Muungano: Maalim Seif aipa tume ya jaji Warioba masharti

Muungano: Maalim Seif aipa tume ya jaji Warioba masharti

Maalimu Seif ni sehemu ya Serikali ya Zanzibar,

Kwanini hakuzungumza kiserikali na badala yake anazungumza kichama?

Watanganyika tunataka muungano uvunjwe kabisa sio marekebisho,

Zanzibar iwe huru tena hata leo, angalau tutapumua
Yericko, wala hakuzungumza kichama. Amezungumza kwa kutumia tume ya maridhiano ambayo haina nguvu za kisheria, kikatiba au vyovyote.
Alichokifanya ni kujificha katika dema na kutema alichokitaka yeye.

Hakuna sababu za makamu wa rais kuongelea mambo mazito kama haya katika viunga vya minazi. Shame!
 
Mimi kama Mtanganyika natakiwa kufanya nini ili kuisaidia zanzibar kuwa Taifa Huru? Ushauri tafadhali.
 
Yericko, wala hakuzungumza kichama. Amezungumza kwa kutumia tume ya maridhiano ambayo haina nguvu za kisheria, kikatiba au vyovyote.
Alichokifanya ni kujificha katika dema na kutema alichokitaka yeye.

Hakuna sababu za makamu wa rais kuongelea mambo mazito kama haya katika viunga vya minazi. Shame!

Nguruvi unamaanisha nini unaposema "tume ya maridhiano" haina nguvu kisheria? Hapa tunaangalia nguvu za kisheria au matakwa ya wananchi?
 
Nguruvi unamaanisha nini unaposema "tume ya maridhiano" haina nguvu kisheria? Hapa tunaangalia nguvu za kisheria au matakwa ya wananchi?
Ni hivi hiyo tume haipo kisheria na hivyo haina uhalali wa kuongelea matakwa ya raia. Hilo ni tofauti na matakwa ya raia kufanyiwa kazi na chombo chenye nguvu za kisheria.

Nikuulize, tume ya maridhiano iliundwa kwa sheria gani za znz?
Kama ingelikuwa tume iliyoundwa kisheria hapo pangelikuwa na jambo, hii tume imejiunda na nikuulize nani aliunda na ilijulikana lini kuwa ipo.

Maalim na Karume walipokutana hakuna aliyejua kuwa kulikuwa na tume. Kasema Nasor Moyo.
 
Watanganyika tunataka muungano uvunjwe kabisa sio marekebisho,
hapa ndipo kwenye tatizo Yericko!

Watanganyika wengi siku hizi wanataka Muungano uvunjwe lakini tatizo wapo peke yao hawana support ya viongozi (labda unitajie viongozi wawili tu wa juu serikalini wanaotaka muungano uvunjike) tofauti na wenzao Wazanzibar hawautaki Muungano na wana support kutoka kwa viongozi wao.

Bila ya kushirikisha uongozi au viongozi wa kiserikali sioni kama mtafanikiwa kuipata Tanganyika.
 
hapa ndipo kwenye tatizo Yericko!

Watanganyika wengi siku hizi wanataka Muungano uvunjwe lakini tatizo wapo peke yao hawana support ya viongozi (labda unitajie viongozi wawili tu wa juu serikalini wanaotaka muungano uvunjike) tofauti na wenzao Wazanzibar hawautaki Muungano na wana support kutoka kwa viongozi wao.

Bila ya kushirikisha uongozi au viongozi wa kiserikali sioni kama mtafanikiwa kuipata Tanganyika.

Sidhani kama maoni ya kuuvunja watanganyika walisema kwenye tume ya warioba,wao watanganyika kazi yao ilikuwa kuyalaumu maoni ya wazbr kwenye ile tume,nawaonea huruma sana watanganyika hawajielewi.
 
Mimi kama Mtanganyika natakiwa kufanya nini ili kuisaidia zanzibar kuwa Taifa Huru? Ushauri tafadhali.
Rasimu ikitoka isome. Kama kuna jambo lisilo na masilahi na Tanganyika kataa.
Nakuhakikishia kuwa hakuna jambo lolote lenye masilahi na Tanganyika.

