Muungano ukivunjika na Zanzibar itavunjika

Muungano ukivunjika na Zanzibar itavunjika

Zenj ita twaliwa kwa nguvu kama sehemu ya Bara. Nakuwa kama Kisiwa cha Bara.
 
Tanganyika itabaki?
Kuna wakati Mzee Mgaya unauliza maswali ya mtoto wa miaka 7! Sasa unafikiri Tanganyika itaenda wapi iwapo hao kupe wataanza kuishi kwa kujitegemea kwa 100%!!

Shida itakuwa ni kwa hao walalamishi na wazee wa kudeka. Tanganyika itakuwa imara zaidi ya ilivyo sasa! Na pia itapata unafuu zaidi kwa kuutua mzigo mzito ilioubeba kichwani mwake tangu 26/04/1964.
 
Kwa wanaojua kanuni za uharibifu, huwa hauachii mahali au kwenye kitu kimoja.

Nyerere aliwahi kuulinganisha na kula nyama ya binadamu. Ailaye haachi. Sijui ukweli wa dhana hii.

Hata hivyo, ukiwasikia wanaohanikiza tuvunje muungano, unapata wasiwasi nao.

Mfano, juzi mtu mmoja aitwaye Jussa alisikika akisema tuuvunje na kugawana mbao. Haya ni mawazo mafupi hasa kwa upande wa visiwani ambao watu wengi hujidanganya kuwa muungano ukivunjika watakuwa kama Dubai kwa vile wameonja harufu ya mafuta. Ni uchoyo na upofu mtupu.

Muungano ukivunjika, yafuatayo yanaweza kutokea:

Mosi, wapemba nao watataka kujitenga na waswahili weusi ili wawe karibu na ndugu zao waarabu ambao huwa wanawaabudia japo waarabu wanawaona kama watumwa wa kawaida.

Pili, Tanganyika italazimika kuwatimua wazenj wote ili warejee kwao na Zenj itajibu mapigo japo hatua hii itazua tatizo jingine.

Tatu, kama idadi ya Wazenji wote walioko bara watatimuliwa, Zanzibar haitakuwa na uwezo wa kuwatosheleza kimaisha hata kama ingekuwa na hayo mafuta ambayo haina uzoefu wa kuya-manage sawa na nchi nyingine za kiafrika.

Nne, Zenj itakumbwa na tishio la mapinduzi toka kwa migawanyiko yake ya asili baina ya waliofanya mapinduzi na waliopinduliwa ambavyo kimsingi, ndiyo sababu kuu iliyoisukuma kuungana na Bara.

Tano, Zenj itakuwa na tishio la usalama kutokana na kutokuwa na jeshi lake na vyombo vingine vya ulinzi. Hivyo, italazimika kuendelea kutegemea Tanganyika hata kama ni kinafiki.

Sita na mwisho, Zenj itatumia fedha nyingi kuagiza bidhaa toka Tanganyika katika fedha za kigeni jambo ambalo litaathiri vibaya uchumi wake.

Unaweza kuongeza madhara mengine na faida kama zipo.
kwanini zanzibar ivunjike na tanganyika isivunjike?
 
Kwa wanaojua kanuni za uharibifu, huwa hauachii mahali au kwenye kitu kimoja.

Nyerere aliwahi kuulinganisha na kula nyama ya binadamu. Ailaye haachi. Sijui ukweli wa dhana hii.

Hata hivyo, ukiwasikia wanaohanikiza tuvunje muungano, unapata wasiwasi nao.

Mfano, juzi mtu mmoja aitwaye Jussa alisikika akisema tuuvunje na kugawana mbao. Haya ni mawazo mafupi hasa kwa upande wa visiwani ambao watu wengi hujidanganya kuwa muungano ukivunjika watakuwa kama Dubai kwa vile wameonja harufu ya mafuta. Ni uchoyo na upofu mtupu.

Muungano ukivunjika, yafuatayo yanaweza kutokea:

Mosi, wapemba nao watataka kujitenga na waswahili weusi ili wawe karibu na ndugu zao waarabu ambao huwa wanawaabudia japo waarabu wanawaona kama watumwa wa kawaida.

Pili, Tanganyika italazimika kuwatimua wazenj wote ili warejee kwao na Zenj itajibu mapigo japo hatua hii itazua tatizo jingine.

Tatu, kama idadi ya Wazenji wote walioko bara watatimuliwa, Zanzibar haitakuwa na uwezo wa kuwatosheleza kimaisha hata kama ingekuwa na hayo mafuta ambayo haina uzoefu wa kuya-manage sawa na nchi nyingine za kiafrika.

