Muujiza wa Kwanza alioufanya Yesu ni kubadili maji kuwa divai. Kwanini Makanisa mengi yanahubiri kuwa pombe ni dhambi?

Ushasema mbinguni.
Lakini duniani tumekatazwa.
Kutokana na maandiko yetu.
Ila kwenye BIBLIA pia pombe imekatazwa.
Aya ya 10.
Kwanini unabishana na maandiko?View attachment 2066806
Basi Yesu Kristo aliitengeneza hapa Duniani.
Ili kutupa mazoezi tukifika Mbinguni tusiwe tunaishangaa shangaa.
Tunaianzia hapa hapa.

Au unasemaje Rafiki
 
Sasa mbona BIBLIA INAKATAA.
Kuwa walevi hawatauona UFALME WA MUNGU
Basi Yesu Kristo aliitengeneza hapa Duniani.
Ili kutupa mazoezi tukifika Mbinguni tusiwe tunaishangaa shangaa.
Tunaianzia hapa hapa.

Au unasemaje Rafiki
 
Alifufua wafu Ila yeye alifufuliwa.
MFUFUA KAFUFULIWA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Soma ayaaaaa ya 14.
Pia alifufua Wafu.
Hii ni kuonesha anayo mamlaka Mbinguni na Duniani.
 
Naona umekaririshwa kuwa alichokitengeneza Yesu ni pombe.
Sasa leo ninakukaririsha kitu kingine, bangi, mirungi, cocaine na heroin ni mimea iliyoumbwa na Mungu, na kwakuwa Mungu aliumba vitu vizuri, vipi kwanini wakuu wa dini waseme haramu?
Nchini Kenya, Ethiopia na Somalia Mirungi sio haramu, ni zao halali la Kibiashara.

Bangi sio haramu Majimbo kadhaa ya Marekani, nchi kadhaa za Ulaya, Malawi na South Africa.

Cocaine na Heroin zina madhara makubwa kiafya na imethibitishwa hivyo ila mimea yake Coca na Opium imetumika miaka mingi kama dawa na vichangamsho kabla ya wahuni kuigeuza unga wa biashara haramu.

Kwa nini sigara imethibitika kuwa na madhara makubwa kuliko bangi lakini haijafanywa haramu hadi sasa?!
 
Kwa hyo yesu alikuwa mlevi au alikuwa mnywaji wa pombe?
Sio Walevi tu.
Na Walafi pia.

Hao wanatumia hizo bidhaa bila kufuata taratibu zake.
Ukivimbiwa Pilau siku ya Iddi ni dhambi.

Wengi mnasahau Ulafi mnakumbuka Ulevi tu.
 
Tunywe tusilewe.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ukiondoa kifungu hicho,pia kuna neno linasema "kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi,na sio kimuingiacho".
Tunapenda kutafsiri biblia kwa mtindo wa kuhalalisha matamanio yetu.

Inawezekana tafsiri ya hilo neno ni kuwa maneno uyasikiayo hayana najisi kwako bali yale yanayokutoka wewe halafu sisi tukahamishia hilo fungu kwenye ulabu😂

Tusihalalishe dhambi, tuyafanye kwa chaguzi zetu. Umeamua kuzini zini tu hakuna haja ya kutafuta uhalali HAUPO.
 
na mkayafanye mambo yote kwa kiasi,
 
Ili USIWE mlevi unatakiwa unywe bia kuanzia ngapi?
Au alcohol ngapi imewekwa Kama kipimo yaani ukifika hyo alcohol inakuwa umekuwa mlevi.
Kwani ili mtu usivembewe inatakiwa ule chakula cha kiasi gani?
Kulewa inategemea na uwezo wako wa kuimili pombe/kilevi
 
Kwa hyo yesu alikuwa mlevi au alikuwa mnywaji wa pombe?
Muulize mwenyewe maandiko si yapo
Au bado unasubiri kusomewa.

Muulize pia na huyo anayewatengenezea Mito ya Pombe naye ni Mlevi pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…