Muujiza wa Kwanza alioufanya Yesu ni kubadili maji kuwa divai. Kwanini Makanisa mengi yanahubiri kuwa pombe ni dhambi?

Huyo ndio mjingamimi, sasa hivi kapanda cheo.
Amekuwa mpumbavu kabisa.
 
atakayebisha aje na hoja
 
Kweli kabisa Mkuu wanashindwa kutofautisha kati ya ulevi ambao umekatazwa kwenye biblia na kunywa pombe kam kiburudisho,,, pombe imeruhusiwa lakin ulevi nd umekatazwa wakielewa hapo wataishi kwa amani na kutoichukia pombe
 
😂😂😂😂😂😂🙌🙌
 
Babu@aspirin umeongea kiume, kikristu na kihekima, atakayesikia na asikie na asiyesikia amfaye Yakobo mgalilaya pekee aliyomuona mke wa Yesu
 

Kimtokacho mtu ni maneno na si chakula.
 
Usiseme kutoka kwa wazungu pekee, sema na waarabu na wachina pamoja na wahindi maana kuna dini zimeletwa Hadi na waturuki (Orthodox) ambao wapo all over Russia, Bosnia etc.

Pia kuna Buddha na wengine wote
 
Si hicho tu mkuu, kuna makorokoro mengi tu hayana logic kabisa yani
 
Babu@aspirin umeongea kiume, kikristu na kihekima, atakayesikia na asikie na asiyesikia amfaye Yakobo mgalilaya pekee aliyomuona mke wa Yesu
Mgalilaya YAKOBO kapiga goti na kuomba msamaha kwa BIKIRA Hangaya: NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA
 
Mgalilaya YAKOBO kapiga goti na kuomba msamaha kwa BIKIRA Hangaya: NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA
Bikira Hangaya 😂😂😂😂😂, tatizo linalomcost ni uropokaji, sielewi alipokuwa kijana alikuwa na kiherehere kiasi gani na atakuwa alikuwa mzee wa pumba sana.

Haya mambo hutegemei kuyasikia yamefanywa na mtu mzima Kama yeye, bahati mbaya ni spika wa Bunge la nchi. Spika anadharauliwa Hadi na vijana wa form two maana vituko anavyofanya anajiaibisha mwenyewe.

Nadhani aliyesema viongozi wawe wanapimwa afya ya akili kabla ya kupewa nafasi za kuongoza alikuwa sahihi sana maana kwa haya maboko anayotoa spika toka amekalia Ile ofisi inatosha kusema huyu mtu hafai kuwa spika achilia mbali ubunge.

Watu wa Kongwa naona Kuna shida kidogo kule kwao, haiwezekani huyu mtu ndio wameona anawafaa miaka zaidi ya 20 sasa na ukiacha akili yake kule jimboni ni aibu kubwa sana kusema ndio anakotoka spika na amekuwa mbunge over 20 years.
 
Kitu nimejifunza kwa wagogo ni kimoja. KUOMBA ni jadi yao.

Asipoomba hela anaomba MSAMAHA.

Kajieleza weeeee.... hakuna sehemu aliyosema kakosea. Sasa kama hajakosea bali watu walimdukua, msamaha kaomba wa nini? Si kasema hajafanya kosa ila wataalam wa mtandao wamekata clip sijui wakachomeka maneno sijui.... sasa hii "MEA CULPA, MEA CULPA MEA MAXIMA" imekujaje?

JOBO hoyeee.... mitano tena kwake
 
Mwanzo 9
20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;

21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
Afu mabinti zake wakaukalia mshedede wake akiwa kalea. Mpaka wakapata mimba daadeki
 
Habakuki 2
15 Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao!

Sidhani kama divai uliyonukuu ilikuwa na kileo. Kumbuka kuwa divai ya Yesu ilikuwa ya awamu ya pili baada ya ile ya kwanza kuisha.
Mungu hataki umpe jirani yako kileo ukiwa na Nia alewe na kuutazama Uchi wake
 


Kuna makatazo mengi ya pombe sababu watu wakunywa na kupitiliza na kufanya uovu. Na ni ngumu kuwawekea kipimo kisicho na madhara

Kila kitu kinachotumika kupita kiasi huleta madhara

Ulevi ni mbaya
 
Unajua divai safi... Yesu alitengeneza divai safinhakutengenez pombe unajuadivai inatengenezwa na zabibu sasa zabibu ikichacha ndio inakuwa pombe yani vimeleo vya pkmbe vinatokea divai ikichacha sasa ndio mana biblia ilikazia divai safi kwa maana haikuchacha na haikuwa kilevi biblia imekataza pombe mistari mingi ya kutosha usilewe kwa mvinyo maana kuna ufisadi ndani yake efeso 5:18
 
Nakupa aya kutoka kwenye Biblia ya Kiingereza
 

John 2
New International Version

Jesus Changes Water Into Wine​

2 On the third day a wedding took place at Cana in Galilee.(A) Jesus’ mother(B) was there, 2 and Jesus and his disciples had also been invited to the wedding. 3 When the wine was gone, Jesus’ mother said to him, “They have no more wine.”
4 “Woman,[a](C) why do you involve me?”(D) Jesus replied. “My hour(E) has not yet come.”
5 His mother said to the servants, “Do whatever he tells you.”(F)
6 Nearby stood six stone water jars, the kind used by the Jews for ceremonial washing,(G) each holding from twenty to thirty gallons.[b]
7 Jesus said to the servants, “Fill the jars with water”; so they filled them to the brim.
8 Then he told them, “Now draw some out and take it to the master of the banquet.”
They did so, 9 and the master of the banquet tasted the water that had been turned into wine.(H) He did not realize where it had come from, though the servants who had drawn the water knew. Then he called the bridegroom aside 10 and said, “Everyone brings out the choice wine first and then the cheaper wine after the guests have had too much to drink; but you have saved the best till now.”
11 What Jesus did here in Cana of Galilee was the first of the signs(I) through which he revealed his glory;(J) and his disciples believed in him.(K)
12 After this he went down to Capernaum(L) with his mother(M) and brothers(N) and his disciples. There they stayed for a few days.
 

John 2
King James Version

2 And the third day there was a marriage in Cana of Galilee; and the mother of Jesus was there:
2 And both Jesus was called, and his disciples, to the marriage.
3 And when they wanted wine, the mother of Jesus saith unto him, They have no wine.
4 Jesus saith unto her, Woman, what have I to do with thee? mine hour is not yet come.
5 His mother saith unto the servants, Whatsoever he saith unto you, do it.
6 And there were set there six waterpots of stone, after the manner of the purifying of the Jews, containing two or three firkins apiece.
7 Jesus saith unto them, Fill the waterpots with water. And they filled them up to the brim.
8 And he saith unto them, Draw out now, and bear unto the governor of the feast. And they bare it.
9 When the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knew😉 the governor of the feast called the bridegroom,
10 And saith unto him, Every man at the beginning doth set forth good wine; and when men have well drunk, then that which is worse: but thou hast kept the good wine until now.
11 This beginning of miracles did Jesus in Cana of Galilee, and manifested forth his glory; and his disciples believed on him.
12 After this he went down to Capernaum, he, and his mother, and his brethren, and his disciples: and they continued there not many days.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…