Muuguzi ajinyonga hadi kufa, Polisi wasema ni kutokana na msongo wa mawazo uliosababishwa na madeni

Ala kumbe ni muhimu kujichoma sindano kwanza eeee kupunguza uchungu wa kifo - kuna wengine wanasema ukitaka kufa vizuri badi kunywa aspilini kama 30 hivi - ukilala mazima.
Piritoni sio Aspirini.
 
Si angesubiri ifike May mosi,labda mwenyekiti mpya atatangaza neema kwa watumishi wa uma?
 
Da ila jamaa angehama hata Mkoa tu,angeenda sehemu nyingine aanze upya.
 
Madeni ni issue kweli kweli... kuna jamaa muda wote simu yake iko off, anawasha anapiga then anazima hapo hapo kisa madeni. [emoji16] [emoji16] [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dawa ya deni ni kulipaaa ila daahhhh hahaaaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…