Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,724
Tanganyika tuna akilikwanini zanzibar ivunjike na tanganyika isivunjike?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanganyika tuna akilikwanini zanzibar ivunjike na tanganyika isivunjike?
Zanzibar ilikuwepo kabla ya muungano na ilikuwa haitegemei kitu kutoka Tanganyika.Kabisa Zanzibar watateseka sana muungano ukivunjika.
Haitatokea KwameKutakuwa na ukabila mkubwa Sana Tanganyika , nipo nimekaa pale
Hujui kwamba Tanganyika ndio iliitoa Zanzibar mikononi mwa sultani la sivyo Zanzibar ingekuwa bado chini ya mwarabu katili.Zanzibar ilikuwepo kabla ya muungano na ilikuwa haitegemei kitu kutoka Tanganyika.
Sijui umesoma historia ya wapi lakini pia kumbuka kwamba hizo bandari munazoringia zote zilikuwa sehemu ya ukanda wa maili kumi wa pwani chini ya utawala wa Zanzibar.Hujui kwamba Tanganyika ndio iliitoa Zanzibar mikononi mwa sultani la sivyo Zanzibar ingekuwa bado chini ya mwarabu katili.
Bila Tanganyika Zanzibar mtateseka sana kwani hata chakula chenu sehemu kubwa inatoka Zanzibar.Sijui umesoma historia ya wapi lakini pia kumbuka kwamba hizo bandari munazoringia zote zilikuwa sehemu ya ukanda wa maili kumi wa pwani chini ya utawala wa Zanzibar.
kwani kabla ya muungano tulikuwa hatuli?Bila Tanganyika Zanzibar mtateseka sana kwani hata chakula chenu sehemu kubwa inatoka Zanzibar.
Mtakula lakini kwa shida na tena sasa mmekuwa wengi sana kula itakuwa shida sana.kwani kabla ya muungano tulikuwa hatuli?
Kwanza Pemba na Zanzibar wakigawana mbao Wala hakuna shida,pili sheria za Kimataifa xitawakinda Wazanzibar walioko Bara kama ilivyokuwa Kwa Sudan na South Sudan,sana sana watalipia resident permit basi..Kwa wanaojua kanuni za uharibifu, huwa hauachii mahali au kwenye kitu kimoja.
Nyerere aliwahi kuulinganisha na kula nyama ya binadamu. Ailaye haachi. Sijui ukweli wa dhana hii.
Hata hivyo, ukiwasikia wanaohanikiza tuvunje muungano, unapata wasiwasi nao.
Mfano, juzi mtu mmoja aitwaye Jussa alisikika akisema tuuvunje na kugawana mbao. Haya ni mawazo mafupi hasa kwa upande wa visiwani ambao watu wengi hujidanganya kuwa muungano ukivunjika watakuwa kama Dubai kwa vile wameonja harufu ya mafuta. Ni uchoyo na upofu mtupu.
Muungano ukivunjika, yafuatayo yanaweza kutokea:
Mosi, wapemba nao watataka kujitenga na waswahili weusi ili wawe karibu na ndugu zao waarabu ambao huwa wanawaabudia japo waarabu wanawaona kama watumwa wa kawaida.
Pili, Tanganyika italazimika kuwatimua wazenj wote ili warejee kwao na Zenj itajibu mapigo japo hatua hii itazua tatizo jingine.
Tatu, kama idadi ya Wazenji wote walioko bara watatimuliwa, Zanzibar haitakuwa na uwezo wa kuwatosheleza kimaisha hata kama ingekuwa na hayo mafuta ambayo haina uzoefu wa kuya-manage sawa na nchi nyingine za kiafrika.
Nne, Zenj itakumbwa na tishio la mapinduzi toka kwa migawanyiko yake ya asili baina ya waliofanya mapinduzi na waliopinduliwa ambavyo kimsingi, ndiyo sababu kuu iliyoisukuma kuungana na Bara.
