Muungano: Maalim Seif aipa tume ya jaji Warioba masharti


Mimi naona mnasuburi yule Baba yenu afufuke ili aje awasemee , kama alivyokua muda wote wa maisha yake. Sasa kwavile mnatatizo hilo, sisi tutauvunja Muungano kipande baada ya kipande. Sasa hapo utamjua nani jasiri na nani muoga?
 

Kwa shida iliyopo znz hivi sasa chini ya Muungano huu wa kidhalimu ,sitegemei kama kutakuwa na shida zaidi ya baadaya znz kuwa na mamlaka kamili. Kwa wale wenye umri mkubwa wanaeleza kuwa hakukua na shida ya maisha kama hii kabla ya Muungano. Hata miaka ya mwanzo ya Muungano hakukua na shida kama ya leo.

Kila kukicha mnanyofoa uwezo wa serikali ya Mapinduzi na kupeleka kwa Muungano kwa manufaa ya Tanganyika. Makosa yale waliyoyafanya wazee wetu , sisi watu wa leo hatutokubali. Zile zama zidumu fikra za mwenyekiti "zidumu" zimekwisha. Ulimwengu wa leo kila mtu ana uhuru wa kimawazo na fikra zake.
 
 

huwa napata shida sana kumwelewa maalimu seif....ni kirusi cha ajabu.....all he is thinking about is power.....

kwa nini asiseme pia wawe na jeshi lao....

nataki chama kiwepo bara na visiwani.....pamoja na kupewa serekali yao....kimsingi hapa tunaona ule ukweli kwamba CUF ililenga zanzibar tu...kwingine haawana haja napo.... hata simwelewi gaidi huyu...laba mwale wa mbagala wanamwelewa....
 
Let it go. Hatuwezi sema kuna muungano,wkt mzanzibari tanganyika anajiachia anavyotaka lkn mtanganyika akiwa znz anakosa amani(kama kaenda nje ya nchi). Wazanzibari wanapaswa wawe wazi kwa kinachowasibu na si kuwa wanafiki.
Viongozi wanaona faida ya muungano lkn wanashindwa kuelimisha watu wao...wana maslahi binafsi,mtawaua waznz wenzenu...labda cjui kwa haraka haraka ni kitu gn tanganyika inahitaji toka znz, mm sioni labda mniambie nyie waznz mnaosema tunawanyonya, labda matiti.
Mnatakiwa mkae chini mtafakari hili na serikali iwe moja na si tatu km anavyotka mzeemwanakijiji,maana mimi sioni kitu cha kujivunia nje ya muungano nyinyi waznz.
 
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni ! Hivi ule muafaka wa CCM na CUF huko Zanzibar ulikuwa wa nini?Basi warudi mezani
 
MAALIM SEIF ALALAMIKA KUHUSU IDADI YA WABUNG\

Mara baada ya rasimu kutangazwa maalim seif amekimbilia kuhoji idadi ya wabunge wa bunge la Jamhuri ya muungano.
Amehoji kuwa ni kwanini znz ipewe wabunge 20 na Tanganyika 30.
Hizi ni nchi mbili ambazo zina usawa na hivyo zinatakiwa ziwe sawa katika uwakilishi.

Haya ndiyo mawazo aliyokuwa nayo hadi kukimbilia idadi ya wajumbe wa tume kuwa sawa badala ya kuangalia muundo na taratibu za kupata katiba.

Kinachoshangaza maalim Seif yupo bize kuhesabu watu wangapi watapata ulaji.
Nilitegemea makamu wa rais aangalie na kuhoji gharama za uendeshaji na zitagawanwa vipi.

Kwa vile yeye na wznz wana hulka ya kudai lakini hawajui kutoa tayari malalamiko ya kipuuzi kama haya yameanza.
Ni upuuzi kuhoji wabunge bila kuhoji gharama za kuendesha bunge zitapatikanaje

Ndiyo maana tunasisitiza kuwa maalim Seif kachoka kifikra, apunzike na hafai.
Mungu asadie na nina uhakika hataweza kuwa rais katika ardhi ya Tanganyika maisha yake yote.
Ni hatari sana .
 
Nadhani huenda ZNZ hawajui with certainity wanataka nini. Na kama wanajua basi hawajui wakipateje. Maana kila kitu kiko wazi lakini hawachukui hatua kutimiza matakwa yao badala yao kutwa kulalama tuu bila kuchukua hatua madhubuti kama mara zote walivyokuwa wanashauriwa hapa. Wanachoonesha hapa ni kuwa wao ni 'nataka sitaki' kama huyu dada kwenye hii comedy hapa Kansiime Anne is divorcing her man on minibuzz - YouTube. Hawataki kukubali kuwa wao kama hawautaki muungano kwa dhati kabisa na wakaamua kuchukua hatua muuungano utavunjika.

Lakini hauhitaji kuwa na Phd kujua kwamba waznz wanautaka sana muungano (and they seem they can't live without it) na ndo maana wanaongeza vipengele lukuki kwa ajili yao tu as if sisi ni watawala wao na ndio wafaidika wakuu wa muungano huu ilhali the opposite is true kwamba wao ndio main beneficiaries wa huu muungano.

