Muungano ukivunjika na Zanzibar itavunjika

Zanzibar ilikuwepo kabla ya muungano na ilikuwa haitegemei kitu kutoka Tanganyika.
Hujui kwamba Tanganyika ndio iliitoa Zanzibar mikononi mwa sultani la sivyo Zanzibar ingekuwa bado chini ya mwarabu katili.
 
Hujui kwamba Tanganyika ndio iliitoa Zanzibar mikononi mwa sultani la sivyo Zanzibar ingekuwa bado chini ya mwarabu katili.
Sijui umesoma historia ya wapi lakini pia kumbuka kwamba hizo bandari munazoringia zote zilikuwa sehemu ya ukanda wa maili kumi wa pwani chini ya utawala wa Zanzibar.
 
Sijui umesoma historia ya wapi lakini pia kumbuka kwamba hizo bandari munazoringia zote zilikuwa sehemu ya ukanda wa maili kumi wa pwani chini ya utawala wa Zanzibar.
Bila Tanganyika Zanzibar mtateseka sana kwani hata chakula chenu sehemu kubwa inatoka Zanzibar.
 
Kwanza Pemba na Zanzibar wakigawana mbao Wala hakuna shida,pili sheria za Kimataifa xitawakinda Wazanzibar walioko Bara kama ilivyokuwa Kwa Sudan na South Sudan,sana sana watalipia resident permit basi..

Mwisho hata Tanganyika watu wa Mikoani hatutakubali jasho letu kujenga Dar pekee.
 

..kuna chuki za aina nyingi.

..kuna chuki dhidi ya Waislamu.

..kuna chuki dhidi ya Wakristo.

..kuna chuki za kikabila, za rangi, jinsia, kiuchumi, etc.

..jambo la msingi ni kuweka mfumo unaotoa HAKI kwa kila raia.

..hili jambo lionekane kwa vitendo na sio maneno-maneno.

..kwa muda mrefu viongozi wamekuwa wanasisitiza amani, huku wakifumbia macho haki.
 
Ndiyo.nimekaa miaka mitano.wakati nataka kununua ardhi nikakerwa na lugha zao mbaya hadi nikahama.ardhi nikanyimwa.wakasema machogo yahee hawaruhusiwi kupata ardhi huku
Ahaa sawa kiongozi nashkuru kwamajibu napia pole sana kukubaguliwa
 
Usiwakee watu maneno midomoni hakuna wenye hizo hisia za kipumbavu labda wewe ndiye mwenye nazo!

Uongozi ukienda mrama unapaswa uambiwe ukweli acheni kuingiza mambo ya kijinga jinga kutafuta sympathy za wasiojielewa.
Utakuwa umeusahau waraka wa maaskofu wewe.
 
Sasa leo baba yenu nawashirikisha rasmi
 
Hujui usemalo mwanangu. Kama kusoma ni deal, nimesoma sana tu ndani na nje ya nchi na ninaishi maisha safi ya kujitegemea na kuwasaidia wengine wengi tu. Laiti kungekuwa na namna ya kuonana uso kwa uso, ungeramba viatu vyangu academically na katika maisha ya kawaida ya ukwasi ya binadamu tena maskini na mjinga kama wewe. Sijaona hoja yoyote kwenye utumboo ulioandika hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…