Tano, Zenj itakuwa na tishio la usalama kutokana na kutokuwa na jeshi lake na vyombo vingine vya ulinzi. Hivyo, italazimika kuendelea kutegemea Tanganyika hata kama ni kinafiki.
Sita na mwisho, Zenj itatumia fedha nyingi kuagiza bidhaa toka Tanganyika katika fedha za kigeni jambo ambalo litaathiri vibaya uchumi wake.
Unaweza kuongeza madhara mengine na faida kama zipo.
Hahahahaa hahaaaaa,joja dhaifu ns ya kitoto kbs.Kutakuwa na ukabila mkubwa Sana Tanganyika , nipo nimekaa pale
Ndiyo.nimekaa miaka mitano.wakati nataka kununua ardhi nikakerwa na lugha zao mbaya hadi nikahama.ardhi nikanyimwa.wakasema machogo yahee hawaruhusiwi kupata ardhi hukuKweli ila samahani kiongozi uliwahi kufika Zanzibar?
Tanganyika 80%ya population yake wanaamini zaidi mila na tamaduni, dini sio tishio hata kidogo. Udini unaletwa sana na waislam wa Zanzibar waislam wa Tanganyika hawana time na dini za misimamo mikali, wanaiga tu kutoka kwa wazanzibar.Tanganyika ukabila si tatizo. Tatizo letu ni udini
Kwamba Tanganyika itabaki salama?
Wale wanaowachukia wazanzibari Kwa sababu ni waislam unafikiri chuki Yao itaishia Kwa wazanzibari?
Waislam wapo Zanzibar tu?
Aliekwambia Zanzibar vyakula vitapanda bei nani?lazima kununua Tanganyika?au Tanganyika ndo nchi pekee inazalisha vyakula duniani?
Aliekwambia nchi zikivunjika lazima Raia wafukuzwe nani??
Kila Mtanzania aliezaliwa baada ya mwaka 1964 huku Tanganyika ana haki ya kuchukua Uraia wa Tanganyika...
Zanzibar ..watapiga hatua kubwa Sana ...billa kuzuiwa na watanganyika
Ahaa sawa kiongozi nashkuru kwamajibu napia pole sana kukubaguliwaNdiyo.nimekaa miaka mitano.wakati nataka kununua ardhi nikakerwa na lugha zao mbaya hadi nikahama.ardhi nikanyimwa.wakasema machogo yahee hawaruhusiwi kupata ardhi huku
Utakuwa umeusahau waraka wa maaskofu wewe.Usiwakee watu maneno midomoni hakuna wenye hizo hisia za kipumbavu labda wewe ndiye mwenye nazo!
Uongozi ukienda mrama unapaswa uambiwe ukweli acheni kuingiza mambo ya kijinga jinga kutafuta sympathy za wasiojielewa.
Sasa leo baba yenu nawashirikisha rasmiMuungano haukupata baraka ya wenye nchi. Ni kama vile ndoa ya kulazimishwa. Lilikuwa ni takwa la Nyerere na Karume.
Pengine wananchi wangeshirikishwa, wangeweza kutoa maoni yao. Wananchi ndiyo wenye nchi. Wasikilizwe!
Kwani wenye nchi wanasemaje kuhusu Muungano?
Hujui usemalo mwanangu. Kama kusoma ni deal, nimesoma sana tu ndani na nje ya nchi na ninaishi maisha safi ya kujitegemea na kuwasaidia wengine wengi tu. Laiti kungekuwa na namna ya kuonana uso kwa uso, ungeramba viatu vyangu academically na katika maisha ya kawaida ya ukwasi ya binadamu tena maskini na mjinga kama wewe. Sijaona hoja yoyote kwenye utumboo ulioandika hapa.Mkuu ulisoma wapi na kwa sasa unafanya shughuli gani?
Ulichoandika unakielewa kweli?
Ulichoandika kinaweza au unaweza kukitumia uweze kuisaidia jamii ya kijijini kwako huku bsra au familia yako?
Nina wasiwasi unaishi bure na unakula bure huko uliko.