The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 559
kwa vile sehemu ya watu hawautaki haina maana basi uvunjwe; that is the most simplistic solution. Hakuna njia nyingine ya kushughulikia matatizo yake?
kwa vile sehemu ya watu hawautaki haina maana basi uvunjwe; that is the most simplistic solution. Hakuna njia nyingine ya kushughulikia matatizo yake?
muungano,has seen its day,its like an epoch which needs to pass out.the powers that be aint ready to make a move for fear of NYERERE arising from his resting place to haunt them
If one dead man can hold 40 million or so living people hostage in a unholy union then we must have some serious mental issues.
There has to be some other plausible reason for the current state of the Union.
Hili ni kweli kabisa...mtu mmoja mtu anaendeleakututawala toka kaburini hii inatisha. Yaani kati ya watu milioni 40 yeye pekeyake tunaambiwa kuwa alikuwa na VISHENI na yote aliyokuwa akiyataka ndio yanatakiwa kubaki kama yalivyo..mfano hii pet project yake ya Muungano ukienda tofauti na mawazo yake utaambiwa MSALITI!
inatisha mjomba
Ukiwaendesha kama Mkoa hapo ndiyo unafanya ukoloni. Lakini kwa majibu ya haraka haraka tu . Tafuta mizani uipe hiyo Tanganyika yako, sasa pima gharama za kuwa na Zanzibar kama jirani- na gharama za kuwa na Zanzibar kama ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano zipi zinazidi nyengine. Halkadhalika na kwa Zanzibar nayo ipime gharma za kuwa na Tanganyika kama jirani na gharama za kuwa na Tanganyika kama mwenza katika Jamhuri moja ni zipi afadhali. Tatizo siyo dhana ya Muungano ndugu yangu, huo unatoa unafuu wa gharama kwa pande zote mbili husika- lakini cha muhimu ni usawa katika Muungano huo, na hilo ndilo wenzetu wa Zanzibar wanalolikumbushia kila mara- Kumbuka tu Muungano wetu ni jambo la pande mbili- sasa ukija na suala la Mkoa - shauri yako msubiri Bwan Mwiba akupashe.GT
Kutokana na point zako hapo juu, jee kwa nini tunaendelea kuubeba muungano?
Nadhani muungano ni moja ya vikwanzo vya maendeleo ya kiuchumi kwa Tanganyika sababu Zanzibar wanataka kuendelea kuwa kama nchi wakati wanastaili kuendeshwa kama mkoa.
kwa vile sehemu ya watu hawautaki haina maana basi uvunjwe; that is the most simplistic solution. Hakuna njia nyingine ya kushughulikia matatizo yake?
Theories zako ni mbovu ndugu yangu. Kwa nini hutoi theory kuwa Wasukuma waje juu na kusema kuwa Madini ya kule Mwanza ni yao na si ya Tanganyika. Wewe nafikiri huwajui Wapemba wasome vizuri zaidi- Ni Wazanzibari halisi.Pakacha, unajua Unguja na Pemba ziko ndani ya Serikali ya Jamuhuri ya Muungani wa Tanzania. Lakini nyinyi(Wanzanzibari) hamlijui hilo. TPDC ni chombo kinacho shughulikia maswala yote yanayohusiana na maswala ya mafuta yaliyoko Tanzania.
Sasa hicho chombo kingine kinachotoka kuundwa kwa ajili ya mafuta ya Zanzibar kinatoka wapi. Kwa kifupi mikataba yetu ya madini haikuwa mizuri kunatokana na TAMAA za vionozi wetu wakasaini mikataba mibovu. Hakuna kodi ila kuna Royality ya 3% kwa kisingizio kuwa makampuni ya madini hayapati faida.
Sasa tunapokuja kwenye swala la mafuta linakija swala la Tanganyika na Zanzibar, na mnasahau kuwa Zanzibar inaitwa hivyo kwa sababu ya muungano, nje ya muungano hakuta kuwa na kitu kinachoitwa zanzibar, Wapemba watakuja juu na kusema mafuta ni ya kwao kwa sababu ndiko yanapopatika. Mwishoe mtabaki na Unguja na Pemba kila mtu kivyake vyake.Wanzanzibari jaribuni kutumia hata muda kidogo kufikiri kuhusu swala hili na sio kukurupuka tu na kuanza kusema tuanzishe chombo cha usimamizi wa mafuta ya Zanzibar. Utafiti umefanywa na serikali ya muungano sasa kumeonyesha dalili za upatikanaji, nyie mnaanza kusema mafuta ni ya Visiwani na sio ya Tanzania Bara.
