Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,768
- 2,361
Tee..hee.. hii yanikumbusha kwenye ndoa - hivi nani anatakiwa afungashe na kuondoka ? Anayeona hapendwi (anaonewa, hathaminiwi) au yule ambaye bado anapenda. Nafikiri hapa hakuna cha kuondoka mtu bali kuna wivu tu wa kutaka apendwe zaidi - wivu wa kike ? Nani tena huyu anataka kulitia doa penzi kati ya Tanganyika na kisiwa cha karafuu ?
He he he he ! bi Zenj anataka abebwe he he!