Zahir Salim
Member
- Mar 27, 2009
- 31
- 1
Kiti kiliondolewa kwa hila za Julius Nyerere pamoja na Bendera, lakini Baada ya miaka karibu ya 40 sasa SMZ imerejesha Bendera kwa Mbwembe na hoi hoi nafikiri hili unalijuwa, ila kwa KITI nakuahidi kiko njiani kurejeshwa.
habari ndiyo hiyoooo
habari ndiyo hiyoooo