Ni mpaka ndugu yangu. Kumbuka kuwa ukivunja muungano kuna mpaka pale kati ya Zanzibar na Tanganyika( au niseme kati ya Zanzibar na Dar es salaam) Sasa dar es salaam ndio Tanganyika. Utakabili vipi gharama za kulinda mpaka huo. Huo sio kama ule mpaka wa Mutukula ambako Amini alileta tafrani. Sasa ukikaa Kizimkazi kule kwa rifle tu unakirusha kibomu hadi Magogoni. Wee acha tu.Mimi naunga mkono kwamba na tuwaache wazenji wajioongoze wenyewe bwana,mimi mpaka leo na elimu na elimu ya ndogo nilyonayo na umri nilionao bado sijaona sisi bara tunaong"ang"ania muungano je unatusaidia nini hasa,zaidi ya kuwa unatulemea tu na wao wanafaidika sana au hawa majisamaki wakubwa kuna kitu wananufaika na waseme basi,ukiuliza wanasema kiusalama kiusalama how?
Mkuu MMKJ heshima mbele (salute)
.... Njia zote umejaribu ili tu kuhakikisha hiyo ndoa HAIVUNJIKI, bado tu bimkubwa HATAKI kwa ishara na matendo ya kila aina anakuonyesha na UNAYAELEWA.
QUOTE]
tatizo la Muungano wa TAnzania ni kuwa hakujawahi kutafutwa njia zote za kutatua matatizo yake. Mimi ukiniuliza usiku wa manane naweza kukupa jibu jepesi tu la kutatua matatizo ya Muungano na Zanzibar wakafurahi, bara wakafurahi! It is not that hard..
hapo ndipo kwenye kiini cha tatizo. Viongozi waliopo bado wanaogopa kumuudhi marehemu na hakuna aliy tayari kuingia kwenye historia kuwa ndiye aliyeuvunja muungano.
Unaona wewe ulivyopotoka. eti tuvunje Muungano ili waZenj wajiongoze wenywe. Kwani Muungano ulikuwa na maana ya Wazenj waongozwe na WaTanganyika. Wazenj siku zote watajioongoza wenyewe. Na wa Tanganyika watajiongoza wenyewe. Katika Muungano tutaongoza sote kwa pamoja kwa misingi maalum ya mashirikiano.sasa sio suala la kuvunja Muungano ili Wa zenj wajiuongoze wenyewe- lakini ni kuimarisha Muungano ili waZenj wajiongoze wenyewe (kama sasa hawajiongozi wenyewe), Wa Tanganyika wajiongoze wenyewe. Na kwa pamoja tuongoze Tanzania yetu kwa ridhaa na manufaa ya wote wazenj na Watanganyika. Mungu ubariki Muungano. Mungu ibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mimi naunga mkono kwamba na tuwaache wazenji wajioongoze wenyewe bwana,mimi mpaka leo na elimu na elimu ya ndogo nilyonayo na umri nilionao bado sijaona sisi bara tunaong"ang"ania muungano je unatusaidia nini hasa,zaidi ya kuwa unatulemea tu na wao wanafaidika sana au hawa majisamaki wakubwa kuna kitu wananufaika na waseme basi,ukiuliza wanasema kiusalama kiusalama how?
jee una hakika na unayoongea?. Tafadhali define Wazanzibari. Ni wepi hao? Kwani Wazananzibar hawana bendera? Kwani wa Zanzibari hawana kiti UN? Be specific- please.Wazanzibari Kwa Uhakika hawataki Muungano kabisa na hilo lieleweke ikiwezekana hata Kesho Uvunjwe kila Mtu awe na Nchi yake kama Ilivyokuwa hapo mwanzo 25.4.1964. Zanzibar ilikuwa ni DOLA Kamili na ilikabidhiwa KITI Chake UN siku moja na KENYA na Kusimamisha BENDERA yake iliopepea katika Umoja huo wa MATAIFA.
Uvamizi wa hila za JULIUS NYERERE ndio Ulioipoteza ZANZIBAR na Kuitumbukiza katika Dimbwi hili la MUUNGANO wa KIFISADI. Muungano huu ni Kichekesho Dunia Nzima haupo kama huu na wala ulofanana na huu, huu sio Muungano Ni UVAMIZI.
Hakuna haja ya Kupigishana kelele Wazanzibari wapewe Nchi yao na Upesi kabla ya kuja kutokea mabishano makali na yawazi ambayo Jumuiya ya Kimataifa itabidi iingilie kati kwa Kuleta Mshauri Mwelekezaji wa Kugawana Nchi na Mipaka yake kabla ya Mika nmichache ijayo.