Ili kuwasaidia, ni kuendelea kuwaunga mkono katika harakati zao za kujiondoa.
Hiyo ni pamoja na kuwakumbusha huko makazini na mashuleni na mitaani. Kuwaambia bila haya 'tumewachoka rudini kwenye nchi ya ahadi,nchi yenu yenye neema''

Iambie serikali yako kuwa wewe kama Mtanganyika huna sababu za kulipa umeme ikiwemo bill ya mznz ndani yake.
Huna sababu za kulipa mkopo wa shule ili hali kodi zako na wazazi zinasomesha wzn bure.
Huna sababu ya kulipa kodi ili fungu liende znz bila sababu
Huna sababu ya kulipa kodi ili kuhudumia wabunge wa CCM na Waliberali kutoka znz wasio na masilahi na nchi yako Dodoma
Huna sababu za kutafuta ajira wakati ambapo ajira yako amechukua mznz na wewe huwezi kupata ajira znz.
n.k.

Muhimu ni kusimama kidete na kuwaambia waondoke, kama sivyo basi tetea nchi yako kama wanavyotetea yao

Mwambie mbunge wako, jirani yako na yoyote aliye karibu kuwa sasa basi inatosha, let znz go peaceful
 
Hawa jamaa uliberali umewaaafect bongo zao. They can't think rationally. Wanashindwa kusema ..muungano basi... wanabwabwaja tu huko kibandamaiti. MIMI NI MMOJAWAPO NINAYEUPINGA HUO MUUNGANO WA KIPUUZI.
 
Sidhani kama maoni ya kuuvunja watanganyika walisema kwenye tume ya warioba,wao watanganyika kazi yao ilikuwa kuyalaumu maoni ya wazbr kwenye ile tume,nawaonea huruma sana watanganyika hawajielewi.
Ndiyo maana kazi ya kuwafanya wajielewe imekamilika.
Utajua kuwa wamejielewa siku ambapo utakuwa nchini kwako. Uvumilivu mbona umekwisha kitambo!
 
Hawa jamaa uliberali umewaaafect bongo zao. They can't think rationally. Wanashindwa kusema ..muungano basi... wanabwabwaja tu huko kibandamaiti. MIMI NI MMOJAWAPO NINAYEUPINGA HUO MUUNGANO WA KIPUUZI.

Hadidu rejea za tume ilikuwa marufuku kutoa maoni ya kuuvunja,wazenj wanataka mkataba ili kuuboresha na 66% wametaka hivyo,je watanganyika mlitoa maoni gani kwenye tume kuuboresha?
 
I Think kama wanataka kuuvunja muungano sawa tuh,ila sasa kama wanaamua kutoka basi watoke moja kwa moja,

Naunga mkono inawezekana kuna vitu vya msingi ambavyo wao wanahis wanavimis kwa kuwa ndan ya muungano huu,kwa mantiq hiyo basi yanapotokea majadiliano,wao wayaseme matakwa yao wazi wazi na bila kuchagua kuegemea kwenye urahis watakaoupata kutoka kwetu,

Kama watafikiria kujitoa basi watambue kwa yale mambo yanayowanufaisha kutoka upande wetu watanganyika nayo yapaswa wajiotoe na hayo pia,

Wasiwe selective,kwa kuwa wao ndio wameona huu muungano unawabana...


Nasisi watanganika hakuna haja ya kuwang'ang'ania wazanzibar kama tumeona wamechoka na sisi tumeyaweka mambo yetu ya msingi ambayo tunataka nao wasinufaike nayo...
Mkuu minadhani hakuna mtanganyika anao wang'ang'ania wanzanzibar/muungano, ila nikikundi cha watu wachache ambao wana nufaika nao huo muungano ambao ni CCM.
 
Rasimu ikitoka isome. Kama kuna jambo lisilo na masilahi na Tanganyika kataa.
Nakuhakikishia kuwa hakuna jambo lolote lenye masilahi na Tanganyika.

Ili kuwasaidia, ni kuendelea kuwaunga mkono katika harakati zao za kujiondoa.
Hiyo ni pamoja na kuwakumbusha huko makazini na mashuleni na mitaani. Kuwaambia bila haya 'tumewachoka rudini kwenye nchi ya ahadi,nchi yenu yenye neema''

Iambie serikali yako kuwa wewe kama Mtanganyika huna sababu za kulipa umeme ikiwemo bill ya mznz ndani yake.
Huna sababu za kulipa mkopo wa shule ili hali kodi zako na wazazi zinasomesha wzn bure.
Huna sababu ya kulipa kodi ili fungu liende znz bila sababu
Huna sababu ya kulipa kodi ili kuhudumia wabunge wa CCM na Waliberali kutoka znz wasio na masilahi na nchi yako Dodoma
Huna sababu za kutafuta ajira wakati ambapo ajira yako amechukua mznz na wewe huwezi kupata ajira znz.
n.k.

