Kwani kila divai ina kileo?MWANZO:9/20
Nuhu akaanza kuwa mukulima, akapanda mzabibu: AKANYWA DIVAI AKALEWA;
HAYO NI MAMBO YA WALAWI!
NA SISI WACHAGA TUNA MAMBO YETU!!!
Basi Yesu Kristo aliitengeneza hapa Duniani.Ushasema mbinguni.
Lakini duniani tumekatazwa.
Kutokana na maandiko yetu.
Ila kwenye BIBLIA pia pombe imekatazwa.
Aya ya 10.
Kwanini unabishana na maandiko?View attachment 2066806
Pia alifufua Wafu.Ila alikumbuka kuwatengenezea POMBE.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Basi Yesu Kristo aliitengeneza hapa Duniani.
Ili kutupa mazoezi tukifika Mbinguni tusiwe tunaishangaa shangaa.
Tunaianzia hapa hapa.
Au unasemaje Rafiki
Pia alifufua Wafu.
Hii ni kuonesha anayo mamlaka Mbinguni na Duniani.
Nchini Kenya, Ethiopia na Somalia Mirungi sio haramu, ni zao halali la Kibiashara.Naona umekaririshwa kuwa alichokitengeneza Yesu ni pombe.
Sasa leo ninakukaririsha kitu kingine, bangi, mirungi, cocaine na heroin ni mimea iliyoumbwa na Mungu, na kwakuwa Mungu aliumba vitu vizuri, vipi kwanini wakuu wa dini waseme haramu?
Sio Walevi tu.Sasa mbona BIBLIA INAKATAA.
Kuwa walevi hawatauona UFALME WA MUNGUView attachment 2066810
Sio Walevi tu.
Na Walafi pia.
Hao wanatumia hizo bidhaa bila kufuata taratibu zake.
Ukivimbiwa Pilau siku ya Iddi ni dhambi.
Wengi mnasahau Ulafi mnakumbuka Ulevi tu.
Tunywe tusilewe.Ukisoma kwenye kitabu cha Injili ya Yohana sura ya pili, Kuna kisa kinasiimuliwa ambacho kilitokea katika Kana ya Galilaya.
Katikati ya harusi divai ikaisha, Mama Maria Mtakatifu akamfuata Yesu, akamwambia kuwa mzigo wa gambe umeisha.
Yesu akamjibu muda wangu bado, basi akawaagiza Vijana wamletee maji, na walipoyafunua yakawa divai iliyo bora Sana.
Sasa inakuwaje leo makanisani wanasema tusinywe kabisa maji mema?[emoji1634][emoji1635][emoji482][emoji481][emoji485]
Kama haina kileo sio divai bali ni juice ya zabibu.Kwani kila divai ina kileo?
Mwenzangu usiyekurupuka, hao ni akina nani walioambiwa hayo?Soma aya ya 9.
Soma kwa makini tu.usikurupukeView attachment 2066774
Sipo karibu na tv.. npo naangalia huu mpambano hapa wa wanywa divai na maandikoWatch tbc you'll gonna see me..😜
Tunapenda kutafsiri biblia kwa mtindo wa kuhalalisha matamanio yetu.Ukiondoa kifungu hicho,pia kuna neno linasema "kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi,na sio kimuingiacho".
na mkayafanye mambo yote kwa kiasi,Tunaangamia kwa kukosa Maarifa
Mithali23
29 Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye, Ole?
Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno?
Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu?
Ni nani aliye na macho mekundu?
30Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo;
Waendao kutafuta divai iliyochanganyika.
31Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu;
Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu;
32Mwisho wake huuma kama nyoka;
Huchoma kama fira.
33Macho yako yataona mambo mageni;
Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.
34Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari;
Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.
35 Utasema, Wamenichapa wala sikuumia;
Wamenipiga wala sina habari;
Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.
We upo upande gani..?Sipo karibu na tv.. npo naangalia huu mpambano hapa wa wanywa divai na maandiko
Kwa hiyo wine zote zina vileo?Kama haina kileo sio divai bali ni juice ya zabibu.
Kwani ili mtu usivembewe inatakiwa ule chakula cha kiasi gani?Ili USIWE mlevi unatakiwa unywe bia kuanzia ngapi?
Au alcohol ngapi imewekwa Kama kipimo yaani ukifika hyo alcohol inakuwa umekuwa mlevi.
Muulize mwenyewe maandiko si yapoKwa hyo yesu alikuwa mlevi au alikuwa mnywaji wa pombe?
Npo nna observe kwanza.. ila nmegundua kuna watu wana chuki sana na dini fulani.. na wanatumia maandiko vibaya kwa ku quote vimistari ovyo ovyo.We upo upande gani..?