Nne, Zenj itakumbwa na tishio la mapinduzi toka kwa migawanyiko yake ya asili baina ya waliofanya mapinduzi na waliopinduliwa ambavyo kimsingi, ndiyo sababu kuu iliyoisukuma kuungana na Bara.

Tano, Zenj itakuwa na tishio la usalama kutokana na kutokuwa na jeshi lake na vyombo vingine vya ulinzi. Hivyo, italazimika kuendelea kutegemea Tanganyika hata kama ni kinafiki.

Sita na mwisho, Zenj itatumia fedha nyingi kuagiza bidhaa toka Tanganyika katika fedha za kigeni jambo ambalo litaathiri vibaya uchumi wake.

Unaweza kuongeza madhara mengine na faida kama zipo.
Kabisa Zanzibar watateseka sana muungano ukivunjika.
 
Kwa wanaojua kanuni za uharibifu, huwa hauachii mahali au kwenye kitu kimoja.

Nyerere aliwahi kuulinganisha na kula nyama ya binadamu. Ailaye haachi. Sijui ukweli wa dhana hii.

Hata hivyo, ukiwasikia wanaohanikiza tuvunje muungano, unapata wasiwasi nao.

Mfano, juzi mtu mmoja aitwaye Jussa alisikika akisema tuuvunje na kugawana mbao. Haya ni mawazo mafupi hasa kwa upande wa visiwani ambao watu wengi hujidanganya kuwa muungano ukivunjika watakuwa kama Dubai kwa vile wameonja harufu ya mafuta. Ni uchoyo na upofu mtupu.

Muungano ukivunjika, yafuatayo yanaweza kutokea:

Mosi, wapemba nao watataka kujitenga na waswahili weusi ili wawe karibu na ndugu zao waarabu ambao huwa wanawaabudia japo waarabu wanawaona kama watumwa wa kawaida.

Pili, Tanganyika italazimika kuwatimua wazenj wote ili warejee kwao na Zenj itajibu mapigo japo hatua hii itazua tatizo jingine.

Tatu, kama idadi ya Wazenji wote walioko bara watatimuliwa, Zanzibar haitakuwa na uwezo wa kuwatosheleza kimaisha hata kama ingekuwa na hayo mafuta ambayo haina uzoefu wa kuya-manage sawa na nchi nyingine za kiafrika.

Nne, Zenj itakumbwa na tishio la mapinduzi toka kwa migawanyiko yake ya asili baina ya waliofanya mapinduzi na waliopinduliwa ambavyo kimsingi, ndiyo sababu kuu iliyoisukuma kuungana na Bara.

Tano, Zenj itakuwa na tishio la usalama kutokana na kutokuwa na jeshi lake na vyombo vingine vya ulinzi. Hivyo, italazimika kuendelea kutegemea Tanganyika hata kama ni kinafiki.

Sita na mwisho, Zenj itatumia fedha nyingi kuagiza bidhaa toka Tanganyika katika fedha za kigeni jambo ambalo litaathiri vibaya uchumi wake.

Unaweza kuongeza madhara mengine na faida kama zipo.
Mkuu ulisoma wapi na kwa sasa unafanya shughuli gani?

Ulichoandika unakielewa kweli?
Ulichoandika kinaweza au unaweza kukitumia uweze kuisaidia jamii ya kijijini kwako huku bsra au familia yako?

Nina wasiwasi unaishi bure na unakula bure huko uliko.
 
Nawaonea huruma tu.
Nionee huruma mimi mtanganyika mkuu sina kazi.

DC wangu katokea kwenye kile kisiwa nami huku sina kibarua.

Nionee huruma mimi ambaye serikali yangu imeshindwa kununua miche ya miti mkuu
👇
 

Attachments

  • AE6909F3-BBB1-4FE8-9AD9-19AB1C8CFD88.jpeg
    AE6909F3-BBB1-4FE8-9AD9-19AB1C8CFD88.jpeg
    66.2 KB · Views: 3
Kutakuwa na ukabila mkubwa Sana Tanganyika , nipo nimekaa pale
Hakuna ukabila wowote utakaokuwepo Tanganyika kama utakaokuwa Zanzibar,ukitaka kuamini nenda leo kapange nyumba ya mpemba uone tofauti.