Muhimu ni kusimama kidete na kuwaambia waondoke, kama sivyo basi tetea nchi yako kama wanavyotetea yao

Mwambie mbunge wako, jirani yako na yoyote aliye karibu kuwa sasa basi inatosha, let znz go peaceful

Unamshauri vibaya,tanganyika haipo,mwambie kwanza alilie tanganyika irudi kwanza .
 
Ndiyo maana kazi ya kuwafanya wajielewe imekamilika.
Utajua kuwa wamejielewa siku ambapo utakuwa nchini kwako. Uvumilivu mbona umekwisha kitambo!

Hamuwezi kujielewa kama hamjairejesha tanganyika mkajiamulia mambo yenu,hivi unadhani kwa nn raisi wenu anapishana na ndege kabeba net wenzake wamebeba dhahabu?
 
Baba wa Taifa la Zanzibar ni John Okello a.k.a Field Marshal au Mungu wa Afrika,

Karume alikabidhiwa madaraka kutoka kwa Okello chini ya MSAADA wa Julius Nyerere huyohuyo uliyelishwa maneno kuwa alimuua Karume!

Tuwafahamishe rasmi Wazanzibar kuwa hakuna Mzanzibar HALISI anaetaka muungano uvunjwe bali WAHAMIAJI (waarabu) ndio wenye chokochoko hizo na wamewapandikiza watu chuki hizo bila watu hao kujua hasa nini wanakichukia!

Muungano huu ukivunjia hata dakika hii, Tanganyika haina hata chembe ya HASARA bali mateso na mahangaiko yako kwa Wazanzibar HALISI!

Bajeti ya Zanzibar ni kadilio la bilioni 610 hivi watika makusanyo ya mapato yake yote kwa mwaka ni kadilio la bilioni 120 hivi,

Hebu tafakari pengo la bajeti hiyo hutolewa na Tanganyika!

Kwenye kapu la Muungano bajeti ni kadirio la bilioni 1536 hivi wakati huo Zanziba huchangia kadilio la bilioni 24 hivi tu, baada ya kuchangia tu ofisi ya rais wa Zanziba hupewa kadilio la bilioni 36 hivi kutoka kwenye kapu hilo, hivi kimantiki Zanzibar inakuwa imechangia 0 na kuchota 36 bilioni,

Takwimu hizo zinaweza zisiwe halisi kabisa lakini zinaakisi ukweli huo,

Sasa kwa mtu mpumbavu atasema Muungano unawanufaisha zaidi Tanganyika bila kujua ukweli,

Haya tuje mengine haya,

Zanzibar haina bajeti ya wizara ya ulinzi tangu ipate uhuru mwaka 1963, hutegemea TANGANYIKA

Zanzibar haina bajeti ya Elimu ya juu tangu uhuru 1963, wanafunzi wa elimu ya juu husoma bure huku wenzao wa bara wanakopeshwa, hivyo mzazi wa Tanganyika humlipia mkopo huo hata mtoto wa kizanzibari na wote wanakuja bara kutafuta kazi pamoja! Katika hilo Zanzibar huitegemea TANGANYIKA,

Zanziba hawajui gharama za Umeme, bili zao hulipwa kwa kodi za watanganyika!

Haya tuwaulize wazanzibar kuwa Tanganyika inapata faidi gani kutoka Zanzibar zaidi ya ulinzi uliokuwa ukitazamwa enzi za vita baridi?

Zanziba haina vitega uchumi vingine zaidi ya Karafuu, Uvuvi na Utalii,

Je leo wakijitenga wataweza kuhudumia jamii hiyo kwa ufanisi kwakutegemea vitegauchumi hivyo?

Leo Tanganyika ikiamua kujenga vivutio vyake vya kitalii katika pwani za Bagamoyo, Tanga, Dar, Lindi na Mtwara kuna mtalii atakanyaga Zanzibar???

