Muungano ukivunjika na Zanzibar itavunjika

Muungano ukivunjika na Zanzibar itavunjika

Shida Sisi watanganyika tunataka kuvunja Muungano Kwa kuwakomoa wazanzibari...hii itafanya zoezi kuwa gumu kuliko tunavyo dhani...
Dawa ni kuvunja Muungano Kwa makubaliano Tu ya kuwasaidia wapige hatua ya kuwa Taifa hata Kwa miaka mitano...
Tunaweza sema Tunavunja Muungano Kwa makubaliano ya kuwasaidia hela kidogo Sana ...hata bilioni 50 kila mwaka Kwa miaka mitano Hadi watakapo stabilize....in return na Sisi tutapata assurance kutoka kwao ya kutotumia "Uhuru wao mpya"kutuhujumu na Kenya mfano au nchi yeyote Ile ingine...
Pata Picha Kenya airways wamehamia Zanzibar baada ya Muungano kufa...Sisi tuko tayari??
Sikiliza Makamu wa Rais Zanzibar, lazima Zanzibar ile irudi.
Dakika ya 17 hadi 30

 
Shida Sisi watanganyika tunataka kuvunja Muungano Kwa kuwakomoa wazanzibari...hii itafanya zoezi kuwa gumu kuliko tunavyo dhani...
Dawa ni kuvunja Muungano Kwa makubaliano Tu ya kuwasaidia wapige hatua ya kuwa Taifa hata Kwa miaka mitano...
Tunaweza sema Tunavunja Muungano Kwa makubaliano ya kuwasaidia hela kidogo Sana ...hata bilioni 50 kila mwaka Kwa miaka mitano Hadi watakapo stabilize....in return na Sisi tutapata assurance kutoka kwao ya kutotumia "Uhuru wao mpya"kutuhujumu na Kenya mfano au nchi yeyote Ile ingine...
Pata Picha Kenya airways wamehamia Zanzibar baada ya Muungano kufa...Sisi tuko tayari??
Usidanganyike na ukubwa wa eneo na wingi wa watu. Unaijua Mauritius? Bahamas je? Hivo ni visiwa vidogo lakini hatuvifikii kwa utajiri na maendeleo
 
"pambaneni wenyewe huko Tanganyika" -Ismalil Jusa Radhu.

na sisi tutasema "pambaneni wenyewe huko Zanzibar"-watangangika
 
Nyerere alianza ukombozi wa Zanzibar tangu bado ukiwa Nyani misituni kwenu Congo kabla Tippu Tipp hajakupeni lifti mkakosa soko.
Msikilize Waziri wa Sultani anavyomkumbuka Nyerere akiunda vyama ASP akiwa na katibu wake Zuberi Mtemvu huko huko znz enzi za Sultani.


mimi nilipokuwa nyani huko Congo wewe ulikuwa hujazaliwa. Tippu Tip mwenyewe alipigwa jaramba na Mbeligiji, baada ya kupewa bendera apite na kuzibandika kwenye himaya yake Mbelgiji alimtimua maeneo yote ya Congo. Kwa hivyo alikuwa akijisevu mwenyewe sisi nyani tulitafuta njia nyingine ya kufika Zanzibar.
 
mimi nilipokuwa nyani huko Congo wewe ulikuwa hujazaliwa. Tippu Tip mwenyewe alipigwa jaramba na Mbeligiji, baada ya kupewa bendera apite na kuzibandika kwenye himaya yake Mbelgiji alimtimua maeneo yote ya Congo. Kwa hivyo alikuwa akijisevu mwenyewe sisi nyani tulitafuta njia nyingine ya kufika Zanzibar.
Mjibu kuwa ulipokuwa nyani yeye alikuwa nyoka tena mwenye sumu kali
 
Kwamba Tanganyika itabaki salama?
Wale wanaowachukia wazanzibari Kwa sababu ni waislam unafikiri chuki Yao itaishia Kwa wazanzibari?
Waislam wapo Zanzibar tu?

Aliekwambia Zanzibar vyakula vitapanda bei nani?lazima kununua Tanganyika?au Tanganyika ndo nchi pekee inazalisha vyakula duniani?

Aliekwambia nchi zikivunjika lazima Raia wafukuzwe nani??
Kila Mtanzania aliezaliwa baada ya mwaka 1964 huku Tanganyika ana haki ya kuchukua Uraia wa Tanganyika...
Zanzibar ..watapiga hatua kubwa Sana ...billa kuzuiwa na watanganyika
Tena zenji watapiga hatua kubwa

Ova
 
Usidanganyike na ukubwa wa eneo na wingi wa watu. Unaijua Mauritius? Bahamas je? Hivo ni visiwa vidogo lakini hatuvifikii kwa utajiri na maendeleo
Ni kweli lakini pia usisahau Comoro, Haiti !
 
Hujui kwamba Tanganyika ndio iliitoa Zanzibar mikononi mwa sultani la sivyo Zanzibar ingekuwa bado chini ya mwarabu katili.

aliyekwambia kuwa Sultan alikuwa ni katili nani?? Makatili ni CCM
 
Wivu Unawatesa sana watangayika kwa Zanzibar, kwa kifupi tu mchawi wa Zanzibar ni CCM bila ya CCM Zanzibar ingelikuwa mbali sana, Na Tanganyika ndio inayoieka CCM Zanzibar kwa nguvu ya Dola, Siku Muungano ukivunjika tu CCM Zanzibar nayo habari yake imekwisha, and the New Era will begin.
 
Back
Top Bottom