Zahir Salim
Member
- Mar 27, 2009
- 31
- 1
unapo -classify Tanganyika na kudai kuoina % ya uchumi wake-Tanganyika iko wapi? hii si ndio kina Bwan Mwiba na wenziwe wanauliza kila siku. Angalia ile ramani ya Visiwa vya CUBA. jiografia ya pale kidogo inashabihiana na jiografia ya Zanzibar na Tanganyika (hususan Dar es salaam) Sasa iulize USA pamoja na ukubwa na ubabe wake, na teknologia yake ya ulinzi na ujasusi inapata shida gani na inagharimika vipi kulinda mpaka pale. sasa fikiria Tanganyika yako itakavyoweza kulinda mpaka kati ya Tanganyika na Zanzibar. Hizo almasi na dhahabu zenu si zote zitakuwa zinauzwa magendo Zanzibar. sasa mafisadi wenu hamuwaoni na mali yenu hamuioni. Nyiye mtakuwa mmekwisha kabisa, usiombee Muungano kuvunjika...hata mimi napendekeza Muungano huu uvunjwe.
..wa-Zenji wamezidi kutusimanga wakati hawana chochote cha maana wanacho-contribute ndani ya Muungano.
NB:
..IMF walipendekeza wa-Zenj wakatiwe 4.5% ya mapato ya Muungano, sina uhakika kama uchumi wa Zenji unakaribia kiwango hicho ukilinganisha na wa-Tanganyika.
Mnaosema tuwe na referendum kwani wakati Tanganyika na Zanzibar zinaungana waliitisha referendum? Huu mungano uvunjike tuu maana mpaka leo ukiniuliza faida yake kwangu na wananchi wengine wa kijijini kwetu jibu ni kuwa SIJUI.
Pakacha said:unapo -classify Tanganyika na kudai kuoina % ya uchumi wake-Tanganyika iko wapi? hii si ndio kina Bwan Mwiba na wenziwe wanauliza kila siku. Angalia ile ramani ya Visiwa vya CUBA. jiografia ya pale kidogo inashabihiana na jiografia ya Zanzibar na Tanganyika (hususan Dar es salaam) Sasa iulize USA pamoja na ukubwa na ubabe wake, na teknologia yake ya ulinzi na ujasusi inapata shida gani na inagharimika vipi kulinda mpaka pale. sasa fikiria Tanganyika yako itakavyoweza kulinda mpaka kati ya Tanganyika na Zanzibar. Hizo almasi na dhahabu zenu si zote zitakuwa zinauzwa magendo Zanzibar. sasa mafisadi wenu hamuwaoni na mali yenu hamuioni. Nyiye mtakuwa mmekwisha kabisa, usiombee Muungano kuvunjika.
GT
Kutokana na point zako hapo juu, jee kwa nini tunaendelea kuubeba muungano?
Nadhani muungano ni moja ya vikwanzo vya maendeleo ya kiuchumi kwa Tanganyika sababu Zanzibar wanataka kuendelea kuwa kama nchi wakati wanastaili kuendeshwa kama mkoa.
Kinacho boa ni Z'bar kila kitu sasa wanataka kufanya kivyao na hawaishi kulalamika. Wana serikali yao wenyewe, bendera yao wenyewe, national anthem yao wenyewe etc which is more than Bara can say. Hivi wana ringia nini haswa? Hata airport ya kimataifa I doubt wanayo. I think as time goes by wazanzibar are getting facts & dreams confused na ever since haya mafuta yagunduliwe ndiyo imekuwa tabu kabisa. Wamekuwa kama watoto wanaotaka kupewa kila kitu wanacho taka. Kwenye vitu vya kwao basi ni vya zanzibar tu vya bara ni vya wote. Hivi umeme wa zanibar unatoka wapi? Si bara? basi nasisi tuseme umeme wakwetu? Ukweli ni kwamba muungano can be a beautiful thing but if one side doesn't want it hata kama stratigically muungano ni muhimu vipi ni bora tuachane. Hata kwenye ndoa mmoja akingangania divorce au sijui afanye mambo yake mwenyewe basi ndoa ita vunjika. The yes or no uestion I have for zanzibar is MNATAKA MUUNGANO YES OR NO? Kama mnautaka basi lets be adults tutafakari cha kufanya kama hamtaki kueni direct siyo kulete mambo ya chini chini.
kwa vile sehemu ya watu hawautaki haina maana basi uvunjwe; that is the most simplistic solution. Hakuna njia nyingine ya kushughulikia matatizo yake?
Mkuu MMKJ heshima mbele (salute)
Simpo logiki
Wewe na Bibi mmeoana na kuwa kitu kimoja mbele ya baba Askofu, mkakubaliana mtaishi pmj kwa shida na raha.