Hali iliyopo pale zanziba na pato lake, kama ikijitenga leo hii, haiwezi kujiendesha zaidi ya siku 15!

Propaganda za kuwaangamiza wazanzibar ni hatari sana!

Leo hii kiongozi wa chokochoko za kuuvunja muungano huu Maalim Seif hataki muungano huu unvunjike ila anataka uboreshwe, jiulize kwanini hataki uvuninjwe??


Anajua ukweli wa mambo na anashindwa kuwaeleza ukweli huo nyinyi aliowadanganya, badala yake anataka muungano wa MKATABA, jiulizeni kwanini anataka wa muungano wa MKATABA?

Watanganyika HATUTAKI muungano wa MKATABA,

Tunataka kama mnataka muungano uvunjike basi iwe hivyo,

Tunawataka muende salama salimini!
 
Hamuwezi kujielewa kama hamjairejesha tanganyika mkajiamulia mambo yenu,hivi unadhani kwa nn raisi wenu anapishana na ndege kabeba net wenzake wamebeba dhahabu?

Haahaaa daaah imeniuma sana hii ya rais wetu kupishana na wenzake kwenye ndege akiwa kabeba net huku wenzake wamebeba dhahabu!
 
I Think kama wanataka kuuvunja muungano sawa tuh,ila sasa kama wanaamua kutoka basi watoke moja kwa moja,

Naunga mkono inawezekana kuna vitu vya msingi ambavyo wao wanahis wanavimis kwa kuwa ndan ya muungano huu,kwa mantiq hiyo basi yanapotokea majadiliano,wao wayaseme matakwa yao wazi wazi na bila kuchagua kuegemea kwenye urahis watakaoupata kutoka kwetu,

Kama watafikiria kujitoa basi watambue kwa yale mambo yanayowanufaisha kutoka upande wetu watanganyika nayo yapaswa wajiotoe na hayo pia,

Wasiwe selective,kwa kuwa wao ndio wameona huu muungano unawabana...


Nasisi watanganika hakuna haja ya kuwang'ang'ania wazanzibar kama tumeona wamechoka na sisi tumeyaweka mambo yetu ya msingi ambayo tunataka nao wasinufaike nayo...

mzee wa gesi haitoki, umepiga "Tikrit"
 
Me naona huu ndio muda muafaka wa kuuvunja huu upuuzi wenyewe (muungano) hivi sisi tulio nje ya sistem tuna nufaika nini na muungano huu? Kugawana sarafu, bendera, jeshi la polis haisadii kitu, tiba ya maradhi haya ni kuuvunja tu huumuungano.
 
Tulishawaambia...........Let Zanzibar go!
Waamue hata leo waondoke wasizunguke mbuyu. Bwana wanampenda lakini gubu haliishi., waondoke.
 
Mimi kama Mtanganyika natakiwa kufanya nini ili kuisaidia zanzibar kuwa Taifa Huru? Ushauri tafadhali.

Unatakiwa kuupinga hadharani (kamawafanyavyo wao) sio una nung'unika moyoni tu.
 
Watanganyika wametoa maoni, waznz wametoa maoni.

Naomba usome habari katika link hiyo hapo juu. Makamu wa Rais Idd Seif amekataa na kusema wazi kuwa wazanzibar wanafaidika na muungano. Shein aliwahi kusema hayo.

Hakuna sababu maoni ya wazanzibar ndiyo yaunde katiba ya JMT. Kwanini wanaweka masharti ili hali tunajua kuwa wapo wazn akiwemo Seif Idd hawakubaliani na Maalim Seif? Je, wznz wapi unaongelea.

The bottom line ni kuwa Seif Hamad asishinikize maoni yake yenye kiu zake za kisiasa kuwa maoni ya wananchi.
Mimi ni mmoja wa wale wanaosema let znz go! lakini itokee hivyo kwa wznz na si kundi au mtu aliyetumwa eti aweke masharti kwa tume ya Warioba. Who is he by the way.
huyo ndo simbaaa.. maalim seif sio wewe jingakubwa..... ndo mwenyewake mzanzibari halisi anaebura milioni kibao nyinyi.... wewe kasirikaaaaaa.. ukisha kucho ndo hivyo analolitaka mzanznibari ndo hilo hilo......u knowwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww
 
Back
Top Bottom