Msimamo wango mara zote utabakia, ama tuwe nchi moja, taifa moja au znz waachwe kwa amani waende zao.
 
Serikali 3 ni kuvunja muungano. CUF waseme moja ama wavumilie mfumo uliopo wa muungano au watamke wazi kwamba muungano uvunjike. Zingine zote ni porojo na kuuma maneno! Wanafiki Wakubwa!
 
huyo ndo simbaaa.. maalim seif sio wewe jingakubwa..... ndo mwenyewake mzanzibari halisi anaebura milioni kibao nyinyi.... wewe kasirikaaaaaa..
mtoto umekula kungu nini? naona umelegealegea, au ndo ulibelali?
 
Njia rahisi ni kuifufua tanganyika ikae meza moja na z'br ijadili muungano,kinyume na hapo ni magumashi tu.
Nyie watu mbona mnatusumbua, kwani nini mnachotaka. Tanganyika ikae meza moja na hiyo Wilayat wajadili muungano upi na ili iweje? Tanganyika haina haja na majadiliano juu ya muungano yeye ni "price taker"; nyinyi na "price maker" majadiliano huwa hakuna. Kwa hivyo nyie kaeni Kibandamaiti kubalianeni maazimio yenu wekeni enforcement kwa watu wenu kisha wasilisheni rasmi kupitia serikali yenu ambayo na nyie cuf mmo, then mtaona kinachofuata

Ndicho kinachotakiwa, tatizo Watanganyika wamelala fofofo.
Kinachotakiwa na nani? "kulala fofoffo" kwa watanganyika si ndio fursa yenu kufanya mtakayo sasa mnataka kujadiliana nini na Tanganyika. Nchi yenu, watu mnao, serikali mnayo, kila kitu mnacho; mnataka majdiliano na tanganyika juu ya muungano ili iweje? mbona hamko wazi? mkataba mmeshaambiwa NO! kama hamna fall back position ya mkataba, so timueni- Ndio njia rahisi kwenu ya kuondoa 'kero za muungano'
 
c matakwa ya maalim ni matakwa ya waz'br,na ndio maoni ya waz'br yaliyotolewa kwenye tume ya warioba.

kweli waliberali waarabu walishawachokonoa zamani! Kila kitu wanachotaka mnawatekelezea!
 
Kiukweli viongozi wengi wa Tanganyika hawaoni tatizo kwani ndio wanaoyafaidi matunda ya mfumo huu wa muungano, wananchi wake hawana pa kusemea zaidi ya vyama vyao vya upinzani ambavyo nao viongozi wao (wachache) wakivutwa mkono hunyamaza, lakini si Maalimu Seif bwana, huyu ni jembe.
 
Hebu rudia kusoma, ndio umeandika nini hapa?
 

Hahahahahaaaa, yaani waTanganyika mnakerwa sna na Zanzibar Kuwa huru, mansahau Kuwa Mwisho wa Ubaya Huwaaa..............., nyinyi mnapaswa kutafakari ya Tanganyika yenu ndani ya muungano nasio Zanziabar Ndani ya muungano, plz keep Quart for the Zanzibar freedom maana hayakuhusu na wala huhusiki katika maisha ya waZanzibari.
 
Serikali 3 ni kuvunja muungano. CUF waseme moja ama wavumilie mfumo uliopo wa muungano au watamke wazi kwamba muungano uvunjike. Zingine zote ni porojo na kuuma maneno! Wanafiki Wakubwa!

Unajua maan ya selfish, naona unayo ww maan si CUF wala CCM & chama chengine chochote hapa Zanzibar, wanaodai uhuru wa Zanzibar ni waZanzibari nasio vyma vya siasa na hata hao Uamsho ni waZanzibari kwani waZanzibari wengi hapa ni waislamu so sioni tatizo kuungana na kudai haki yao, waZanzibari wanachodai ni mkataba au kuvunjika kabisaaaa kwa huo muungano, ninani alie tafuna maneneo hapo?, au huo uselfish ndio unaokusumbua?, wew huijui Zanzibar basi hata kusikiliza vyombo vyahabari kwaumakini?.... Inasikitisha sna km hujui bora kaakimya hutopunguz kitu!!.
 
Kumbe! sasa akina Shein, Vuai,Balozi Idd Seif, wale wa masikani ya kisonge, michenzani wao sio wznz? Tume ya watu 15 kutoka znz ilimwakilisha nani katika tu ya warioba kama si wznb?

Inaposemwa 66 % je 34% siyo wznz? Mbona CCM wanasema tofauti na CUF au!

Hapa huwa tunauliza mkataba mnaotaka ni wa kitu gani?
Yapo mambo 7 hayo siyo mkataba kweli? ninyi mngetaka yabaki yapi ! maana mkataba una mambo sasa ni yapi hayo?

Kama humuwezi kusema, basi kamwambieni Maalim muda wake kisiasa sasa basi, kete aliyo nayo ni kuvunja muungano ambayo tunaiunga mkono na tumeshawashauri sana namna ya kufanya. Hamtaki kwasababu ya woga!
Msipofanya sasa Gavana anakuja muda si mrefu.
 

Wenye Muungano wanasema: https://www.jamiiforums.com/katiba-mpya/467037-ccm-wapinga-serikali-tatu.html
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…