Andindile
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 304
- 17
Zanzibar has a great future chini ya muungano kama wakiamua. Sidhani kama wanaweza kujimudu peke yao. Natumia sidhani maana sida economic au social data za ku-support hii and i have no time to research.
Wamekuwa ndani ya muungano miaka yote hiyo wameendelea kushea umaskini na Tanganyika.
Mbona Mauritius na Sychelles wako kivyao hawajaungana na mozambiki na wanazidi kupaa kimaendeleo? Labda tukiwaachia hata ufisadi kwao itakuwa historia.