WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
linalowakera wazanzibari sio mafuta , hayo mafuta wanayang'ang'ania wabara zaidi kuliko sie wazanzibari. tunachotaka wazanzibari ni HAKI SAWA KWA WOTE. na naomba muamini kwamba watanganyika mnajiona wajanja lakini bado mnawahitaji wazanzibari kwa kukukomboeni . hamna uwezo wa kuleta mageuzi ndani ya ardhi yenu na hilo lipo wazi kwani mpaka leo ccm inajua fika kwamba haina upinzani ndani ya tanganyika na ndio maana inaushikilia muungano ili iweze kuilinda ccm zanzibar. la kufanya ni kuisupport zanzibar katika mageuzi ili mageuzi ya zanzibar yaweze kuwaamsha watanganyika walio wengi ambao wanaonekana kulala na kulemazwa na siasa za nyerere. mafuta sio big deal, tunaomba uadilifu tu.
ni mzenji halisi-----under age
Mkuu... hii kali!
Naomba somo zaidi kwenye hili... ili kama ni kweli basi tuanze kuhamasishana tupate ukombozi wa wazanzibari.