Baada ya miaka kadhaa; bibi anakwambia HAKUTAKI na MUACHANE ili afanye mambo yake mwenyewe. Njia zote umejaribu ili tu kuhakikisha hiyo ndoa HAIVUNJIKI, bado tu bimkubwa HATAKI kwa ishara na matendo ya kila aina anakuonyesha na UNAYAELEWA.
Lakini kuna watoto, ndugu na jamaa wengine wanataka NDOA YENU IENDELEE na kuna wengine wanasema BORA MUACHANE.
JE, BADO UTAENDELEA KUTAFUATA TU KUTAFUTA NJIA NYENGINE??? 😕
Je huu muungano uko kwenye maandishi yeyote? Je kuna sheria au guidelines zozote kutoka international organisation zinazo-govern formation ya miungano? Kwa nini tuna huu muungano? Mwalimu na Karume walitoa sababu gani juu ya huu muungano?
Haya ni maswali machache ambayo lazima tujiulize kabla ya kuropoka kuvunjwa kwa muungano. Tukicheza vibaya, huu muungano unaweza kutupeleka pabaya as a country. Zanzibar has a great future chini ya muungano kama wakiamua. Sidhani kama wanaweza kujimudu peke yao. Natumia sidhani maana sida economic au social data za ku-support hii and i have no time to research.
Mh!!! Muungano wanauhitaji tena wote. Wale wa Zanzibar wanauhitaji na wale wa Tanganyika (kama ipo ) wanauhitaji. sasa ni namna gani tutaishi katika Muungano huu ndio suala la kila siku la kulizungumza (au kulumbana). lakini "we need each other" na tuendelee kuzungumza -how best each of us will benefit. Bila ya Muungano Tanganyika isigekuwa ilivyo hivi sasa na bila ya MuunganoZanzibar (pamoja na malalamiko yake mengi) isingekuwa ilivyo hivi sasa_Namaanisha katika neema.
..hata mimi napendekeza Muungano huu uvunjwe.
..wa-Zenji wamezidi kutusimanga wakati hawana chochote cha maana wanacho-contribute ndani ya Muungano.
NB:
..IMF walipendekeza wa-Zenj wakatiwe 4.5% ya mapato ya Muungano, sina uhakika kama uchumi wa Zenji unakaribia kiwango hicho ukilinganisha na wa-Tanganyika.
unapo -classify Tanganyika na kudai kuoina % ya uchumi wake-Tanganyika iko wapi? hii si ndio kina Bwan Mwiba na wenziwe wanauliza kila siku. Angalia ile ramani ya Visiwa vya CUBA. jiografia ya pale kidogo inashabihiana na jiografia ya Zanzibar na Tanganyika (hususan Dar es salaam) Sasa iulize USA pamoja na ukubwa na ubabe wake, na teknologia yake ya ulinzi na ujasusi inapata shida gani na inagharimika vipi kulinda mpaka pale. sasa fikiria Tanganyika yako itakavyoweza kulinda mpaka kati ya Tanganyika na Zanzibar. Hizo almasi na dhahabu zenu si zote zitakuwa zinauzwa magendo Zanzibar. sasa mafisadi wenu hamuwaoni na mali yenu hamuioni. Nyiye mtakuwa mmekwisha kabisa, usiombee Muungano kuvunjika.
Ila mimi kubwa linaniuma ni kwa nini kuna tofauti kubwa sana kati ya mishahara ya wafanyakazi wa SMT na SMZ?
As long as hii ni nchi moja basi SMT ingetoa fungu kuziba hii tofauti..maana wote ni nchi moja na Bara wana uchumu mkubwa na watu wengi!!
Yaani ukiwa Mtanzania sekta ya umma Pemba au Mbinga basi mshahara uwe ni mmoja!
Ila lawama za Muungano hutoka zaidi Visiwani!
Ila kama ikitoea kuvunjika basi Visiwani wataloose zaidi: The Islands will never be stable, itakuwa kama Komoro!
Halafu licha ya Utalii hakuna chochote cha maana zaidi ya malalamiko!
Watu Wameacha kufanya kazi na sasa kuanza kukaa na kulalamika tu yaani kila siku!
Hii ya kugawana wafuta: je na TANESCO umeme tugawane? na Taarabu tuseme Visiwani wabaki na taaratu zao?
Halafu kila mtu ni mtawala: sasa sijui ni nani visiwani anafanya kazi!
Taabu ya Visiwani ni kujilinganisha na Dubai au Omani wakati wenzao wana mafuta!
Dubai au Omani wafanyakazi wengi wanatoka nchi zingine: hii inawezekana kwa utajiri walio nao!
Sasa Visiwani hakuna chochote: may be utalii! Sasa hapo hakuna wa kumtawala!
Ni watu wachape tu kazi, kama eneo dogo waje bara kuna ardhi kubwa!