Nilipokuwa bado napanga nimewahi kuishi kwenye nyumba ya Muhaya,Mzigua,Mpare,Mrangi na Mndengereko regardless kabila langu wala kwanza sikuulizwa nilipewa nyumba wakati fulani nikahitaji frame ya biashara Ilala kule wanakouza spare used nyumba ilikuwa ya mpemba mapatano yakawa ya muda mrefu sababu alitaka bei kubwa wakati tunaendelea ku-negotiate akang'amua asili yangu frame akampa mpemba mwenzake tena bei ndogo tofauti na offer niliyokuwa nimempa.

Nenda Mwanza nenda Arusha nenda Lindi mkoa wowote Tanganyika hii hakuna pasipokuwa na mchanganyiko wa makabila mbona wasianze kubaguana waanze kubaguana kwa sababu tumeachana na watu 600K amsha akili hiyo mpemba hana cha kukusaidia ungetegemea angalao kwa sababu yupo kwenye nafasi kubwa ya kufanya maamuzi kwa manufaa ya nchi yako yeye ndiyo kwanza anaivuruga kwa mikataba isiyo na kichwa wala miguu huku kwake kukiwa salama.

Kwanza huyo sa100 sidhani hata kama huo muungano anautaka kwa anayoyafanya maana yeye ndiye aliyechokonoa zaidi.
 
Kwa wanaojua kanuni za uharibifu, huwa hauachii mahali au kwenye kitu kimoja.

Nyerere aliwahi kuulinganisha na kula nyama ya binadamu. Ailaye haachi. Sijui ukweli wa dhana hii.

Hata hivyo, ukiwasikia wanaohanikiza tuvunje muungano, unapata wasiwasi nao.

Mfano, juzi mtu mmoja aitwaye Jussa alisikika akisema tuuvunje na kugawana mbao. Haya ni mawazo mafupi hasa kwa upande wa visiwani ambao watu wengi hujidanganya kuwa muungano ukivunjika watakuwa kama Dubai kwa vile wameonja harufu ya mafuta. Ni uchoyo na upofu mtupu.

Muungano ukivunjika, yafuatayo yanaweza kutokea:

Mosi, wapemba nao watataka kujitenga na waswahili weusi ili wawe karibu na ndugu zao waarabu ambao huwa wanawaabudia japo waarabu wanawaona kama watumwa wa kawaida.

Pili, Tanganyika italazimika kuwatimua wazenj wote ili warejee kwao na Zenj itajibu mapigo japo hatua hii itazua tatizo jingine.

Tatu, kama idadi ya Wazenji wote walioko bara watatimuliwa, Zanzibar haitakuwa na uwezo wa kuwatosheleza kimaisha hata kama ingekuwa na hayo mafuta ambayo haina uzoefu wa kuya-manage sawa na nchi nyingine za kiafrika.

Nne, Zenj itakumbwa na tishio la mapinduzi toka kwa migawanyiko yake ya asili baina ya waliofanya mapinduzi na waliopinduliwa ambavyo kimsingi, ndiyo sababu kuu iliyoisukuma kuungana na Bara.

Tano, Zenj itakuwa na tishio la usalama kutokana na kutokuwa na jeshi lake na vyombo vingine vya ulinzi. Hivyo, italazimika kuendelea kutegemea Tanganyika hata kama ni kinafiki.

Sita na mwisho, Zenj itatumia fedha nyingi kuagiza bidhaa toka Tanganyika katika fedha za kigeni jambo ambalo litaathiri vibaya uchumi wake.

Unaweza kuongeza madhara mengine na faida kama zipo.
Chanzo kikuu ni kile kinachodaiwa demokrasia ya kinafiki iliyopo ili kuhujumu rasilimali za nchi bila matakwa ya wananchi ambao ndio waajiri wa watawala.
Wazenji (weusi) wakianzisha kujitenga, Zanzibar itagawanyika vipande vitano:
1) Mjini magharibi
2) Kasikazini Unguja
3) Kusini Unguja
4) Pemba kusini
5) Pemba kasikazini
^Tishio la usalama kupitia ugaidi na biashara haramu pande zote (bara na visiwani) utatamalaki kiwango cha juu sana

Wakati bara itagawanyika vipande Saba
1) Kanda ya ziwa
2) Kanda ya kasikazini
3) Kanda ya magharibi
4) Kanda ya kusini
5) Kanda ya mashariki/Pwani
6) Kanda ya kati
7) Kanda ya nyanda za juu kusini

