Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Si nimekuandikia hapo juu au unasoma juu juu.Ili USIWE mlevi unatakiwa unywe bia kuanzia ngapi?
Au alcohol ngapi imewekwa Kama kipimo yaani ukifika hyo alcohol inakuwa umekuwa mlevi.
Usinywe pombe kuzidi UWEZO WAKO WA MWILI.
Kunywa ILIYORUHUSIWA NA SERIKALI.
Kunywa MUDA WA MAPUMZIKO baada ya kazi zako
Usinyweee BAJETI YA MAMBO MENGINE KAMA ada, matibabu, ujenzi, Akiba yako, chakula cha nyumbani nk.