Muuguzi ajinyonga hadi kufa, Polisi wasema ni kutokana na msongo wa mawazo uliosababishwa na madeni

Hata nidaiwe vp, nikutane na magumu kiasi gani, siwezi kufikiria kujiua. Haiwezekani na kamwe haitatokea eti siku moja nitingwe na mawazo mpaka kufikia hatua ya kukatisha uhai wangu.
 
Hata nidaiwe vp, nikutane na magumu kiasi gani, siwezi kufikiria kujiua. Haiwezekani na kamwe haitatokea eti siku moja nitingwe na mawazo mpaka kufikia hatua ya kukatisha uhai wangu.
Kula Tano man 👊
 
Kwani Marehemu Alikuwa Anasemaje?
 
Kwa umri wake usikute alikua anajitolea tu na kulipwa kidogo jambo lililopelekea kuwa na madeni mengi. Yaani unafahamika kama dotor halafu unaishi kwa mlo mmoja.
Acha kabisa😬😬
 
Haya maisha hatari sana. Asubuhi unaenda kazini unarudi jioni. Ndugu zako wakikuomba hata 10, 000 hauna unafikiri umewanyima hela.
Kila siku unatengeneza matatizo tu unaona bora ufe ili uondoe lawama kbsa.
Dah umeandika ukweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…