MATOKEO
*Tishio la la mshikamano wa wananchi na ukabila na udini utavuka mipaka
*Visasi vitapanda kiwango cha juu sana
*Upande mmojawapo unaweza kuingia kwenye mikono ya wageni na hawatajinasanua kamwe katika vizazi vyote vitavyofuata
*Wamakonde, Waha, Manyema, Wanyamwezi, na Wasukuma watafukuzwa huko Zanzibar wakati bara Wapemba, Waunguja kusini watafukuzwa na kuporwa mali zao walizowekeza
*Taifa litakumbwa na uhusiano mbaya na umoja wa mataifa na viongozi walioko madarakani watakabiliwa na kuondolewa kinga kisha kushitakiwa kwa sheria za nchi
 
Kikwete kapitia Sana changamoto hizi, huna kumbukumbu tu.

Katukanwa Sana, na mara zote chuki za udini zinajificha kwa watu kujifanya wazalendo lakini linalofukuta moyoni ni jingine kabisa
Usiwakee watu maneno midomoni hakuna wenye hizo hisia za kipumbavu labda wewe ndiye mwenye nazo!

Uongozi ukienda mrama unapaswa uambiwe ukweli acheni kuingiza mambo ya kijinga jinga kutafuta sympathy za wasiojielewa.
 
Hakuna ukabila wowote utakaokuwepo Tanganyika kama utakaokuwa Zanzibar,ukitaka kuamini nenda leo kapange nyumba ya mpemba uone tofauti.

Nilipokuwa bado napanga nimewahi kuishi kwenye nyumba ya Muhaya,Mzigua,Mpare,Mrangi na Mndengereko regardless kabila langu wala kwanza sikuulizwa nilipewa nyumba wakati fulani nikahitaji frame ya biashara Ilala kule wanakouza spare used nyumba ilikuwa ya mpemba mapatano yakawa ya muda mrefu sababu alitaka bei kubwa wakati tunaendelea ku-negotiate akang'amua asili yangu frame akampa mpemba mwenzake tena bei ndogo tofauti na offer niliyokuwa nimempa.

Nenda Mwanza nenda Arusha nenda Lindi mkoa wowote Tanganyika hii hakuna pasipokuwa na mchanganyiko wa makabila mbona wasianze kubaguana waanze kubaguana kwa sababu tumeachana na watu 600K.
Nakuunga mkono ndugu, hata huo udini wanaosema ni maneno tu ya baadhi ya watu na kutishana, katika maisha yetu ya kibongo unaweza kujikuta katika kundi la waislam na ukaishi nao poa tu vile vile upande mwingine, na kama unakumbuka kuna dada mmoja muislaam aliwahi kusema yeye hujiona salaama zaid anapokuwa marafiki zake wakristo, kwani uwa wanakuwa bega kwa nega katika matatizo yake
Hata kuna wakristo uwezi kuwatambua kama ni wakristo maana hata kwenye vibalaza vya miskitini hujumjika ma kanzu na waislam na hawambagui
Yaan ni kutishana tu watanganyika niwamoja
Tusitishane tuogope kuipigania nchi yetu
Nia ni nchi yetu, sio kuwabagua wazanzibar, bali kila nchi ile kwa urefu wa kamba yake,,
 
Wakati bara itagawanyika vipande Saba
1) Kanda ya ziwa
2) Kanda ya kasikazini
3) Kanda ya magharibi
4) Kanda ya kusini
5) Kanda ya mashariki/Pwani
6) Kanda ya kati
7) Kanda ya nyanda za juu kusini
Tanganyika hatuwezi kugawanyika na nashindwa kuelewa sababu gani umetumia hadi ukadhani kwamba Tanganyika haiwezi kujitenga na hao kupe.

Hizo kanda zote hizo ukienda utakuta makabila yote yapo na yanashirikiana kwa kila kitu,kwa uchache nikitaja Msukuma yupo Kilimanjaro,Mchagha yupo Songea Mmakonde yupo Arusha Mmasai yupo Bukoba Mkurya yupo Kilwa hiyo Dar es salaam ndiyo hakuna cha kusema na wote wameenda kujaribu maisha ila nenda Pemba kama utakuta kabila tofauti na wao na wawe wameenda kujaribu maisha zaidi ni waajiriwa wa serikali.

Usiwatishe watu muungano is scum!
 
MWENYE CLIP ALIYOONGEA JUSSA KUHUSU KUVUNJA MUUNGANO AIWEKE HAPA TAFADHALI
 
Back
Top Bottom