Muujiza wa Kwanza alioufanya Yesu ni kubadili maji kuwa divai. Kwanini Makanisa mengi yanahubiri kuwa pombe ni dhambi?

Na kwa kuongezea Biblia inawashutumu walevi sio wanywa pombe. Kwa hiyo tuendelee kula kamnyweso ila tusilewe. Sagod hana shida na wanywaji ila walevi tu
 
Hakika
 
Karibu kumsifu Mungu

Your browser is not able to display this video.

Kama mwenye dini yake alikuwa anachapa mma, sisi ni nani hata tukatazwe?
 
Inategemea wewe umechukulia neno baa kwa maana gani ...ni swala la iq ....hapa tunaongelea sehemu yoyote ya kupata kinywaji cha ulevi kwa pamoja..hata kama ukiwa ukumbi wa harusi kwani ujaona baa zinafanyika harusi hata hapa tz
 
Divai siyo pombe. Konyagi ndiyo pombe.
 
Divai mpaka saiv si inatumika kama chakula cha bwana lakin pitia mithal uone na zaburi jinsi zinavyopinga ulevi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…