache sana though na admit zipo.
Urafiki na pesa haviendiMimi deni limenifunza kua..
Mkiwa marafiki msikopeshane hela, Urafiki wenu utavunjika bila sababu.
...Hata Aspirini, Mkuu. Tena Kumi ama Kumi na Tano tu, Mazima!Piritoni sio Aspirini.
Madeni ni issue kweli kweli... kuna jamaa muda wote simu yake iko off, anawasha anapiga then anazima hapo hapo kisa madeni. [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Daaa aisee.Marehemu namuelewa sana.Madeni hata mimi yananitesa .Inafikia kipindi naomba nikilala nisiamke.